Usipitwe na viatu orijino vya kiume

Usipitwe na viatu orijino vya kiume

Mwenye duka ambapo wewe ndio umechukua picha anauza 150K ,unahisi JF kuna maboya watupu ehhView attachment 945462
M nilinyamaza japo nilimwambia yupo juu bila kumpa refference nisome upepo ila wewe umefunguka, hv viatu Naapa kwa dini yang na leo n jumapili nilivikuta k.koo chimbo flan hv wanauza 95K mwez huu huu mwanzoni, japo niligundua wakat nishanunua kwa 120 mwenge tena travota, na cracks ya kawaida isiyoenda juu nikachukua kwa 100k wakat k koo n 90k ikienda sana, hata kama wamepanda sana haiwez zidi 130k tena hapo nazungumzia kwa hzo zilizoenda juu kama hio cracks ya brown ya tatu kutoka juu, Ndio maduka meng wanauza kwa 130k-150k ila huyu ndugu yetu kazid, 180? Khaaa.... Anayebisha anipe 130 na kdg ya udalali nikamletee weekend nikija town, lengo sio kuharibiana lengo ni kutafuta mazingira ya kufaidika na kupata kdg(hio hamna asiependa) bila kumuumiza sana mwenzako.
 
Lengo langu si kuharibu biashara yako ila nataka kusema ukweli kwamba hapo hakuna "Original" hata moja. Hizo ni zile Copy za Brand Kubwa za Viatu. Wale wenye uelewa watakuwa wamenielewa vizuri sana. Bongo tuna Tatizo kubwa sana la kuuziwa vitu Fake tukidanganywa kuwa ni Original! Mfano bidhaa kama Saa,nyingi zinaozouzwa Bongo ni Fake., unakuta eti Brand kama Rolex au Hublot Dukani inauzwa Tsh 150,000/= a piece! Tunaibiwa sana maana hawa wafanyabiashara tunawapa faida Maradufu kwa kutuuzia Midosho!
 
Sio viatu vyote ni OG hapo,na vile ambavyo ni OG nilivyoviona hapa bei yake huwa haizidi 80,acheni wizi wadau..
 
Nawahakikishia pure leather..
Wengi wamekataa ila niliowauzia wamethibitisha..
Bei huwa kubwa zaidi kulingana na wapi umenunua
Sio viatu vyote ni OG hapo,na vile ambavyo ni OG nilivyoviona hapa bei yake huwa haizidi 80,acheni wizi wadau..
Huwezi pata Pure Leather ya Brand hizo kwa bei hiyo. Hizo zote ni Synthetic Leather!
 
Nawahakikishia pure leather..
Wengi wamekataa ila niliowauzia wamethibitisha..
Bei huwa kubwa zaidi kulingana na wapi umenunua

Boss hapo hakuna kiatu OG hata kimoja.
Kwa sisi ambao tunanunua Viatu vya Mtumba tunaelewa.
Hizo zote ni copy tuu za brands kubwa.
Waweza kumkamata Mtu wa koromije kwa style hyo.
Kwa brands hizo ulizotaja hapo juu ukipata Original cha bei ndogo kabisa ni 180$ =350,000 TZS na kuendelea.na sio chini ya hapo.
Wewe sema tu unauza Viatu kwa bei hyo sio kuaminisha watu ni OG.
Hivyo ni Viatu vya kuvaa kama una harusi tuu upate picha nzuri na sio vya kudumu.
Ahsante
 
Sasa unajua kiatu hicho hicho cha Bei ninayouza mimi baadhi ya Boutique wanauza bei gani?? Wanaumiza mpaka 380 or 320. sasa tukiwaletea kwa bei ya chini mnalalamika tena..aisee watanzania tujifunze kuamini tunachoambiwa..nisingekuwa na haja ya kunadi kitu ambacho sina hakika nacho
Boss hapo hakuna kiatu OG hata kimoja.
Kwa sisi ambao tunanunua Viatu vya Mtumba tunaelewa.
Hizo zote ni copy tuu za brands kubwa.
Waweza kumkamata Mtu wa koromije kwa style hyo.
Kwa brands hizo ulizotaja hapo juu ukipata Original cha bei ndogo kabisa ni 180$ =350,000 TZS na kuendelea.na sio chini ya hapo.
Wewe sema tu unauza Viatu kwa bei hyo sio kuaminisha watu ni OG.
Hivyo ni Viatu vya kuvaa kama una harusi tuu upate picha nzuri na sio vya kudumu.
Ahsante
 
Sasa unajua kiatu hicho hicho cha Bei ninayouza mimi baadhi ya Boutique wanauza bei gani?? Wanaumiza mpaka 380 or 320. sasa tukiwaletea kwa bei ya chini mnalalamika tena..aisee watanzania tujifunze kuamini tunachoambiwa..nisingekuwa na haja ya kunadi kitu ambacho sina hakika nacho

Boss acha chai ️ za asubuhi.
Hakuna biashara ya price variation kubwa ya kiasi hicho.
Usifanye watu hawaelewi vitu vizuri Na original.
Kuwa makini Dunia ni kijiji bro.
Narudia tena wewe sema unauza viatu, mambo ya ubora Na originality hakuna unachokijua, usitake kuaibika hapa.
Watu wameanza kuvaa hizo brands original kabla hujazaliwa.
 
Rejea maneno yangu kuwa una choice ya kile unachoona kinakufaa..kama visingekuwa na WAAMINI basi visingekuwa sokoni.. sasa mpaka sasa sijaona point yako zaidi ya Porojo
Boss acha chai ️ za asubuhi.
Hakuna biashara ya price variation kubwa ya kiasi hicho.
Usifanye watu hawaelewi vitu vizuri Na original.
Kuwa makini Dunia ni kijiji bro.
Narudia tena wewe sema unauza viatu, mambo ya ubora Na originality hakuna unachokijua, usitake kuaibika hapa.
Watu wameanza kuvaa hizo brands original kabla hujazaliwa.
 
Stock mpya imeingia toka Monday,tupo kariakoo
Kila kiatu ni laki na nusu tu
View attachment 948462
IMG-20181127-WA0047.jpeg
IMG-20181127-WA0049.jpeg
IMG-20181127-WA0051.jpeg
IMG-20181127-WA0052.jpeg
IMG-20181127-WA0048.jpeg
IMG-20181127-WA0050.jpeg
IMG-20181127-WA0039.jpeg
 
Back
Top Bottom