ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,871
- 44,580
- Thread starter
- #161
Ahoo sasa huyo mtu atapatikana vipi sasa mkuu?Kweli damu nzito sana,
But I want him to grow fast, hii akili ya kigen Z imtoke. I see the BEAST inside him (He's best in management) ila sasa nahitaji kusoma risala kitu ambacho sikiwezi.
Tutachelewa kufika endapo tutakua taratibu hivi, He need new challenge. Mtu anayeweza kumhush na kumrush afu ashindwe kumjibu bali kufanya kile anatakiwa kufanya.