Patriot3

JF-Expert Member
Aug 5, 2022
312
521
Mimi ni kijana niliekuja Dar mwaka nusu ulopita. Nilikuja Dar baada ya kutoka nje kimasomo. Pamoja na course niliyosoma, mida ya jioni nilisoma skill nyingine nje ya curriculum kwa personal arrangement.

Niliweza kuimaster vuzuri kwa kuwa pia iliakisi uwezo wangu tangu utotoni. So baada ya kurudi kijijini bila mbele wala nyuma nikaamua kujitosa jijini. Sikuwahi kukaa hapa zaidi ya mwezi.

Kuja kwangu kuligubikwa na upinzani mkubwa hasa kwa wazazi. Siku nakuja hata mzee hakuniaga. Nilikuja kujiajiri basing my self on that secondary course. Nilistruggle sana kujiestablish. Nakumbuka kuna siku hadi sina msosi. But nisingeweza kuwaambia wazazi maana they warned me already.

Kwa kuwa nilikuwa conviction kwamba nitaweza, nilijibana hivyo hivyo tu ilimradi nimudu kodi meanwhile natengeneza base ya wateja. Sikuwahi kuregister business yangu kwa kuwa nilikuwa nafanya chinichini ili niwe na base nzuri ya wateja ili nikifungua officially iboom with immediate effect.

Mzee alikuja kunitembelea. Maswali ni unafanya nini, hadi unakosa majibu. Mara kwanini usiombe kazi hapa.

Namshukuru Mungu my stubbornness inaanza kuniletea mwanga. Kwa mara ya kwanza mwezi huu nitaweza kupata monthly profit ya 1m+ . Mwezi wa nne nafungua kitaasisi changu rasmi. My projection ni nipate gross profit ya 3.6m monthly kwa kuanzia.

Nawashauri vijana wengine tunaotamani kujiajiri tusikatishwe tamaa ilimradi tuna clear vision, siyo kuingia kichwa kichwa tu. Pili unapoamua kufanya jambo sometimes inabidi kuwatoa watu kwenye mfumo wako wa kijamii maana ushauri unakuwa mwingi hadi unachanganyikiwa.

Pia jua kuwa kusota kunahusika katika kujiestablish hasa ikiwa huna financial support kubwa. Cha msingi ni resilience.

Mungu ni mwema.

NB. Pia katika utafutaji jitenge sana na mademu. Wanaobscure your focus na energy kubwa. Jiwezeshe kwanza mahusiano yatakufuata mbele kwa mbele.
 
Mimi ni kijana niliekuja Dar mwaka nusu ulopita. Nilikuja Dar baada ya kutoka nje kimasomo. Pamoja na course niliyosoma, mida ya jioni nilisoma skill nyingine nje ya curriculum kwa personal arrangement.

Niliweza kuimaster vuzuri kwa kuwa pia iliakisi uwezo wangu tangu utotoni. So baada ya kurudi kijijini bila mbele wala nyuma nikaamua kujitosa jijini. Sikuwahi kukaa hapa zaidi ya mwezi.

Kuja kwangu kuligubikwa na upinzani mkubwa hasa kwa wazazi. Siku nakuja hata mzee hakuniaga. Nilikuja kujiajiri basing my self on that secondary course. Nilistruggle sana kujiestablish. Nakumbuka kuna siku hadi sina msosi. But nisingeweza kuwaambia wazazi maana they warned me already.

Kwa kuwa nilikuwa conviction kwamba nitaweza, nilijibana hivyo hivyo tu ilimradi nimudu kodi meanwhile natengeneza base ya wateja. Sikuwahi kuregister business yangu kwa kuwa nilikuwa nafanya chinichini ili niwe na base nzuri ya wateja ili nikifungua officially iboom with immediate effect.

Mzee alikuja kunitembelea. Maswali ni unafanya nini, hadi unakosa majibu. Mara kwanini usiombe kazi hapa.

Namshukuru Mungu my stubbornness inaanza kuniletea mwanga. Kwa mara ya kwanza mwezi huu nitaweza kupata monthly profit ya 1m+ . Mwezi wa nne nafungua kitaasisi changu rasmi. My projection ni nipate gross profit ya 3.6m monthly kwa kuanzia.

Nawashauri vijana wengine tunaotamani kujiajiri tusikatishwe tamaa ilimradi tuna clear vision, siyo kuingia kichwa kichwa tu. Pili unapoamua kufanya jambo sometimes inabidi kuwatoa watu kwenye mfumo wako wa kijamii maana ushauri unakuwa mwingi hadi unachanganyikiwa.

Pia jua kuwa kusota kunahusika katika kujiestablish hasa ikiwa huna financial support kubwa. Cha msingi ni resilience.

Mungu ni mwema.

NB. Pia katika utafutaji jitenge sana na mademu. Wanaobscure your focus na energy kubwa. Jiwezeshe kwanza mahusiano yatakufuata mbele kwa mbele.
Eleza ni kipi unafanya na vijana wapate mwanga
 
Mimi ni kijana niliekuja Dar mwaka nusu ulopita. Nilikuja Dar baada ya kutoka nje kimasomo. Pamoja na course niliyosoma, mida ya jioni nilisoma skill nyingine nje ya curriculum kwa personal arrangement.

Niliweza kuimaster vuzuri kwa kuwa pia iliakisi uwezo wangu tangu utotoni. So baada ya kurudi kijijini bila mbele wala nyuma nikaamua kujitosa jijini. Sikuwahi kukaa hapa zaidi ya mwezi.

Kuja kwangu kuligubikwa na upinzani mkubwa hasa kwa wazazi. Siku nakuja hata mzee hakuniaga. Nilikuja kujiajiri basing my self on that secondary course. Nilistruggle sana kujiestablish. Nakumbuka kuna siku hadi sina msosi. But nisingeweza kuwaambia wazazi maana they warned me already.

