Utachagua msosi wa nani kati ya hawa?

Utachagua msosi wa nani kati ya hawa?

mkuu unanikumbusha yule mgeni aliulizwa na mwenyeji wake kuwa atakunywa chai au soda , mgeni akajibu ntakunywa chai huku nikisubiri chai inachemka
Hebu weka vizuri. Anakunywa chai huku akisubiri chai ichemke au anakunywa soda akisubiri chai ichemke!!?
 
2b523a2bf4d295ec8af12637f52a0086.jpg
Mama
 
Naanza na wa mshkaji.. Asubuhi hiyo. Mchana dona na samaki wa mama afu jioni Ndo iyo mikuku ya mpenzi. Cha bibi kinalala kesho kitakuwa kitamu zaidi for breakfast[emoji1]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu unavyopangilia...
 
Back
Top Bottom