Ushuhuda wa ukweli kuhusu meditation

Ushuhuda wa ukweli kuhusu meditation

Achana nayo kama huna abc za psychology! ukiiendekeza unaweza jiua! Unaweza kujiathiri bure kisaikolojia kabla ya kuwa karibu na jamii basi ukawa una antisocial behaviour, pia ukajaa kutwaa zigo la ukichaa, au uzezeta, au umasikini, au faraka na bipolar na mengineyo

Ushauri wangu, jifunze kumshukuru muumba na kumsifia kwa ukuu, ujuzi na utaalamu wake juu ya viumbe vyake na utukufu wake...
Muombe akujalie elimu yenye manufaa, na umuombe akusutiri na auepushie maradhi ya kiakili.. Muombe aifanye akili na moyo wako kustahmili kila jambo kwa kuwa na subira na uvumilivu na pia uwe na good social skills katika interactions etc.

Neema ya akili, ni moja kati ya neema kubwa mno, hii neema haipaswi kufanyiwa majaribu ambayo side effects zake hazicha chambuliwa effective...

Wito; Kwa wale ma psycho programer wa akili kuanzia wazazi, waalimu na jamii na wahadhiri..kuna haja ya ku builts hizi ego kwa manufaa ya jamii, kwa mafaa ya mjengwa, kwa manufaa ya mazingira na kwa kuzingatia stratergy maalumu..ambayo mjengwa na mjengaji watasaidiana pindi litokeapo tatizo.

Alamsiki
I love this post very much
 
Una hakika gani kuwa hiyo unayofanya ni meditation labda unakosea je???
Una mwalimu aliekuongoza siku za mwanzoni au unafanya tu mwenyewe??

Ulitegemea kupata faida gani??? (Pesa au??) maana kulingana na swali lako ni kama ulitegemea kupata kitu flani mara tu ilipoanzia kufanya taamuli.

Pia faida kubwa ni kujitambua sasa we kulingana na huu uzi wako ni kwamba bado hujajitambua.... Unahitaji kujitambua zaidi mkuu ili niweze kupata faida za taamuli kimwili na kiroho pia.
Kweli hajitambu isikute hata jinsia yake haitambui pia.
 
Lengo la Meditation ni simple. Lakini faida zake ni nyingi. Faida zake ni kutoka katika lengo moja. Na kila faida inaweza kuleta faida nyingine. Kuna faida kuu au lengo kuu ambalo matokeo mengine hutokea kama matawi. Ni kama mti na matawi. Lengo ni kuweza kutoa mshikilio uliopo akilini ambao kwa kawaida huonekani kwani tumezoea hali ya kushikilia akili zetu na hatuifahamu nature ya akili yetu.

Sio lengo ni kupata vipaji, sio kuwa na utajiri, sio kupata nguvu za ajabu, au jinsi wengi wanavyofikiri. Kuipata furaha ya kweli, kujitambua, kudhibiti hisia, mazoea, tamaa, hasira, chuki na ubinafsi, na kuweza kuiongoza akili yako. Hayo ni matokeo tu na faida za meditation zinazotoka katika faida kuu. Na faida hizo zinaweza kuzaa nyingine zaidi kama vile kuwa na tabia njema, kuacha mazoea mabaya, kujifahamu na kufahamu akili na ufahamu wa watu. Na faida hizo zinaweza kuleta faida zaidi kama kuwa na maisha mazuri kwani unaweza kujithibiti na unaishi vyema kwa akili na busara, unaweza kushirikiana na watu, unaweza kujidhibiti na kujitawala na kuwa mtu wa haki na msimamo. Pia unakuwa mwepesi kuisikia nafsi / intuition.

Kinachowarudisha nyuma wengi ni kuwa hawapitii kwanza maelezo ya mwanzo ya kuyafahamu kama vile akili ni nini, ina nini, ufahamu ni nini, una nini na nini. Akili ipoje na Ubongo? Ubongo na milango ya ufahamu vimeungana vipi na ufahamu? Chanzo cha mawazo ni nini? Ufahamu upoje na akili? Akili na mwili vimeunganika wapi? Wazo ni nini? Kulala ni nini? Nini kitatokea usipolala? Ndoto ni nini? Baada ya kupitia introduction kidogo ya kufahamu sayansi hiyo ndipo utatambua meditation ni nini na kwanini kuna meditation. Wengi huanza kusomea meditation bila kufahamu maelezo ya mwanzo katika kujifahamu na kufahamu ufahamu na akili ni nini.
Nimekupenda bure kwa maelezo sawia, big up!
 
mimi nina mwezi sasa nimeshindwa kufanya meditation l, sina mwalinu na tatizo kuingiliana kwa mawazo wakati ninapotaka kufanya meditation
 
mimi nina mwezi sasa nimeshindwa kufanya meditation l, sina mwalinu na tatizo kuingiliana kwa mawazo wakati ninapotaka kufanya meditation
Nenda YouTube ka search video za meditation for beginners zitakuja hapo kisha download.
 
Meditation ni ishu ya ki psychology hakuna chochote zaid ya hapo.

Ktk mafundisho ya kiislam yanasema miongoni mwa Neema ambazo mwenyezi mungu amewajaalia waja wake (wanadam) ili hali waja wake hawazifaham ni akili pamoja na afya. Cjiu ktk ukistro hili linasemaje

Nimejaribu kufatilia na kulichunguza haya mafundisho nikaja nikagumia ni kweli ila nilikuja kufam haya baada yakupata elimu ya psychology.

Psychology inatuambia ubongo umegawanyika ktk sehem kuu tatu
1. Conscious mind
2. Subconscious mind
3. Unconscious mind

Sehemu kubwa ambayo tuna itumia katika maisha yetu n subconscious na conscious, Kila mwanadam anaweza kuwa vile unavyotaka km ukiweza kuztumia vzr hz states of mind hasa ktk hii part subconscious mind kuna siri kubwa sana. Ili MTU aweze kufanya meditation subconscious mind lazma ihusishwe

Nb: Upo hvyo ulvyo kutokana na unacholisha akili yako. Chunga sana unacholisha akili yako
 
Back
Top Bottom