Usipitwe na viatu orijino vya kiume

Usipitwe na viatu orijino vya kiume

Nikajua comment yangu ndio imefanya uandike hivyo
Kuna uzi mmoja kule chitchat unahusu viatu vya wanaume. Watu wamerusha picha za viatu 'vyao' vya bei mbaya halafu huku kwenye reality watu wanapambana na bei ya 150,000/-.
 
Kwakweli tuendelee tu kuwapa zawadi za vest,leso na soksi tu.
 
Sorry, kwamba 150,000 ndio bei ya kawaida au unamaanishaje?
Kuna uzi mmoja kule chitchat unahusu viatu vya wanaume. Watu wamerusha picha za viatu 'vyao' vya bei mbaya halafu huku kwenye reality watu wanapambana na bei ya 150,000/-.
 
Dadek... tuliozoea kununua Karume tunatokwa na mijicho tu hapa
Kuna aina ya viatu 150,000 ndio bei ya chini. Mfano Timberland 150,000 ndio bei ya chini. Zile boots ni £150.
 
Hivi ni kuharibu biashara ya mtu au hasira za kukosa pesa au ni nini!! Mtu kama unajua vinakouzwa bei rahisi si ukanunue kuliko kumharibia mwenzio.
 
Hapo sasa..kule watu wanapost midundo mpaka ya 200k bt hapa kwa 150 tu wameingia mitini
Kuna uzi mmoja kule chitchat unahusu viatu vya wanaume. Watu wamerusha picha za viatu 'vyao' vya bei mbaya halafu huku kwenye reality watu wanapambana na bei ya 150,000/-.
 
Kwenye picha, hiyo makinikia ya tatu toka juu brown, kuna uwezekano wa kupata black sample hiyo?
 
Kwenye picha, hiyo makinikia ya tatu toka juu brown, kuna uwezekano wa kupata black sample hiyo?
namaanisha hiki
tapatalk_1543483255110.jpeg
 
Back
Top Bottom