ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,702
- 43,783
- Thread starter
- #41
Mimi naishi wapi kwani ndegeHaya mambo ya jumuiya wewe umeyajulia wapi?
Si nipo kwenye jamii jamani 😅
Mimi naishi wapi kwani ndegeHaya mambo ya jumuiya wewe umeyajulia wapi?
Haya bhana! Nimekuelewa 😅Mimi naishi wapi kwani ndege
Si nipo kwenye jamii jamani 😅
Hii comment nilikua sijaionaMleta mada hii ina maana watu wasiwe wanyenyekevu au !
Asante ndegeMada nzuri.
Fire 🔥Haya bhana! Nimekuelewa 😅
A few moment " nahitaji mwanaume mwenye kunipenda mimi na watoto wangu tufanye maisha siku ziende"Kwa dunia ya sasa, nadhani si mwanaume wala mwanamke asiyeweza kujua ni kitu gani anachohitaji
Nadhani kila mtu anajua thamani yake
Huwa nashangaa sana ninapoona mtu akitumia nguvu kubwa kumfanya mtu mwingine ajihisi au ajione mdogo
Na kisha huyo mtu anakubali kabisa na kuanza kujiona mdogo na kujishusha thamani
Mbinu hii ya kutaka kuwafanya wengine wajihisi wadogo hutumiwa na watu wadogo wanapotaka kuweka mizani sawa
Huna haja ya kukubali hizi mbinu zisizo na maana yeyote
Ni ukweli usiopingika kwamba duniani tupo katika viwango tofauti sana
Kuna watu walio kwenye high level, kuna walio kwenye low level, na kuna walio kwenye average level
Lakini licha ya yote hayo, confidence inaweza kumbeba sana mtu
Yes hata ukiwa mtu wa kiwango cha chini kiasi gani
Ukiwa na confidence unaweza kufanya vingi na vitu postitive
Unaweza kuitwa kwenye interview, ukaweza kujieleza vizuri bila hofu na ukafaulu
Unaweza kuanzisha biashara ndogo na ukafanikiwa
Watu wanasema bila pesa huwezi kuwa na confidence
Mimi hilo sioni kuwa ni kweli, au kama kuna ukweli ndani yake, basi ni mdogo sana
Ukiwa na confidence, uwezekano wa kuzipata pesa unakuwa mkubwa pia
Watu waoga waoga huwa wanachukua muda mrefu sana kufikia malengo au wasifikie kabisa matamanio yao
Ujumbe wangu wa leo ni huu:
No matter what, huna haja ya kukubali kufanywa mdogo na yeyote
Hasa sisi wanawake, huna haja ya kujiona wa kawaida
Na hii si kiburi wala jeuri ni moja ya njia za kujiwekea kiwango na mipaka ambayo si kila mtu anaweza kuvuka
Mimi : ShesRise_1
hupendelea kusema:👇
Mimi si wa kawaida, ila wewe unaponitazama mimi na ukaniona wakawaida
wewe ndiyo wa kawaida sana kiasi kwamba huwezi kuona viwango vyangu.
Wewe mdau umewahi kujihisi mdogo?
Nini kili rudisha confidence yako?
ShesRise_1 🤚
Wengi hawajui kulitumia hilo neno unyenyekevu badala yake wanawageuza wenzao watumwaHii comment nilikua sijaiona
La hasha mkuu
Unyenyekevu na kutokujikubali sio kitu kimoja
Hapa nazungumzia namna unaweza kuona thamani yako na ujue ukiona thamani yako kujiamini kutazaliwa hapo
So unyenyekevu ni swala lingine kabisa
Siwezi kusema upo sahihiMkuu mi ni mhanga wa hii kitu nipo taasisi X wafanyakazi wenzangu wanatumia wepesi wangu kunipa kazi zao niwafanyie. Imefikia stage waifu ananichukia kwa ukimya wangu ananambia naburuzwa. Imefikia muda ananambia hata yeye atanidharau nikiendelea kuwa hivi. Lakini mimi siyo mnyonge kama wengi wanavyonichukulia bali napenda kubeba majukumu ya wengine nikiamini kuwa wote tunafanya kwa maslahi mapana ya taasisi. Je nipo sawa kweli
Yani mtu anayejua fizikia kuliko wewe anakwambia hapa juu sana huwezi kuruka ukabaki salama, halafu wewe ambaye hujui fizikia vizuri umbishie ukatae kujifunza ukweli kwa sababu hutaki kuwa mdogo?Kwa dunia ya sasa, nadhani si mwanaume wala mwanamke asiyeweza kujua ni kitu gani anachohitaji
Nadhani kila mtu anajua thamani yake
