Usipitwe na viatu orijino vya kiume

Usipitwe na viatu orijino vya kiume

Bila shaka boss
Ningefurahi mmoja wetu angesema sio original au kiatu hiki hiki high street ni 50,000 au Kariakoo kiatu hiki ni 25,000. Lakini ndugu yangu utakoma kwanini ulileta Tangazo lako hapa, natamani tungekuwa na amani kumpa moyo mswahili atajirike au angalau apunguze wanaogombea ajira za serikali. Mimi nakushauri uweke viatu original vya watoto na kina mama pia, Mungu akubariki!
 
Unachoice ya kufwata upendacho boss.. sio lazima kila jambo u comment
China mnanunua a-dime-a-dozen halafu Bongo mnaja uza $90 a pair. Eti "BOSS Achievement of High Quality Men". Wajinga ndiyo waliwao. Haahaa....
 
Kwa laki na nusu ni bei halali..zunguka maduka yote town ulete mrejesho.. tena kuna mengine kinondoni na kwingineko wanauza mpaka laki 2.5
Jamaa kaweka cha juu sana asee
 
Ningefurahi mmoja wetu angesema sio original au kiatu hiki hiki high street ni 50,000 au Kariakoo kiatu hiki ni 25,000. Lakini ndugu yangu utakoma kwanini ulileta Tangazo lako hapa, natamani tungekuwa na amani kumpa moyo mswahili atajirike au angalau apunguze wanaogombea ajira za serikali. Mimi nakushauri uweke viatu original vya watoto na kina mama pia, Mungu akubariki!

Utawaweza?
Hapo hawana hela!
 
Ndugu hili tangazo utapigwa mawe humu baraa bora ulipeleke kwa masharobaro IG
 
Back
Top Bottom