wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Tax avoidance vs Tax evasion.Nkumbushe kwamba former US President one Donald Trump wanataka kumburuza mahakamani kutokana na kukwepa kulipa kodi stahiki - kumbuka Trump ni Milkionea na mfanya biashara mashuhuri nchini Merikani lakini anakwepa kulipa kodi stahiki, msifikiri Wazungu ni malahika.