Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida siyo wachina. Shida ni viongozi wasio na maono. Hivi Ulaya wakiwa na mawazo kama haya Waafrica waliokimbilia huko kilazima watafanyaje?ukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida
opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya PF
Africa tuna kazi sana kwa kweli
Hakuna kitu watawafanya..hakuna kitakachobadirika.ukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida
opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya PF
Africa tuna kazi sana kwa kweli
Nakupa miezi sita utarudi kutaka kufuta uzi. Mlisema hivi hivi kwa rais wa Malawi yule mpinzani wa zamani kisa alikuwa na ahadi feki nyingi. Waafrika ni walewaleukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida
opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya PF
Africa tuna kazi sana kwa kweli
Uharooh mtupu.Sijafuatilia siasa za Zambia kabisa lakini natamani siku moja Africa kuwe na vyama pinzani vyenye kulenga katika kutatua matatizo ya watu kweli
Sio kama hizi zetu za wachumia tumbo
Poleee kwa kuharaUharooh mtupu.
Karibu uunywe.Poleee kwa kuhara
Karibu uunywe.
Nakuchanganyia na karmasi kidooogo tu.Utakunywa na kuuoga mwenyewe
Mchina sio mzungu hadi uwape vigezo vinavyofanana. Mchina halipi kodi na akilipa amekwepa nyingi tayari, viwanda vyao vingi havina tija kubwa kwa nchi na hizo ajira unazozungumza ni ndoto kupata ajira ya kueleweka kwao.Kwani hawalipi kodi?kwani wamempokonya mtu hela? Kwani hawaajiri waZambia?kwani wananyanyasa raia wa Zambia?
Afrika hatutakuja kuendelea