Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

Wote walioshiriki kutaka kumuua Lissu kwa risasi wataondoka mwanzo na Lissu atabaki mzima wa afya. Na huyo samia kama lengo ni kumnyonga Lissu kisa hataki ushindani atatangulia yeye mwanzo na Lissu atabaki.
 
Hakuna cha utabiri. Jambo kaongea miaka 4 iliyopita Leo umuite mtabari.

Ni sawa Leo mtu aseme kesho ni Alhamisi na ikifika kesho umuite mtabiri Kwa vile ni Alhamis.

Ndugai amekufa sababu wakati wake umefika, hakuna cha unabii Wala ramli.
Kuna tabiri hata za miaka 20 na zaidi.
 
Na wewe uwe na matendo mema, kifo cha Mtu siyo cha kufurahia, hata kama ulikuwa humpendi.
aliwatesa sana wapinzani bungeni...............alikuwa hajui neno haki katika dictionary yake.

sijafurahia kifo hata kidogo
 
Basi na Mimi natabiri rasmi kuwa miaka 150 Toka Leo hii Kila alie hai atakuwa marehemu.
Sawa. Ila kuna tabiri zaidi ya miaka 20. Kila aliyeshiriki kutaka kumuua Lissu kisa utofauti wa mwanzo atatangulia yeye mwanzo na Lissu atabaki mzima.

Samia kama amejipanga kutaka kumnyonga Lissu kisa hataki ushindani ataondoka mwanzo na Lissu atadunda.

Mnaona mnatumia nguvu kubwa yakutaka kuumiza na kuua watu kisa kukosolewa ila Mungu hutumia karma yake. Juzi ndugai aliomba kuchaguliwa ubunge Leo hayupo. Acheni kiburi na kujiona mnabunduki kifo hakihitaji bunduki.
 
Kama wote tutakufa, mtu akisema flani atakufa na huyo flani akaja kufa siku moja, huo nao ni utabiri?

Ndo yale mambo ya Pasko ya voices from within 🤣.

Ujuha mtupu!
Nyumbu ni tatizo kubwa kwa nchi yetu wanajua Lisu na Lema wataishi milele
 
Kama wote tutakufa, mtu akisema flani atakufa na huyo flani akaja kufa siku moja, huo nao ni utabiri?

Ndo yale mambo ya Pasko ya voices from within 🤣.

Ujuha mtupu!
Yohana 8:24
Ndiyo sababu naliwaambia ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa maana msipoamini ya kuwa mimi ndiye, mtakufa katika dhambi zenu.
Kataa na hii sasa ambayo Yesu mwenyewe aliwambia wagai gai
 
Back
Top Bottom