Mfamaji, hizi chakra na energy unaweza ukazijua kabla ya kuanza meditation?
Hizo hapo ��unaanza na root chakra na kuendelea kwa kupanda juu.
Hii niliisoma kabla kwenye mitandao, ila darasa nililoanzia hii meditation hawaizungumzii hii kitu kabisa wao huanza na pumzi na baadae hatua zingine zinafuata na sio lazima ukae hivyo kama unafanya kuziactivate hizo chakra. Kwa hapa naona kuna meditation za aina nyingi.
Kwa wanaoanza inashauriwa kwanza huu mkao wa yoga uujifunze maana na ukishauzoea ndio utaweza kumaditate hata kwa lisaa limoja na kuendelea.
Ndio maana huu mchoro wa yoga ndio unaoonekana umewekewa hivi vituo vya kiroho/chakra s. Nadhani kwa hapa jamiiforums ukimpata ndugu Apollo utafurahia uwepo wako hapa jf.
Kwa wanaoanza inashauriwa kwanza huu mkao wa yoga uujifunze maana na ukishauzoea ndio utaweza kumaditate hata kwa lisaa limoja na kuendelea.
Ndio maana huu mchoro wa yoga ndio unaoonekana umewekewa hivi vituo vya kiroho/chakra s. Nadhani kwa hapa jamiiforums ukimpata ndugu Apollo utafurahia uwepo wako hapa jf.
Its b
ullshit you're just wasting your time, omba Mungu, ingia chumbani kwako piga magoti, mweleze Mwenyezi shida yako atakupa unachotaka... Meditation!?? Bullshit
Prince, heshima kwako. Kwa maelezo yako yaonesha ni kweli unaifanya hii kitu na uko constructive licha ya kuifanya hii kitu. Ila nieleweshe vipi ukiwa umebanwa na ukakosa mda wa kumeditate huwa inapunguza uwezo uliofikia awali?
kaka ukisha izoea hai kupi shida maana tayari ufahamu wako umesha jenga ihi tabia.
Ni kitu nzuri sana inafaida nyingi mno. Maana ina zaa hekima. Na maarifa. Hizi tabia ni lazima zitakuwa na wewe kaka.
Why, mkuu wa chuo?