Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
bora sisi tuliojilipua tunajuana...hebu tufanye zetu mchakato tukale zetu raha shosti...waaai
yaani we acha tu......kuna magarasha humu.....usiombe........
bora sisi tuliojilipua tunajuana...hebu tufanye zetu mchakato tukale zetu raha shosti...waaai
yaani we acha tu......kuna magarasha humu.....usiombe........
yaani huku kuna mtu anakuvalue kuliko hata jk . watu huku ni wa kawaida tu mbona jamani?hahaaaaaa ukiona avatar unadhni ndo yeye.......haya mambo haya
wewe unataka mwalimuUalimu nao ni kazi kumbuka.
ooh a level nilisoma cbg nilikuwa sipendi kabisa physical geography !kukariri yale mafeature mimi hoi huo muda nilikuwa naona bora nisome biology ! ngoja nitakuja unifundishe mwalimu .....hesabu sina shida kiivo
yaani huku kuna mtu anakuvalue kuliko hata jk . watu huku ni wa kawaida tu mbona jamani?
Ualimu nao ni kazi kumbuka.
ahaaaaa hayo mavitu yalikuwepo yaani mimi sikuyasoma kabisa ujue ..nilichokifanya nilikuwa mkali kwenye bio na chemistry na paper two ya geo nikawa fresh nadhani nilipata d ila haya masomo mengine nikawa fresh so yakasawazisha mambo ! tulikuwa tunajiita cbg combination of beatiful girls! kuna best yangu yeye alikuwa ananitoa sana kunifundisha alienda geology mlimani mimi niliogopa maana nilikuwa sipendi geograpy yupo vizuri balaa sasa! yupo south mining huko ! mi nakula vumbi tu hapa bongoBasi hayo ya yardang, stalagmite na stalactite ndo pake hapa, bila kusahau zeugen.
ahaaaa! mi ndo maana sipendi wanaume wa hapa pm ..ubatili mtupuhhaaaaaa eti unadhani ni mudiplomat........ukimuona huyo Mudiplomat unaweza kuzirai
atakutongoza kwa kiingereza,simu ataongea kiingereza utafurai umepata bonge la bwana linafanya kazi emmbasy ,un,usaid au ni mdiplomat yoyote kumbe ni mwalimu wa civics na history shule ya kata huko kongowe hajalipwa hata mishahara miezi mitatu.!
nawasilisheni
kuweni wakweli ndo hilo tu
ha ha ha......shosti pole......jamii forum kuna senema za kutosha wallah...........ila kuna watu kizunguzungu jamani........full mashauzi.....njoo muone sasa.......mweeeee........
Online flirting is not good at all............unakuwa na maexpectation kibaoooooo
Basi hayo ya yardang, stalagmite na stalactite ndo pake hapa, bila kusahau zeugen.
kwani kuna ubaya gani kutongozwa na mwalimuuuu??????