Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,719
- 29,239
Sema hujakutana nao. Ila wanaume wa hivyo wapo.Mimi sijawahi kuona hiyo
Sema hujakutana nao. Ila wanaume wa hivyo wapo.Mimi sijawahi kuona hiyo
Wape hi hapo kidimbwi.Hehehehehe kumbe imepenyaaa tafuta hela blooo tunawalilia wenye pesa tu period sasa njoo kaa huku uone cha moto utapigwa matukio maji utaita mma tafuta ela acha kelele
kulia ni kukosa self control, uyo anaejirekodi anaigizaKuna mmoja tulikosana akanitumia voice note WhatsApp analia huku akiomba msamaha. Machozi yao wengi sio ya kweli drama tupu
Ndo mana unazeekea home unapelekewa moto tu
Ni kweli, maana mi alitishia nikampoza baadae mawazo yakaja huyu anataka kujiua means hana future na maisha ya wanetu maana kama wapo wanaokutegemea huwez waza kujiuaNi suala la muda tu...huna muda mrefu kweny hayo mahusiano
Sio kulia tu, ukiomba ata sumu nakimbia dukani kuleta ya paka ya panya itakucheleweshaHivi kuna mwanaume ana kaza mwanamke akilia yaani hatoi msamaha
Kwenye maandishi unaweza ila kiuhalisia huwezi na hautawezaSio kulia tu, ukiomba ata sumu nakimbia dukani kuleta ya paka ya panya itakuchelewesha
Hata kama.Ni suala la muda tu...huna muda mrefu kweny hayo mahusiano
Wanavimba tu huku mtandaoni au wakiwa na wanaume wenzao. Ila uhalisia hawachomoki.Hivi kuna mwanaume ana kaza mwanamke akilia yaani hatoi msamaha
Hauwezi kunifanyia hivo. Wanawake wapo wengi lakini mimi ndio ule ubavu wako.Ahaaa!!,Sawa, Kumbe Mimi nilivyokusamehe umeniona mjinga?,Sasa kwa taarifa yako naenda kukununulia sumu inayoua vizuri na haraka Ili unywe tu,km ni mwanamke nitatafuta mwingine, maana mpo wengi Mbona.Nimeshajua jeuri yako.
Huwa wana furahisha wanavyojipa moyoWanavimba tu huku mtandaoni au wakiwa na wanaume wenzao. Ila uhalisia hawachomoki.
Hahaha ngoja nicheke mnajikuta mna nguvu eeHuwa wana furahisha wanavyojipa moyo
Hata kam
Andaa back up maana soon utaangulishiwa kitu kizito kichwan...yaan mtu unatishia kujiua....maana yake hujafocus for the future kuwa na familiaHata kama.
Ubavu gani una maneno yanayoumiza Moyo? Maisha yatupe presha, Serikali itupe presha, tunasema basi ngoja tuoe ili Wanawake muwe mnatupa faraja lkn wapi ndo mnatupa presha zaidi.Hauwezi kunifanyia hivo. Wanawake wapo wengi lakini mimi ndio ule ubavu wako.
Mpumbavu sana huyo uliyenae.Hamtuwezi nyie.
Jana tu nimetoka kutishia kunywa sumu nikasamehewa. Na leo kila saa napigiwa simu kuhakikisha nakuwa sawa nisije nikanywa sumu.
Sio tuna nguvu ukweli ni kwamba nyinyi ni dhaifu kwetuHahaha ngoja nicheke mnajikuta mna nguvu ee
Basi nisamehe.Ubavu gani una maneno yanayoumiza Moyo??, Maisha yatupe presha, Serikali itupe presha, tunasema basi ngoja tuoe ili Wanawake muwe mnatupa faraja lkn wapi ndo mnatupa presha zaidi.
Usinitukanie my wangu.Mpumbavu sana huyo uliyenae.