Ushindi wa kishindo wa CCM Mbarali, ni fursa kwa upinzani kuwa mguu sawa

Sep 13, 2023
35
46
Ushindi mkubwa wa kishindo walioupata CCM katika jimbo la mabara-Jijini Mbeya, ni ishara njema ya kukubalika, kuimarika na kuaminika kwa chama cha mapinduzi kwa wananchi na uhakika wa kushinda chaguzi zijazo.

Lakini pia uchaguzi huo ni fursa muhimu zaidi kwa upinzani kujipima, kujitathimini, kujipanga na kubuni na kuibua mbinu na mikakati kabambe dhidi ya CCM inayoimarika kila uchwao na kuikabili vilivyo tena kisayansi na kwa sera madhubuti za kuwavutia na kuwashawishi wanachama wengi zaidi hususani vijana ili hatimae kuibuka na kura nyingi zaidi na kushinda mitaa mingi zaidi, Kata nyingi zaidi, majimbo mengi zaidi na Inshaalah Urais katika chaguzi zijazo.

Niwapongeze sana wote walioshiriki uchaguzi huo muhimu kwa mustakabali wa maendeleo ya jimbo la Mbarali.

Niwapongeze mno waliopata ushindi, na ambao hawakupata ushindi kwa ungwana na ustaarabu wa kiwango kukubali matokeo. Hakika asie kubali kushindwa huyo si mshindani.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Bariki Demokrasia Tanzania.
 
tapatalk_1690813690362.jpg
 
Muwe na aibu basi hata kidogo munapoleta thread za kingese kama hizi
uongozi ni kipaji, ni taaluma, ni utashi, ni maslahi,
Lakini pia ni jalala na usaliti.
Ikiwa una kifua chepesi na matarajio, mgombea, chama, na kura zako mfukoni itakusumbua sana.
ni vema ukaandaa altenatives ukishinda itakuaje, ukishindwa itakuaje, you will survive peacefully and remain relenvant politicaly.
never give up, never surrender
 
uongozi ni kipaji, ni taaluma, ni utashi, ni maslahi,
Lakini pia ni jalala na usaliti.
Ikiwa una kifua chepesi na matarajio, mgombea, chama, na kura zako mfukoni itakusumbua sana.
ni vema ukaandaa altenatives ukishinda itakuaje, ukishindwa itakuaje, you will survive peacefully and remain relenvant politicaly.
never give up, never surrender
Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
 
Kwahiyo hapa Kuna waliogombea ambao pia hawakujipigia kura!? Kweli hii ni ajabu!
Huko ni kijijini Madibira,soma tena karatasi ya matokeo.
Huenda wagombea walipiga kura zao eneo tofauti.
Mgombea hawezi kupiga kura yake kila kituo.
Epuka sana kupotosha watu.
 
Ushindi mkubwa wa kishindo walioupata ccm katika jimbo la mabara-Jijini Mbeya, ni ishara njema ya kukubalika, kuimarika na kuaminika kwa chama cha mapinduzi kwa wananchi na uhakika wa kushinda chaguzi zijazo.

Lakini pia uchaguzi huo ni fursa muhimu zaidi kwa upinzani kujipima, kujitathimini, kujipanga na kubuni na kuibua mbinu na mikakati kabambe dhidi ya ccm inayoimarika kila uchwao na kuikabili vilivyo tena kisayansi na kwa sera madhubuti za kuwavutia na kuwashawishi wanachama wengi zaidi hususani vijana ili hatimae kuibuka na kura nyingi zaidi na kushinda mitaa mingi zaidi, Kata nyingi zaidi, majimbo mengi zaidi na Inshaalah Urais katika chaguzi zijazo.

