chozi

Chozi is a small town in the Nakonde District of Muchinga Province of Zambia, approximately 10 kilometres (6.2 mi) west of the border town of Nakonde. The Mwenzo Mission is based here. Politically it belongs to the Nakonde constituency. There is a river of the same name, the Chozi River, and the Chozi Floodplain where crops are grown.Chozi is connected by Chozi railway station. Copper, lead and zinc are transported through here. In 1978 some 4,907 tonnes of copper and 548 tonnes of lead and zinc were left at Chozi for an entire month during transportation. The town sits at an average elevation of 1,258 metres (4,127 ft), above sea level.Chozi marks the northern end of the Nseluka–Kayambi–Chozi Road, that connects Mungwi District to the south and Nakonde District to the north. The road, measuring 172 kilometres (107 mi), was previously of gravel surface. It was improved to class II bitumen surface, with culverts and drainage channels, during the late 2010s.

View More On Wikipedia.org
  1. Mhafidhina07

    Mpira ni mchezo wa hisia,leo nimemuona Aziz KI kwenye video chozi limenitoka.

    wadau lengo nimejishangaa nimejikuta namwaga chozi baada ya kumuona azizi Ki alipokuwa anatoka uwanjani.
  2. fundi bishoo

    Kibongo bongo nyimbo ya Daz Nundaz “Kamanda” ni nyimbo ambayo ukiiskia inaweza kukutoa chozi

    Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava 🙌🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo ya kuhuzunisha kama hii
  3. Wadiz

    Mbunge wa Sengerema, Hamis Tabasamu amwaga chozi hadharani akiwa kwenye ziara ya kukagua changamoto za shule hasa vyoo na madarasa

    Ndugu wana jamii tafadhali pokea taarifa hiyo yenye uchungu mkubwa toka kwa Mhe. Tabasamu ametoa machozi hadharani, mwenye video tafadhari atuwekee hapa. Video ipo kwenye comments (Manjagata ameiweka) Hii ni taarifa halisi isipokuwa kwa kuwa sina video ndio mana sijaweka katika uhakika wake...
  4. lord atkin

    Kesi ya diamond karanga, Wasafi na Kusaga ilivyofika mwisho mahakamani

    DIAMOND PLATNUMZ NA DIAMOND KARANGA ILIVYOGEUKA TALAKA YA CHOZI Na Luqman MALOTO INGEWEZEKANA, yaliyowezekana kwenye movie ya Superman mwaka 1978, yangewezeshwa katika ulimwengu halisi. Superman alipaa nje ya dunia, akailazimisha sayari kurudi kinyumenyume. Kwa sayari kurudi reverse, muda nao...
  5. N

    Watanzania Democrasia imerejea, nimetokwa na chozi la furaha leo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuondolewa kwa zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa zuio hilo lililodumu kwa miaka 6 baada ya kauli hii watanzania wazalendo tunasema Rais Samia Suluhu amekuja kuikomboa Tanzania zile 4R zinafanya kazi kweli...
  6. N

    Kigwangalla na chozi la mamba, kama ana uchungu wa kweli vile

    Ukiwakuta hawa wamevaa ma scarfs ya bendera ya taifa na kushikilia ilani ya CCM kwenye makwapa yao unaweza kusema hii nchi imebarikiwa sana. Wengine walikwapua mabilioni ya wizara ya utalii na CAG akathibitisha lakini kimyaaaaa bado wanajifanya wazalendo, wakatumia hadi ndege za Tanapa kula...
  7. Crosby

    SoC02 Chozi la Msomi

    Msomi ni mtu aliyemaliza elimu ya chuo kikuu kuanzia walau degree moja. Tunapozungumzia msomi ni mtu ambaye ameandaliwa ili aweze kutatua changamoto za jamii kutumia elimu yake aliyo ipata shuleni. Kila mwaka idadi ya wasomi nchini inazidi kuongezeka, hii upelekea kuwa na wasomi wengi nchini...
  8. I

    SoC02 Chozi la Mama

    CHOZI la mama; Chozi hutokana na huzuni au maumivu anayoyapata mtu, inawezekana kwa sababu ya:- kusalitiwa. -kunyanyaswa kwa aina mbali mbali. -historia mbaya. Na mengine yanayopelekea kuhuzunisha au kuumiza moyo. Mwanamke siyo kiumbe dhaifu kama wengi wanavyo wachukulia...
  9. M

    Chozi la Damu

    Sheheni za siraha, dunia uwanja wa fujo, Atomiki makombora, jehanamu ya fumbo, Kisiwa cha miba, wenye nguvu ulimbombo, Utu umetoweka, mauaji kila uchao. Kiburi chao pesa, zilizofungwa kwenye fuko, Pesa dhihaka ya dunia, li wapi chimbo, Siraha za kisasa, mikogo yao matambo, Binadamu gunia sifa...
  10. NguoYaSikuKuu

    Usiamini chozi la Mwanamke kamwe. Fanya maamuzi kwa akili yako

    Kama umemkamata mwanamke wako ana mapichapicha akaanza kutoa chozi na kulia isiwe kigezo cha kusamehe. Mwanamke hata akitoa machozi jaba zima ni namna yao ya kuku"fool mwanaume umuonee huruma kwa utopolo wake. "Oooh nilimkamata na nanii akaanza kulia sana ikabidi nimsamehe" ukaanza kusema "...
  11. Kingsharon92

    Unapoambiwa chozi la mwanaume halithaminiki ndiyo kama hivi

    Wanaume tumeumbiwa shida na si raha na ndiyo maana maisha yetu ni kupambana na shida ili kupata raha. Hebu jiulize mwanaume umefiwa au umeumia kweli ukianza tu kutoa chozi utasikia kaka jikaze wewe ni mwanaume usilie unajikaza tu mpaka nyongo inavilia rohoni. Unajaza maumivu mia kidogo Ila...
  12. SULEIMAN ABEID

    Mbunge wa jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina amamkumbuka na kumlilia Hayati Dkt. Magufuli

    MBUNGE wa Jimbo la Kisesa, Wilayani Meatu mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina amemlilia aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akimtaja kama kiongozi wa mfano na kielelezo barani Afrika katika kuleta maendeleo na kushughulikia kero na matatizo ya wananchi yaliyoshindikana kwa miaka mingi...
  13. Kasomi

    Chozi la furaha

    SIMULIZI FUPI - CHOZI LA FURAHA Nilishuka garini nikiwa na furaha,hii baada ya kutoka likizo baada ya miezi sita ya kukaa chuoni.Mtu wa kwanza kumuoana alikuwa ni mama yangu ambaye alikuwa amemshika mkono mdogo wangu ambaye alikuwa darasa la kwanza.Nilimkumbatia mamangu huku nikiwa siamini...
Back
Top Bottom