mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Mkubwa umesema vyema sana. Huwa unamwambia lia ukimaliza tunaanza upya. Wajinga sana na vimachozi vyaoKama umemkamata mwanamke wako ana mapichapicha akaanza kutoa chozi na kulia isiwe kigezo cha kusamehe.
Mwanamke hata akitoa machozi jaba zima ni namna yao ya kuku"fool mwanaume umuonee huruma kwa utopolo wake.
"Oooh nilimkamata na nanii akaanza kulia sana ikabidi nimsamehe" ukaanza kusema " Unajua nini itakuwa demu ananipenda sana"
Hapo umeumia mkuu. Kabla ya kusamehe hakikisha umejihidhirisha na ukaamua mwenyewe sio machozi yake.
Thanks me later