Huwa nashangaa sana ninapoona mtu akitumia nguvu kubwa kumfanya mtu mwingine ajihisi au ajione mdogo
Na kisha huyo mtu anakubali kabisa na kuanza kujiona mdogo na kujishusha thamani
Mbinu hii ya kutaka kuwafanya wengine wajihisi wadogo hutumiwa na watu wadogo wanapotaka kuweka mizani sawa
Huna haja ya kukubali hizi mbinu zisizo na maana yeyote
Ni ukweli usiopingika kwamba duniani tupo katika viwango tofauti sana
Kuna watu walio kwenye high level, kuna walio kwenye low level, na kuna walio kwenye average level
Lakini licha ya yote hayo, confidence inaweza kumbeba sana mtu
Yes hata ukiwa mtu wa kiwango cha chini kiasi gani
Ukiwa na confidence unaweza kufanya vingi na vitu postitive
Unaweza kuitwa kwenye interview, ukaweza kujieleza vizuri bila hofu na ukafaulu
Unaweza kuanzisha biashara ndogo na ukafanikiwa
Watu wanasema bila pesa huwezi kuwa na confidence
Mimi hilo sioni kuwa ni kweli, au kama kuna ukweli ndani yake, basi ni mdogo sana
Ukiwa na confidence, uwezekano wa kuzipata pesa unakuwa mkubwa pia
Watu waoga waoga huwa wanachukua muda mrefu sana kufikia malengo au wasifikie kabisa matamanio yao
Ujumbe wangu wa leo ni huu:
No matter what, huna haja ya kukubali kufanywa mdogo na yeyote
Hasa sisi wanawake, huna haja ya kujiona wa kawaida
Na hii si kiburi wala jeuri ni moja ya njia za kujiwekea kiwango na mipaka ambayo si kila mtu anaweza kuvuka
Mimi : ShesRise_1
hupendelea kusema:👇
Mimi si wa kawaida, ila wewe unaponitazama mimi na ukaniona wakawaida
wewe ndiyo wa kawaida sana kiasi kwamba huwezi kuona viwango vyangu.
Wewe mdau umewahi kujihisi mdogo?
Nini kili rudisha confidence yako?
ShesRise_1 🤚
Waoaji tupo ila mpaka utuambie huyo baba watoto umempeleka wapi? Kuwa mkweli nini sababu ya yeye kukimbia mjiA few moment " nahitaji mwanaume mwenye kunipenda mimi na watoto wangu tufanye maisha siku ziende"
Huwa namhadithia pia anauza vitafunwa maeneo ya kaziSiwezi kusema upo sahihi
Au haupo sahihi
Lakini ujue too much is harmful
Some time wache wafanye wenyewe
Moja wapo ya madhara ni kama hivyo wife anasema maneno ya kejeli
Ningependa kujua mkeo amejuaje yote hayo hua unamhadithia ?
Hii haiwezi kutokeaA few moment " nahitaji mwanaume mwenye kunipenda mimi na watoto wangu tufanye maisha siku ziende"
Karibu baby girlUko sahihi, naunga mkono hoja.
Kaka asante na karibuYani mtu anayejua fizikia kuliko wewe anakwambia hapa juu sana huwezi kuruka ukabaki salama, halafu wewe ambaye hujui fizikia vizuri umbishie ukatae kujifunza ukweli kwa sababu hutaki kuwa mdogo?
Kuna sehemu unatakiwa kukubali kuwa mdogo, ujifunze.
Na kukataa kuwa mdogo kwa confidence tu hata kama hauko sawa, kunaweza kukuua.
Kuna sehemu unaenda kumsikiliza mtu anajua quantum physics kwa kiwango ambacho wewe unatakiwa kujiona si lolote.Kaka asante na karibu
Sijasema mtu asijifunze au asikubali kuelekezwa
Mimi na hata wengine nadhani wapo tayari kujifunza
Ila nachozungumzia ni ile hali mtu ya kutaka kukufanya
Ujione wewe sio lolote
Maada yangu ipo kwa mkutadha huo
Chagua basi vya kumuadithiaHuwa namhadithia pia anauza vitafunwa maeneo ya kazi
Mkuu mi ni mhanga wa hii kitu nipo taasisi X wafanyakazi wenzangu wanatumia wepesi wangu kunipa kazi zao niwafanyie. Imefikia stage waifu ananichukia kwa ukimya wangu ananambia naburuzwa. Imefikia muda ananambia hata yeye atanidharau nikiendelea kuwa hivi. Lakini mimi siyo mnyonge kama wengi wanavyonichukulia bali napenda kubeba majukumu ya wengine nikiamini kuwa wote tunafanya kwa maslahi mapana ya taasisi. Je nipo sawa kweli