lodirofaa
Member
- Jul 6, 2021
- 25
- 62
Mji wa songea upo mkoani Ruvuma ndiyo manispaa pekee iliyopo katika mkoa wa Ruvuma
Huu mji bhana ukiwa meajiriwa unakufaa kuishi na hutopata tabu Ila ukiwa mtafutaji wa kilasiku songea ni ngumu
Kma unalipwa mshahara mfano 300000 Songea usipojenga wewe mzembe sahani ya wali inaanzia 500 na kuendelea vyumba vya kupanga vinaanzia Bei ya 5000 kuendelea nyumba yenye umeme inaanzia 10000 kuendelea self contained unaanzia 20000 kuendelea unapanga nyumba inamaji, umeme, vyumba vitatu ndani si ajabu ukalipa 60000 kw mwezi
Kwenye kuoa sasa huku unatoa barua tu 100000 mahari sio lazima huku watu hawatoi mahari
Kujenga sasa
Uwanja robo heka inaanzia 500000 ni eneo lina kila kitu
Huku tunajengea tofari za tope tofari moja Tsh 100 ukiw na tofari 12000 unajenga nyumba kubwaa fundi kukujengea nyumba unamlipa mpka 500000 nyumba inaisha
Yaani haya ni machache tu kuhusu songea kama ukiajiliwa ukapangiwa Songea sema Asante mungu
Huu mji bhana ukiwa meajiriwa unakufaa kuishi na hutopata tabu Ila ukiwa mtafutaji wa kilasiku songea ni ngumu
Kma unalipwa mshahara mfano 300000 Songea usipojenga wewe mzembe sahani ya wali inaanzia 500 na kuendelea vyumba vya kupanga vinaanzia Bei ya 5000 kuendelea nyumba yenye umeme inaanzia 10000 kuendelea self contained unaanzia 20000 kuendelea unapanga nyumba inamaji, umeme, vyumba vitatu ndani si ajabu ukalipa 60000 kw mwezi
Kwenye kuoa sasa huku unatoa barua tu 100000 mahari sio lazima huku watu hawatoi mahari
Kujenga sasa
Uwanja robo heka inaanzia 500000 ni eneo lina kila kitu
Huku tunajengea tofari za tope tofari moja Tsh 100 ukiw na tofari 12000 unajenga nyumba kubwaa fundi kukujengea nyumba unamlipa mpka 500000 nyumba inaisha
Yaani haya ni machache tu kuhusu songea kama ukiajiliwa ukapangiwa Songea sema Asante mungu