Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

Lema ni mbobezi wa imani za kishirikina kama ilivyo kwa wakristo walio wengi.
 
Wote walioshiriki kutaka kumuua Lissu kwa risasi wataondoka mwanzo na Lissu atabaki mzima wa afya. Na huyo samia kama lengo ni kumnyonga Lissu kisa hataki ushindani atatangulia yeye mwanzo na Lissu atabaki.
Hivi ndivyo wanasiasa wanavyopata kura za huruma. Kwa hiyo kwa akili yako Lissu ana umalaika fulani kiasi cha kukingwa na kifo?.

Alipokuwa anasimangwa Lowassa ikatokea kila mwanasiasa aliyemsema vibaya akaanza kufa, huku mitandaoni wakasema maneno yenye kufanana na ujumbe wako. Ikafika siku na Lowassa nae akaondoka.

Kila kiumbe wa Mungu ana tarehe yake ya kuondoka.
 
Tatizo kila mtu kashakuwa mtabiri,ndio maana hata enzi zile za Biblia ilikuwa ukitabiri uongo tu unakula kisu,lakini siku hizi wanaibuka tu hovyo hovyo kwakuwa hakuna wa kuwahukumu...
 
Kama wote tutakufa, mtu akisema flani atakufa na huyo flani akaja kufa siku moja, huo nao ni utabiri?

Ndo yale mambo ya Pasko ya voices from within 🤣.

Ujuha mtupu!
Ujuha wa kiwango cha lami. Kwanza huyo Lema yeye ataishi milele?
 
Hivi ndivyo wanasiasa wanavyopata kura za huruma. Kwa hiyo kwa akili yako Lissu ana umalaika fulani kiasi cha kukingwa na kifo?.

Alipokuwa anasimangwa Lowassa ikatokea kila mwanasiasa aliyemsema vibaya akaanza kufa, huku mitandaoni wakasema maneno yenye kufanana na ujumbe wako. Ikafika siku na Lowassa nae akaondoka.

Kila kiumbe wa Mungu ana tarehe yake ya kuondoka.
Zingatia nilichoandika na ulichoandika.
 
Back
Top Bottom