Niwapongeze sana wote walioshiriki uchaguzi huo muhimu kwa mustakabali wa maendeleo ya jimbo la mbarali.
Niwapongeze mno waliopata ushindi, na ambao hawakupata ushindi kwa ungwana na ustaarabu wa kiwango kukubali matokeo. Hakika asie kubali kushindwa huyo si mshindani.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Bariki Demokrasia Tanzania.
f44377295d0933f4a20aa7b28f67b6fc.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Sio sahihi

Chadema ya sasa sera hawana

Kutwa ni kuamka tu kukosoa CCM hapo ndipo shida ya Chadema ilipo

Ndio maana unakuta chama kidogo kama ACT wazalendo kinaweza ingia serikali ya pamoja Zanzibar huwa wanajipanga kwa hoja zao wao Kama wao

Chadema inategemea Makosa CCC ooh CCM ikosee wapi ndio wao wapate hoja

Siqsa za vyama kote duniani hata nchi zilizoendelea za vyama vingi haziendi hivyo

Chama siasa popote duniani hata nchi zilizoendelea hawashindani tu na chama tawala wanajua chama chochote chaweza shika nchi kiwe ACT wazalendo, UDP nk kikaitoa CCM madarakani Kwa hiyo strategy ya Chadema ya kutangaza vita na CCM, ACT wazalendo nk ni upotezaji muda wanatakiwa kuwa na sera imara kwelikweli za kusimamia zinazokubalika kwa wanamchi sio kutukana tu CCM au vyama vingine vya siasa.Kwa muono.wangu ACT wazalendo wana nafasi kubwa ya kushika nchi kuliko.chama chochote cha siasa nchini wamejipanga hasa


Ushindi wao ACT wazalendo Zanzibar na kutoa makamu wa Raisi Zanzibar na kuwa na wabunge wengi bungeni na baraza la wawakilishi ni hatua kubwa sana kwao.They mean Political Bussiness They are slow but Sure.Chadema moto wa mabua

Halafu wameanzia Zanzibar sehemu Ambayo ACT Wazalendo kilikuwa chama kisichojulikana kabisa walijulikana bara tu lakini kule wamepata hadi makamu wa Raisi wamejipanga hasa
Tatizo la Chadema hakuna wanasiasa wamejaa wanaharakati na ndio washauri wao

Akiingia Mwanasiasa mfano Slaa au Lowasa walikuwa wanafanya vizuri

Wakuachwa wenyewe hamna kitu

Slaa mwanasiasa ,Lowasa Mwanasiass ndio maana walifanya vizuri mno

Lakini kama Chama Chadema kina upungufu wa wanasiasa kimejaza wanaharakati

Wanaharakati sio wazuri sana kwenye siasa sababu hujikita tu kwenye mapungufu.ya fulani husika tu
 
Huko ni kijijini Madibira,soma tena karatasi ya matokeo.
Huenda wagombea walipiga kura zao eneo tofauti.
Mgombea hawezi kupiga kura yake kila kituo.
Epuka sana kupotosha watu.

Watz tukisema ni wajinga wanatutukana yaani wao wanapenda kuambiwa kua wameibiwa tuh
Jitu limesusia uchaguzi wengine wameenda kupiga kura afu analalamika kura za wizi
Mara cjui sio halali yaani tumelogwa
 
Sio sahihi

Chadema ya sasa sera hawana

Kutwa ni kuamka tu kukosoa CCM hapo ndipo shida ya Chadema ilipo

Ndio maana unakuta chama kidogo kama ACT wazalendo kinaweza ingia serikali ya pamoja Zanzibar huwa wanajipanga kwa hoja zao wao Kama wao

Chadema inategemea Makosa CCC ooh CCM ikosee wapi ndio wao wapate hoja

Siqsa za vyama kote duniani hata nchi zilizoendelea za vyama vingi haziendi hivyo

Chama siasa popote duniani hata nchi zilizoendelea hawashindani tu na chama tawala wanajua chama chochote chaweza shika nchi kiwe ACT wazalendo, UDP nk kikaitoa CCM madarakani Kwa hiyo strategy ya Chadema ya kutangaza vita na CCM, ACT wazalendo nk ni upotezaji muda wanatakiwa kuwa na sera imara kwelikweli za kusimamia zinazokubalika kwa wanamchi sio kutukana tu CCM au vyama vingine vya siasa.Kwa muono.wangu ACT wazalendo wana nafasi kubwa ya kushika nchi kuliko.chama chochote cha siasa nchini wamejipanga hasa


Ushindi wao ACT wazalendo Zanzibar na kutoa makamu wa Raisi Zanzibar na kuwa na wabunge wengi bungeni na baraza la wawakilishi ni hatua kubwa sana kwao.They mean Political Bussiness They are slow but Sure.Chadema moto wa mabua

