nipe bei hapo mkuu
duka liko wapiKiatu unachopata Laki 3 sehemu nyingine mimi nakuuzia kwa bei isiyozidi 180 elf. (Laki na 80)
Karibuni wakubwa zangu. DELIVERY popote.
Mzee baba unawaza kuhesabiwa tuAseeee mizigo yenyewe hii. Taja bei mkuu ila angalia sikukuu hii hapa tusije kosa nauli ya kwenda kuhesabiwa




Hahaha hiyo ni pi asee..Mzee baba unawaza kuhesabiwa tu![]()
22/7 au 3.14 hahahHahaha hiyo ni pie asee..
Ndio hivyo.. We siupo fasi hizo niaje nilitimba nitakusorora arif22/7 au 3.14 hahah
Hatari sana mkuutena kwa lorry la tani 10 hapo kudadek...
Aiseee wapi hiyoNdio hivyo.. We siupo fasi hizo niaje nilitimba nitakusorora arif
Aiseee wapi hiyo


we kausha.. si hapo gachuland au ushaamsha mambele?