ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,977
- 42,622
- Thread starter
- #21
Karibu dearAsante sana mkuu
Karibu dearAsante sana mkuu
Safiii mkuuLeo ngoja tu nikomae
Sahihi mtumishi wa Bwana 🤝Methali 23:7 inasema: "Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo."
Pia imeandikwa katika Hesabu 13:33
"Kisha huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi, nao ndivyo walivyotutazama."
Mtazamo na mawazo unayoyahifadhi moyoni mwako ndiyo yanayotengeneza uhalisia wa maisha yako na jinsi unavyojiweka mbele za watu au kukabiliana na changamoto.
Ongezea neno kama lipoNilitaka ku-quote hili neno, glad you did ✊!
Haleluyaaa🔥Amen
Sijui nikujib vipi ndege 🤔Kumbe we ni Roman 🔥
Basi Aslamaleku bibie 😎Sijui nikujib vipi ndege 🤔
Ila hapana sio
Aleyikumusilamu Dula 😅Basi Aslamaleku bibie 😎
Luka 6:45 – "Mtu mwema hutoka katika hazina nzuri ya moyo wake mambo mema; mtu mwovu hutoka katika hazina mbaya mambo mabaya."Ongezea neno kama lipo
BarikiwaNilitaka ku-quote hili neno, glad you did ✊!
Asante mkuu naona leo tupo na roho wa bwanaLuka 6:45 – "Mtu mwema hutoka katika hazina nzuri ya moyo wake mambo mema; mtu mwovu hutoka katika hazina mbaya mambo mabaya."
Nafikiri hii ina uhusiano wa moja kwa moja na mada.
Ni nani tena jamani uwiiiii😢Kuna mtu namsubr hapa dk kumi sasa nshaanza ku swetii dk kumi nyingn nta kosa hamu ya kula
Mtu nimempelekea delivery ya mbuzi hapokei simuNi nani tena jamani uwiiiii😢
Pole sanaMtu nimempelekea delivery ya mbuzi hapokei simu
Chai ya nn 😅Pole sana
Nb :.chai
Haya mambo ya jumuiya wewe umeyajulia wapi?Aleyikumusilamu Dula 😅
UsikataeKwamba GSM akuite mdogo wake ukatae?