Halafu wameanzia Zanzibar sehemu Ambayo ACT Wazalendo kilikuwa chama kisichojulikana kabisa walijulikana bara tu lakini kule wamepata hadi makamu wa Raisi wamejipanga hasa
Tatizo la Chadema hakuna wanasiasa wamejaa wanaharakati na ndio washauri wao

Akiingia Mwanasiasa mfano Slaa au Lowasa walikuwa wanafanya vizuri

Wakuachwa wenyewe hamna kitu

Slaa mwanasiasa ,Lowasa Mwanasiass ndio maana walifanya vizuri mno

Lakini kama Chama Chadema kina upungufu wa wanasiasa kimejaza wanaharakati

Wanaharakati sio wazuri sana kwenye siasa sababu hujikita tu kwenye mapungufu.ya fulani husika tu

Hawatakuelewa watakuita chawa
Chadema haina hoja zaid ya kushambulia ccm bhc.mwisho hichi kitakua chama cha fujo bhc maana hawana sera zaid ya matusi
 
Hawatakuelewa watakuita chawa
Chadema haina hoja zaid ya kushambulia ccm bhc.mwisho hichi kitakua chama cha fujo bhc maana hawana sera zaid ya matusi
Uchaguzi hautakuwa wa HURU na HAKI iwapo CCM itaendelea kusimamia chaguzi.

Mkurugenzi wa Halmashauri ambae ni KADA wa CCM hawezi kuaminika hata kidogo

Ni sawa sawa na SIMBA icheze na YANGA halafu REFARII awe ni mmoja wa wachezaji walio kwenye benchi la ufundi la YANGA.
 
Sio sahihi

Chadema ya sasa sera hawana

Kutwa ni kuamka tu kukosoa CCM hapo ndipo shida ya Chadema ilipo

Ndio maana unakuta chama kidogo kama ACT wazalendo kinaweza ingia serikali ya pamoja Zanzibar huwa wanajipanga kwa hoja zao wao Kama wao

Chadema inategemea Makosa CCC ooh CCM ikosee wapi ndio wao wapate hoja

Siqsa za vyama kote duniani hata nchi zilizoendelea za vyama vingi haziendi hivyo

Chama siasa popote duniani hata nchi zilizoendelea hawashindani tu na chama tawala wanajua chama chochote chaweza shika nchi kiwe ACT wazalendo, UDP nk kikaitoa CCM madarakani Kwa hiyo strategy ya Chadema ya kutangaza vita na CCM, ACT wazalendo nk ni upotezaji muda wanatakiwa kuwa na sera imara kwelikweli za kusimamia zinazokubalika kwa wanamchi sio kutukana tu CCM au vyama vingine vya siasa.Kwa muono.wangu ACT wazalendo wana nafasi kubwa ya kushika nchi kuliko.chama chochote cha siasa nchini wamejipanga hasa


Ushindi wao ACT wazalendo Zanzibar na kutoa makamu wa Raisi Zanzibar na kuwa na wabunge wengi bungeni na baraza la wawakilishi ni hatua kubwa sana kwao.They mean Political Bussiness They are slow but Sure.Chadema moto wa mabua

Halafu wameanzia Zanzibar sehemu Ambayo ACT Wazalendo kilikuwa chama kisichojulikana kabisa walijulikana bara tu lakini kule wamepata hadi makamu wa Raisi wamejipanga hasa
Tatizo la Chadema hakuna wanasiasa wamejaa wanaharakati na ndio washauri wao

Akiingia Mwanasiasa mfano Slaa au Lowasa walikuwa wanafanya vizuri

Wakuachwa wenyewe hamna kitu

Slaa mwanasiasa ,Lowasa Mwanasiass ndio maana walifanya vizuri mno

Lakini kama Chama Chadema kina upungufu wa wanasiasa kimejaza wanaharakati

Wanaharakati sio wazuri sana kwenye siasa sababu hujikita tu kwenye mapungufu.ya fulani husika tu
Narudia tena, Tanzania hakuna uchaguzi Bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ingekuwa wananchi ndio wanaamua nani awe madarakani kupitia box la kura, Leo hii ccm isingekuwa madarakani.

Hao ACT hawako madakani huko Zanzibar kwa sababu ya sera Bali ni mpasuko wa CUF ulipelekea Maalim Seif kuondoka na wafuasi wake na kuwabwaga ACT. Na kwa huko Zanzibar ushindani sio wa sera, Bali ni tofauti kati ya waunguja na wapemba. Fahamu ACT haikuanzia Zanzibar hivyo acha upotosha, Bali ACT walikutana na embe chini ya mnazi, baada kutokana na ugomvi wa CUF. Ukitaka kujua wananchi wanataka Nini kifanyike uchaguzi wa haki kisha uje utoe mrejesho hapa.
 
Sio sahihi

Chadema ya sasa sera hawana

Kutwa ni kuamka tu kukosoa CCM hapo ndipo shida ya Chadema ilipo

Ndio maana unakuta chama kidogo kama ACT wazalendo kinaweza ingia serikali ya pamoja Zanzibar huwa wanajipanga kwa hoja zao wao Kama wao

Chadema inategemea Makosa CCC ooh CCM ikosee wapi ndio wao wapate hoja

Siqsa za vyama kote duniani hata nchi zilizoendelea za vyama vingi haziendi hivyo

Chama siasa popote duniani hata nchi zilizoendelea hawashindani tu na chama tawala wanajua chama chochote chaweza shika nchi kiwe ACT wazalendo, UDP nk kikaitoa CCM madarakani Kwa hiyo strategy ya Chadema ya kutangaza vita na CCM, ACT wazalendo nk ni upotezaji muda wanatakiwa kuwa na sera imara kwelikweli za kusimamia zinazokubalika kwa wanamchi sio kutukana tu CCM au vyama vingine vya siasa.Kwa muono.wangu ACT wazalendo wana nafasi kubwa ya kushika nchi kuliko.chama chochote cha siasa nchini wamejipanga hasa


Ushindi wao ACT wazalendo Zanzibar na kutoa makamu wa Raisi Zanzibar na kuwa na wabunge wengi bungeni na baraza la wawakilishi ni hatua kubwa sana kwao.They mean Political Bussiness They are slow but Sure.Chadema moto wa mabua

Halafu wameanzia Zanzibar sehemu Ambayo ACT Wazalendo kilikuwa chama kisichojulikana kabisa walijulikana bara tu lakini kule wamepata hadi makamu wa Raisi wamejipanga hasa
Tatizo la Chadema hakuna wanasiasa wamejaa wanaharakati na ndio washauri wao

Akiingia Mwanasiasa mfano Slaa au Lowasa walikuwa wanafanya vizuri

Wakuachwa wenyewe hamna kitu

Slaa mwanasiasa ,Lowasa Mwanasiass ndio maana walifanya vizuri mno

Lakini kama Chama Chadema kina upungufu wa wanasiasa kimejaza wanaharakati

Wanaharakati sio wazuri sana kwenye siasa sababu hujikita tu kwenye mapungufu.ya fulani husika tu
Kwahoja zako hiz nashaur iwepo tume huru isiyokua nominated na Rais, vitolewe vifungu kweny katiba vya kutopinga matokeo ya uchaguzi!! Maana MACHADEMA hawana sera tena wamejifia!!
 
Ushindi mkubwa wa kishindo walioupata ccm katika jimbo la mabara-Jijini Mbeya, ni ishara njema ya kukubalika, kuimarika na kuaminika kwa chama cha mapinduzi kwa wananchi na uhakika wa kushinda chaguzi zijazo.

Lakini pia uchaguzi huo ni fursa muhimu zaidi kwa upinzani kujipima, kujitathimini, kujipanga na kubuni na kuibua mbinu na mikakati kabambe dhidi ya ccm inayoimarika kila uchwao na kuikabili vilivyo tena kisayansi na kwa sera madhubuti za kuwavutia na kuwashawishi wanachama wengi zaidi hususani vijana ili hatimae kuibuka na kura nyingi zaidi na kushinda mitaa mingi zaidi, Kata nyingi zaidi, majimbo mengi zaidi na Inshaalah Urais katika chaguzi zijazo.

Niwapongeze sana wote walioshiriki uchaguzi huo muhimu kwa mustakabali wa maendeleo ya jimbo la mbarali.
Niwapongeze mno waliopata ushindi, na ambao hawakupata ushindi kwa ungwana na ustaarabu wa kiwango kukubali matokeo. Hakika asie kubali kushindwa huyo si mshindani.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Bariki Demokrasia Tanzania.
Ni mjinga na asiejitambua ndie ataamin kama unavyoamin!!
 
Back
Top Bottom