Meditation ni hatari. ...inafungua mlango wa hell[/QUOTE
Zuzu katika ubora wako,hebu tueleze aina ipi ya meditation ulofanya ikakufungulia milango ya hell,sio tu unapotosha watu
Huwezi ukahesabu mda kwamba umefanya kwa mda gani maana inakuwa ni sehemu ya maisha yako. Na matokeao yanakuja siku baada ya siku. Ni vigumu kutaja mda kwa sababu ni process ambayo inahitaji uvumilivu sana. Nitofauti na elimu, kwa mfano kujifunza kuendesha gari nk.Annael, umeifanya hii kitu kwa mda gani?
Huwezi ukahesabu mda kwamba umefanya kwa mda gani maana inakuwa ni sehemu ya maisha yako. Na matokeao yanakuja siku baada ya siku. Ni vigumu kutaja mda kwa sababu ni process ambayo inahitaji uvumilivu sana. Nitofauti na elimu, kwa mfano kujifunza kuendesha gari nk.
Ni kitu ambacho kinaenda hatua kwa hatua. Mimi ninafikiri hatua ya kwanza kabisa ni "Emptying Mind" Hii ndio hatua muhimu sana na hii process ndio nguzo muhimu ya kwanza katika elimu hii ya meditation. Nitakuja na somo hilo la hatua kwa hatua namna ya "Empty Mind" (Sijui kwa kiswahili tunaweza kusemaje).
Nadhani watu wanaruka sehemu ya msingi kabisa ya Emptying Mind wanakimbilia kwenye Posture ambayo ni hatua nyingine kabisa. Huwezi ukaanza kujifunza namna ya posture kabla ya kuweza kuempty mind. Na ningeomba watu wanaoingiza imani zao hapa ni vyema wakaacha kufanya hivyo. Maana imani ni kizuizi kimoja wapo kanamna fulani.Karibu Annael utupe hilo darasa.
Nadhani watu wanaruka sehemu ya msingi kabisa ya Emptying Mind wanakimbilia kwenye Posture ambayo ni hatua nyingine kabisa. Huwezi ukaanza kujifunza namna ya posture kabla ya kuweza kuempty mind. Na ningeomba watu wanaoingiza imani zao hapa ni vyema wakaacha kufanya hivyo. Maana imani ni kizuizi kimoja wapo kanamna fulani.
Ukiaza ku-Empty mind automatic utaanza kuzalisha upendo ndani yako, baadaye peace of mind. Baada ya hapo ndio utaanza hatua ya kuzima thoughts and perceptions kwa sababu ndio kizingiti kikubwa sana. Mimi kwangu mimi naona hizi ndio hatua muhimu sana.
Pia ni vyema kwanza mtu akajua lengo la meditation na sio matokeo yake. Kwa sababu ukiwa unafanya meditation huku ukiwa na wazo la matokeo mwisho wa siku unazalisha imani ambayo itakaa kwenye thoughts na perceptions na kukuzuia kufikia lengo.
Ahsante ni hayo tu kwa leo. Subiri nitaandaa somo la hatua za emptying
Hebu kwanza kabla hujaja na somo la kuempty mind, naomba nifafanulie kidogo juu ya kuzima thoughts na perception.
Labda tu nianze kwa kusema hivi. Kuna milango 6 ya fahamu ambayo niHebu kwanza kabla hujaja na somo la kuempty mind, naomba nifafanulie kidogo juu ya kuzima thoughts na perception.
Labda tu nianze kwa kusema hivi. Kuna milango 6 ya fahamu ambayo ni
1. Macho 2. Ulimi 3. Ngozi 4. Masikio 5. Pua 6. Thoughts(Kwa kiswahili sijui). Hii ni milango muhimu inayo tumika kuingiza elimu katika mind
Unaweza ukafumba macho ukawa huoni, Unaweza ukaziba masikio ukawa husikii na kadhalika. Lakini thoughts huwa zinatokea tu ndani kwa ndani hata ukiwa kwenye utulivu. Na moja ya chanzo cha hizo thought ni Imani. Unaweza kuwa umeaminishwa kitu fulani kwa hiyo ukiwa kwenye utulivu utajikuta hicho kitu kinaibuka ndani kwa ndani na kukufanya uanze kushughulika nacho badala ya kuendelea na safali yako ya utulivu.
