Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 919
- 1,878
Hamna utabiri hapo tabiri gani ya zaidi ya miaka 4
Wataje kwa majina, taja na hata mwezi tuu.Bado wawili natabiri, mwaka huu haupinduki
Kwanza hapo kwenye jina lako andika Mstahiki Meya na siyo "Mea"Nonsense post
Ndugai aliondolewa mwaka gani uspika?Hamna utabiri hapo tabiri gani ya zaidi ya miaka 4
Nakazia "Atakufa Tu"Na ni lazima afe.
Sawa munguLissu atakufa miaka ya kibiblia ikifika miaka kuanzia 70+
Upo sahihi, wakati wangu ukifika nitakufa hata muda huu.Unaweza anza wewe nawao wakafata Utakua umetupiga
Sukuma Gang ni wakatili ila Mtandao kwenye kulinda ugali wao ni watu wabaya sana.Mwahiyo yeye ni mtabiri wa vifo tu ?
2022Ndugai aliondolewa mwaka gani uspika?
Utajuaje sio wewe bwashee?Kuna Mwingine anakula pamba soon
Hadi saba
Mbona kila mtu atakufa tu, unatabiri kifo wakati wewe mwenyewe ni wa mavumbini tuBado wengine
Wataje kwa majina, taja na hata mwezi tuu.
Bila hvy huna tofauti na malaya kudandia wanaume
Matokeo ya kushinda kura za maoni yalitangazwa usiku wa manane after tug of war, in politics ukiona umetengwa just quit and do other things as mwakyembe a big boss ktk mashrika y serkalSukuma Gang ni wakatili ila Mtandao kwenye kulinda ugali wao ni watu wabaya sana.
Sasa hapo ndipo mwanzo wa safari. Mtu akisema Southern Giant atakwenda mwanza wakati huo southern Giant mwenyewe yupo Zanzibar kesho yake huyo southern Giant akianza safari akionekana Chalinze watu waulize mbona haendi mwanza?2022
Ni post ya dhahania.Kila mtu atakufa tu.
Kifo ni kifo tu.Mbona kila mtu atakufa tu, unatabiri kifo wakati wewe mwenyewe ni wa mavumbini tu
Manabii wamekuwa wengi mpaka Lema , na ndio hata Tito eti Nabii😜😜😜 Ukristo kaziManabii wa Mungu wamepewa karama na vipawa tofauti tofauti
Bullshit? kutoka kuwa spika wa bunge mpaka kufikia level ya kinyimwa ubunge ni msiba kwa Tz ya wale wafaidi keki ya taifa.Bullshit! Sasa huo ndo utabiri gani?