uko sahihi. my point is huyu aliwatesa sana wapinzani bungeni. tuwe watu wema.Utabiri gani huu tangible 2021.By the way nami ninatabiri ipo siku Lema atakufa.By the way kila binadamu mwisho wake ni kifo.Hakuna utabiri hapa.
Sema baada ya hapo aliishi vizuri tu,na kafa na familia yake kaiacha vizuri tu.Kwanza alikuwa mgonjwa wa HIV na kisukari tangia muda mrefu tu.Jamaa kafaidika lakini.uko sahihi. my point is huyu aliwatesa sana wapinzani bungeni. tuwe watu wema.
He was sickmasikini kafa ghafla....
Umeungama lini?Kwani mshahara wa dhambi ni Nini?
but was very active during recent ubunge kampeniHe was sick
VoetsekSawa. Ila kuna tabiri zaidi ya miaka 20. Kila aliyeshiriki kutaka kumuua Lissu kisa utofauti wa mwanzo atatangulia yeye mwanzo na Lissu atabaki mzima.
Samia kama amejipanga kutaka kumnyonga Lissu kisa hataki ushindani ataondoka mwanzo na Lissu atadunda.
Mnaona mnatumia nguvu kubwa yakutaka kuumiza na kuua watu kisa kukosolewa ila Mungu hutumia karma yake. Juzi ndugai aliomba kuchaguliwa ubunge Leo hayupo. Acheni kiburi na kujiona mnabunduki kifo hakihitaji bunduki.
MatirecoVoetsek
..Matireco
Hujakosea.... Watu wengi wanapenda "Scooping" Sasa kaliona bandiko huko kalileta hapa bila ya kuchunguza ni la lini.Kwaiyo hapo ndipo ilipoanza safari ya kifo chake?, maana kwa muono wangu mleta mada amelenga zaidi kifo kuliko matokeo ya kujiuzuru kwake
Hao saba wa upande gani mkuu?Kuna Mwingine anakula pamba soon
Hadi saba wote wataisha
Vyovyote iwavyo lakini baada ya miaka 100 watu billion 8 watakuwa wamelala kaburini akiwe Godbless Lema ,na wote mlioko hai Sasa akiwemo na watoto wenu!! Sasa kiburi Cha nini
Unaiacha vizuri familia ya badayeSema baada ya hapo aliishi vizuri tu,na kafa na familia yake kaiacha vizuri tu.Kwanza alikuwa mgonjwa wa HIV na kisukari tangia muda mrefu tu.Jamaa kafaidika lakini.
Alienda kutibiwa uingereza akakaa miezi akalipiwa na bunge/serikali. Ajabu akamnyima Lissu hata senti ya matibabu,, wakati walimpiga risasi wenyewe na hatimaye wakamfuta ubunge na kumnyima mishahara. Wala sijaumia kifo chake.Kiko wapi sasa? Unyanyasaji, ubabe,kujilimbikizia mali na madaraka kiko wapi?Ameenda navyo??
Yaan wasifu wa Marehemu Job Yosetin Ndugai ndio unavyosema hivyo kwamba alikua anaugua HIV na Kisukari kwa muda mrefu?Kwanza alikuwa mgonjwa wa HIV na kisukari tangia muda mrefu tu.