Sasa unapoanza kujifunza namna ya Empying Mind automatically utaanza kufuta vitu negative vilivyo ndani ya mind na kufanya thought/Perception kuanza kupungua nguvu. Kadri unayozid kwenda mbele utaanza kuwa na uwezo wa kukontrol thought hatimaye kuzima kabisa na kuelekea sasa kwenye safari ya Meditation State.
Nadhani mpaka hapo umenipata kwa namna fulani. Unajua kuna watu wanataka kuifanya meditation kama dini fulani na kuanza kuwaogopesha watu. Ni pale tu utakapo anza step kwa step ni safari ya kwenda kwenye ulimwengu wa roho, ulimwengu wa juu, Uwezo wa juu wako wewe.
Wengine wanatisha watu kwamba utakutana na mapepo, majini nk. Hii ni kutishana tu. Na ukute mtu anayesema hivyo amejengwa katika misingi ya kidini na anaongozwa na perception tu.
Kama unaswali wewe niulize huenda tukaanzia somo hapa.
Nadhani hujaisoma vizuri comment yangu kabla ya hii iliyo i quote. Nimesema hatua ya kwanza kabisa ni kuempty mind. Nikasema mambo ya posture ndiyo yanakuja baadaye. Ni kama unapomfundisha mtoto wa darasa la pili ukimpa swali laVipi kuhusu lotus posture, ni lazima uitumie wa hizi hatua mbili za mwanzo ulizozielezea? Maana hapa nilipoanzia hii kitu, maelekezo ni kukaa kenye kiti au sehemu yoyote ilimradi tu unaweza ku inhale na exhale kwa uzuri.
Nadhani hujaisoma vizuri comment yangu kabla ya hii iliyo i quote. Nimesema hatua ya kwanza kabisa ni kuempty mind. Nikasema mambo ya posture ndiyo yanakuja baadaye. Ni kama unapomfundisha mtoto wa darasa la pili ukimpa swali la
3-6 jibu lake litakuwa haiwezekani lakini yule wa darasa la saba atasema jubu ni -3. Ndio hivyo kwamba lengo la kumfundisha mtoto wa darasa la pili ni tofauti na lengo la kumfundisha mtoto wa darasa la saba. Ndio hapo watu wanakosea. Unapoanza kumfundisha mtu mambo ya next step kabla ya step husika mtu lazima achanganyikiwe.
Mfano leo mtoto wa form four umwambie atafute square root ya -4 hatapata jibu lakini mtu wa form six anayesoma mathematics atakupa jiku kuwa ni 2i.
Ni hivyo hivyo katika mazingira ya kujifunza ni lazima kuenda kwa spet.
Isitoshe kuempty mind sio kukaa tu kwenye sehemu ya utulivu. kuna wakati unatumia physical movement. Kwa hiyo mimi ninavyoona somo la posture linaweza likawa la tatu. Na lile na emptying mind likawa la pili na lile la kwanda nadharia ya lengo la kufanya meditation.
Posture ni muhimu na haina sheria ni jinsi ya kukaa mwili wako ukiwa umetulia bila maumivu. Sasa tamaduni zingine wamezoea kuka wakiwa wamekunja miguu, itakuwa ngumu sana kwako kuanza kujifunza kukunja miguu na itakuwa inauma sana na kuanza kuconcetrate na maumivu. Ni vyema kuondoa sheria ngumu na mizigo migumu inayomfanya mwanafunzi achukue mda au akatetamaa na meditation. Na meditation si lazima ukunje miguu. Chukulia wewe ndugu tangu uzaliwe hujawahi kukaa kwa kukunja miguu sasa hivi una miaka 30 na uambiwe ukunje miguu. Zoezi la kukunja miguu tu linaweza likamaliza mwaka na maumivu makali unapata.
Ni vyema tukatofautisha tamaduni na meditation.
Naomba tuendelee kama unajambo leo nipo hapa jamvini.
Naomba tuendelee kama unajambo leo nipo hapa jamvini.
Kwa upande mmoja kuwa na imani ni hatua moja wapo ya kuanza kuelekea kwenye meditation. Lakini kwa upande mwingine imani inaweza kuwa kizuizi kikubwa kwenye meditation.mkuu Annael hapo juu umesema watu wasiingize imani kwenye mambo haya, maana imani ni kizuizi kimojawapo kwa namna fulani. Tafadhali naomba uelezee kwa kina hapa ili pasiwe na mkanganyiko tena.
Kuna maelezo haya mafupi hebu anza nayoNaomba msaada kwa anaeanza inabidi aanzeje??
Hyo emptying mind inakuaje??
Step by step please mana Kama hujawah unaeza usielewe kitu.