usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

usiombee utongozwe na mwalimu hapa jamii forums

Status
Not open for further replies.
mimi ai walikwepo, wakawepo, wapo, wanaendelea kuwepo, na wata kwepo wenye mawazo kama yako, lakini mwisho wa siku waliwatamani, wakawatamani, wanawatamani, wanaendelea kuwatamani, na wataendelea kuwatamani hao hao WALIMU wa masiviks na majogirafia na hata wa mabaolojia-lakini wapi walichelewa, wamechelewa, wanachelewa, wanaendelea kuchelewa, na bado watachelewa...Hahahaaa raha utamu?!
Nawashauri ukimpata, utakopompata basi fanya hivi :busu
 
Last edited by a moderator:
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

he must have a psychological problem. kuna walevi wengine wana ung'eng'e na mbwembwe usiseme kumbe ni mhanga wa shule za kata.
usisahau lakini, mi nilikupata kwa kiswahili yu ulipoiona wallet
 
Nilijua utaropoka huku, sema yote tuliyofanya.
 
Mtoa mada si bure akili yako ni ndogo sana.Kwa kuwa unafikiri hao wanaofanya kazi kwenye taasisi au mashirika makubwa ndio wenye uwezo wa kuhandle mapenzi.Jiulize,iweje wake za watu wakubwa achana na wewe mburula wanachakachuliwa na mariyoo wa mjini ambao hata level zao za elimu hazina mbele wala nyuma?Kwa taarifa yako maisha ni wewe mwenyewe vile ulivyojipanga.Usirudie tena kupost upumbavu,shenz!
 
Mimi mwenyewe nina mchumba tena nimempata humu humu jf.Na wote ni walimu,tunapendana kupita maelezo,december atakuja kuwasalimu wazazi Moshi.Na siku taratibu zitakapokamilika nitaweka tangazo humu la mualiko wa harusi yetu.Mtaishia kugawa papuchi zenu kwa mikopo,wenzenu tunaoa na kula tamu za ndoa.LAITI MNGEFAHAMU KUNA WALIMU WANA MAISHA SAFI KULIKO HAO MABWANA ZENU WANAOWAKOPA.JIPANGENI SANA!
 
Umeleta hoja mufilisi na nyepesi sana na imeonesha unakuwa ‘easily swayed’ na vitu ambavyo ni dhahania ‘abstract’. Wewe kuongeleshwa Kiingereza tayari ukapandwa na mihemko kwamba umekutana na DIPLOMAT? KWA MTAJI HUU LAZIMA UOLEWE NA YAHAYA WA LADY JAY D.
Mimi ni Mwalimu na ninasikia fahari kuwa mwalimu….FYI….most great men/women were once teachers…Jesus, J.K Nyerere, Aristotle, Plato etc.

atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
 
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu

Ushamba wako wa kufikiri Kiingereza wanaongea maofisa wa USAID, UN, WHO and alike! kuzaliwa mjini tu ni form six, we utoke zako kishumundu huko kwaanini wasikupeleke peleke loh...majanga!

Bongo unaeweza jengewe gorofa kwenye karaatasi.... zinduka weweeeee!
 
hahahahahaha bora sisi tunaotumia kiswahili siku ukituona unakuta mnyamwezi wa ukweli
 
Mimi mwenyewe nina mchumba tena nimempata humu humu jf.Na wote ni walimu,tunapendana kupita maelezo,december atakuja kuwasalimu wazazi Moshi.Na siku taratibu zitakapokamilika nitaweka tangazo humu la mualiko wa harusi yetu.Mtaishia kugawa papuchi zenu kwa mikopo,wenzenu tunaoa na kula tamu za ndoa.LAITI MNGEFAHAMU KUNA WALIMU WANA MAISHA SAFI KULIKO HAO MABWANA ZENU WANAOWAKOPA.JIPANGENI SANA!

Dah Ticha afadhali urekebishe mentality za hawa waheshimiwa.Mia
 
Kama watu makini kama walimu wanadharaulika..hali itakuwaje kwa sisi wabeba ZEGE..PUNYETO ndio kimbilio letu.hatuna jinsi..
 
Wewe utakuwa unatafuta bwana uolewe!! Una matarajio makubwa sana na utasubiri sana huyo unayemtaka! #mchagua nazi hupata koroma!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom