ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,058
- 42,755
Kwa dunia ya sasa, nadhani si mwanaume wala mwanamke asiyeweza kujua ni kitu gani anachohitaji
Nadhani kila mtu anajua thamani yake
Huwa nashangaa sana ninapoona mtu akitumia nguvu kubwa kumfanya mtu mwingine ajihisi au ajione mdogo
Na kisha huyo mtu anakubali kabisa na kuanza kujiona mdogo na kujishusha thamani
Mbinu hii ya kutaka kuwafanya wengine wajihisi wadogo hutumiwa na watu wadogo wanapotaka kuweka mizani sawa
Huna haja ya kukubali hizi mbinu zisizo na maana yeyote
Ni ukweli usiopingika kwamba duniani tupo katika viwango tofauti sana
Kuna watu walio kwenye high level, kuna walio kwenye low level, na kuna walio kwenye average level
Lakini licha ya yote hayo, confidence inaweza kumbeba sana mtu
Yes hata ukiwa mtu wa kiwango cha chini kiasi gani
Ukiwa na confidence unaweza kufanya vingi na vitu postitive
Unaweza kuitwa kwenye interview, ukaweza kujieleza vizuri bila hofu na ukafaulu
Unaweza kuanzisha biashara ndogo na ukafanikiwa
Watu wanasema bila pesa huwezi kuwa na confidence
Mimi hilo sioni kuwa ni kweli, au kama kuna ukweli ndani yake, basi ni mdogo sana
Ukiwa na confidence, uwezekano wa kuzipata pesa unakuwa mkubwa pia
Watu waoga waoga huwa wanachukua muda mrefu sana kufikia malengo au wasifikie kabisa matamanio yao
Ujumbe wangu wa leo ni huu:
No matter what, huna haja ya kukubali kufanywa mdogo na yeyote
Hasa sisi wanawake, huna haja ya kujiona wa kawaida
Na hii si kiburi wala jeuri ni moja ya njia za kujiwekea kiwango na mipaka ambayo si kila mtu anaweza kuvuka
Mimi : ShesRise_1
hupendelea kusema:👇
Mimi si wa kawaida, ila wewe unaponitazama mimi na ukaniona wakawaida
wewe ndiyo wa kawaida sana kiasi kwamba huwezi kuona viwango vyangu.
Wewe mdau umewahi kujihisi mdogo?
Nini kili rudisha confidence yako?
ShesRise_1 🤚
Nadhani kila mtu anajua thamani yake
Huwa nashangaa sana ninapoona mtu akitumia nguvu kubwa kumfanya mtu mwingine ajihisi au ajione mdogo
Na kisha huyo mtu anakubali kabisa na kuanza kujiona mdogo na kujishusha thamani
Mbinu hii ya kutaka kuwafanya wengine wajihisi wadogo hutumiwa na watu wadogo wanapotaka kuweka mizani sawa
Huna haja ya kukubali hizi mbinu zisizo na maana yeyote
Ni ukweli usiopingika kwamba duniani tupo katika viwango tofauti sana
Kuna watu walio kwenye high level, kuna walio kwenye low level, na kuna walio kwenye average level
Lakini licha ya yote hayo, confidence inaweza kumbeba sana mtu
Yes hata ukiwa mtu wa kiwango cha chini kiasi gani
Ukiwa na confidence unaweza kufanya vingi na vitu postitive
Unaweza kuitwa kwenye interview, ukaweza kujieleza vizuri bila hofu na ukafaulu
Unaweza kuanzisha biashara ndogo na ukafanikiwa
Watu wanasema bila pesa huwezi kuwa na confidence
Mimi hilo sioni kuwa ni kweli, au kama kuna ukweli ndani yake, basi ni mdogo sana
Ukiwa na confidence, uwezekano wa kuzipata pesa unakuwa mkubwa pia
Watu waoga waoga huwa wanachukua muda mrefu sana kufikia malengo au wasifikie kabisa matamanio yao
Ujumbe wangu wa leo ni huu:
No matter what, huna haja ya kukubali kufanywa mdogo na yeyote
Hasa sisi wanawake, huna haja ya kujiona wa kawaida
Na hii si kiburi wala jeuri ni moja ya njia za kujiwekea kiwango na mipaka ambayo si kila mtu anaweza kuvuka
Mimi : ShesRise_1
hupendelea kusema:👇
Mimi si wa kawaida, ila wewe unaponitazama mimi na ukaniona wakawaida
wewe ndiyo wa kawaida sana kiasi kwamba huwezi kuona viwango vyangu.
Wewe mdau umewahi kujihisi mdogo?
Nini kili rudisha confidence yako?
ShesRise_1 🤚