Mmmmm lakini kwenye biashara kuna sharing of resources, kachakula kazuri ka Kemp....,ki laki 2, unaweza kukala Tandika kwa 1,500, shida ni sehemu na nzi, huyu bwana anakuletea mpaka ofisini/nyumbani , pale Kariakoo kuna wababe na mtu umenunua kwa laki 2 kwa sababu unazo usingekuwa nazo ungekwenda Kariakoo, nilipewa kiatu cha kuchezea basket ball/ NIKE cha mtu kutoka New York nikalipwa dollar 100 kukibeba tu nadhani bei/ group ya hicho kiatu itakuwa kwenye hizo ORIGINAL ila kilikuwa na guarantee ya soli na ngozi mwaka mzima😂, tumpe moyo ndugu yetu achomoke kama kuna penye bei rahisi tumwambie asiposhindana dunia ni kijiji hatopata wateja.