Kwa kuwa nilikuwa conviction kwamba nitaweza, nilijibana hivyo hivyo tu ilimradi nimudu kodi meanwhile natengeneza base ya wateja. Sikuwahi kuregister business yangu kwa kuwa nilikuwa nafanya chinichini ili niwe na base nzuri ya wateja ili nikifungua officially iboom with immediate effect.

Mzee alikuja kunitembelea. Maswali ni unafanya nini, hadi unakosa majibu. Mara kwanini usiombe kazi hapa.

Namshukuru Mungu my stubbornness inaanza kuniletea mwanga. Kwa mara ya kwanza mwezi huu nitaweza kupata monthly profit ya 1m+ . Mwezi wa nne nafungua kitaasisi changu rasmi. My projection ni nipate gross profit ya 3.6m monthly kwa kuanzia.

Nawashauri vijana wengine tunaotamani kujiajiri tusikatishwe tamaa ilimradi tuna clear vision, siyo kuingia kichwa kichwa tu. Pili unapoamua kufanya jambo sometimes inabidi kuwatoa watu kwenye mfumo wako wa kijamii maana ushauri unakuwa mwingi hadi unachanganyikiwa.

Pia jua kuwa kusota kunahusika katika kujiestablish hasa ikiwa huna financial support kubwa. Cha msingi ni resilience.

Mungu ni mwema.

NB. Pia katika utafutaji jitenge sana na mademu. Wanaobscure your focus na energy kubwa. Jiwezeshe kwanza mahusiano yatakufuata mbele kwa mbele.

Kuhusu mademu hiyo kweli most of them are cursed ukifanya nao ngono you can't earning profit from 1M+ from your hustling starter
 
Eleza ni kipi unafanya na vijana wapate mwanga
Sorry mkuu sikisema sababu sitaki wanaofahmu story yangu wanijue isije kuonekana nawasemea hapa. Ila the main subject nilikuwa ni kutiana moyo ktk safari ya kutafuta pamoja na vikwazo tunavyoweza kupata hasa kutoka kwa watu wetu wa karibu.
 
Mimi ni kijana niliekuja Dar mwaka nusu ulopita. Nilikuja Dar baada ya kutoka nje kimasomo. Pamoja na course niliyosoma, mida ya jioni nilisoma skill nyingine nje ya curriculum kwa personal arrangement.

Niliweza kuimaster vuzuri kwa kuwa pia iliakisi uwezo wangu tangu utotoni. So baada ya kurudi kijijini bila mbele wala nyuma nikaamua kujitosa jijini. Sikuwahi kukaa hapa zaidi ya mwezi.

Kuja kwangu kuligubikwa na upinzani mkubwa hasa kwa wazazi. Siku nakuja hata mzee hakuniaga. Nilikuja kujiajiri basing my self on that secondary course. Nilistruggle sana kujiestablish. Nakumbuka kuna siku hadi sina msosi. But nisingeweza kuwaambia wazazi maana they warned me already.

Kwa kuwa nilikuwa conviction kwamba nitaweza, nilijibana hivyo hivyo tu ilimradi nimudu kodi meanwhile natengeneza base ya wateja. Sikuwahi kuregister business yangu kwa kuwa nilikuwa nafanya chinichini ili niwe na base nzuri ya wateja ili nikifungua officially iboom with immediate effect.

Mzee alikuja kunitembelea. Maswali ni unafanya nini, hadi unakosa majibu. Mara kwanini usiombe kazi hapa.

Namshukuru Mungu my stubbornness inaanza kuniletea mwanga. Kwa mara ya kwanza mwezi huu nitaweza kupata monthly profit ya 1m+ . Mwezi wa nne nafungua kitaasisi changu rasmi. My projection ni nipate gross profit ya 3.6m monthly kwa kuanzia.

Nawashauri vijana wengine tunaotamani kujiajiri tusikatishwe tamaa ilimradi tuna clear vision, siyo kuingia kichwa kichwa tu. Pili unapoamua kufanya jambo sometimes inabidi kuwatoa watu kwenye mfumo wako wa kijamii maana ushauri unakuwa mwingi hadi unachanganyikiwa.

Pia jua kuwa kusota kunahusika katika kujiestablish hasa ikiwa huna financial support kubwa. Cha msingi ni resilience.

Mungu ni mwema.

NB. Pia katika utafutaji jitenge sana na mademu. Wanaobscure your focus na energy kubwa. Jiwezeshe kwanza mahusiano yatakufuata mbele kwa mbele.
Mwishoni umeshauri vyema kabisa
 
Hiyo ya mwisho ndio mkombozi wa maisha yangu yooote mpk sasa.
Nakumbuka wakati napambana na maisha mademu walikua wakiniuliza unafanya nn? Nawambia niko chuo nasoma basi demu wa kitaa lazima akimbie tu.
Kumbe mwenzao natafuta maisha kuja kushtuka mambo yalivyo kuja kukaa sawa mara puuuuh.
MADEMU BIG NO.
 
Sio mademu tu na starehe . Mafanikio hayasogei. Ukiona unapata pesa na huoni km zinaongezeka na hakuna maendeleo yoyote, tafuta kitu cha kufanya. Mfano, ujenzi tu utakusuma. Hutaweza kuchezea pesa tena.
 
Sio mademu tu na starehe . Mafanikio hayasogei. Ukiona unapata pesa na huoni km zinaongezeka na hakuna maendeleo yoyote, tafuta kitu cha kufanya. Mfano, ujenzi tu utakusuma. Hutaweza kuchezea pesa tena.
Mademu na starehe vitu vinavyoua malengo.pia kuwa na lengo ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom