Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 546
- 479
Kwanza, Mungu yupo upande wako kwa kazi nzuri unazo wanyanyia waja wake.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.
Pili, watanzania wote wenye mapenzi mema wanakuunga mkono umewaonyesha njia.
Tatu, wanawake ni jeshi kubwa wameamua na kuridhia uwe Esther/Hadija wao kwa kizazi hiki, uwakomboe kwenye makucha ya mfumo dume uliotaka kuota mizizi nchini.
Nne, Dola iko mikononi mwake kila aliye madarakani ni kwa ridhaa yake na dola ina imani na yeye labda aamue kuachia dola kwa hiari yake mwenyewe.
Tano, Ccm ni chama kubwa, chama kongwe linalo kubalika Tanzania, Afrika na duniani lenye mbinu zaidi ya 1000 yeye ni m/kiti wake je? Kipi kitashindikana?
Sita, Hakuna upinzani Tanzanian bali kuna watoa taarifa wasio na ushawishi na wasio na agenda zaidi ya ubwabwa na kulia kupigwa risasi za mablankoo, tena wao wenyewe ili kuichafua serikali.
Kwa kweli ninauona ushindi mnono kwa huyu mama yetu mpendwa hakuna wa kumzuia kuingia ikulu 2025.
Wale manabii wa uongo na mapastor feki wanaoendelea kujitabiria viunabii vyao uchwara kwamba Ccm itagawanyika tuwapuuze.
Nb. Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, bisheni nanyi mtafunguliwa.
Nami ninakuomba mama unikimbuke kwenye ufalme wako ujao.
Nitakusaidia kufanya kazi za watanzania kwa uzalendo hekima, utu na weledi.