Nimecheka mie pm kuna mambo,,,,, siku mods wakifanya pm ziwe nyuzi kuna watu watakimbia id zao.!!!!!!
hahahaha una kaexperience kidogo nn hebu tujuze
we ukiwa mmoja wao
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
Ualimu nao ni kazi kumbuka.
Madam,
Walimu nchi hii wanadharaulika sana sijui kwanini?
Cha kushangaza ukiwa mwalimu wa chuo kikuu wanapagawa kweli. Wakijua upo DUCE hata kama unafundisha jogoolafyaa ukawakata sana. Mabinti (sio wote) wana mentality ya ajabu sana.
Dawa yao ni fiksi tuu.
ukitaka kujua ualimu haufai kagombee nafasi yeyote ya kisiasa hasa ubunge,utapata majibu.
div 4...
Sawa ila wapo wasomi na vipanga wamemaliza vyuo wanashika chaki.