Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Status
Not open for further replies.
Mwe mnafikiri vizuri kabla ya kuhukumu watu kimikoa na kimakabila, kama mtu amekosea ahukumiwe yeye
Excellent Mkuu! Kosa la mtu mmoja au kikundi fulani cha jamii haimaanishi kwamba jamii nzima ndiyo iko hivyo, au anataka mataifa mengine nayo yaseme watanzania wote ni wachawi kwa kuwa huyo mtuhumiwa ametoka TZ?
 
[h=2].................very sad to see people who have ispired youth in this country to become politician is now under fire on political hypocracy i still belive that Zitto is still influencial to CHADEMA and his contribution should not be underestimated ila ni wakati wa kukaa chini na kuona how we build in stregth in such period where ccm will be more excited to see us scrambled and reduced to NCCR-MAGEUZI level .................hata hawa vijana akina saa nane wanaoleta story za kijinga hapa sioni kama ni busara hata kama ni kweli wanayosema ila niujinga kujiexpose haswa unapojua exposure yenyewe inaweza kuharibu jamii inayo kuzunguka yaani CHADEMA ...................................Mimi nawachulukulia wote kama watuwaliopungukiwa ufahamu wa kawaida kabisa.......huu si wakati wa kuwapatia wananchi benefit of doughty ila kuhakiki kile tunachokisema na kukitenda.................all in all CCM are happy so we saaa8 na wenzako acheni ujinga kwani kutumiwa kisiasa ni level ya juu sana katika utumwa wa kifikra...........................[/h]
 
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde hama chake ambacho yeye atakuwa mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko.

Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015 lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..hii now iko waazi mno.

Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...basi ni bora ajipange now.

Mimi naona this way it is better kwa kila mtuZitto na CHADEMA pia.

Hilo ndo kosa mnalofanya chama hakiwezi kuwa cha mtu mmoja...hata kama akianzisha chama chake itamlazimu kuomba ridhaa ya wanachama.....mi nadhani kwakuwa mwenyekiti Wa ccm ni baba yake na alishasema anataka rais ajaye awe kijana walipokuwa na Zitto Sudan kusini basi ZITTO AHAMIE CCM...Tena uzuri CCM ina wanachama wengi wanaomtaka awe rais atashinda kirais.....
 
Mkuu the Boss, angalau kuna viongozi wengine wa Chadema walishawahi kuwa wanachama wa vyama vingine na ndio maana wengine hata kadi wanatunza kwa kumbukumbu!, lakini ZZK ni "born 'n' breed" in Chadema!. Kwake Chadema is the only party he knows!.

Kwa vile he was born Chadema, he will die Chadema!. Kwetu sisi wengine, ZZK ni Chadema na Chadema ni pamoja na ZZK, bila ZZK hakuna Chadema na bila Chadema hukuna ZZK!.

Nyie mnaemuona ZZK hawafai katika chama chenu, ili kuhalalisha kuwa Chadema kina wenyewe, na ndio maana wale mnao waona kama sio wenyewe ndio mnawataka watoke wakaanzishe vyama vyao ili mbaki wenyewe?!.

Maadam ZZK hajui chama kingine chochote, kwa baadhi yetu ZZK ni miongoni mwa wenye Chadema na mwakani tunamchagiza agombee Uenyekiti ili kuifutilia mbali ile dhana ya nepotisim kwenye top brass!.

Sasa nyinyi mnaemuona hafai, ndio tungewashauri mfungashe virago vyenu au mrejee kwenye vyama vyenu au mkaanzishe vyama vyenu mumsusie ZZK muone jinsi Chadema kitakavyo geuka ni chama cha kitaifa over night!. Mpaka Zanzibar kitafika!.

Naombeni sana tusimsakame ZZK based on taarifa za Saa8, na jee ikitokea ZZK akamkomalia huyo Saa8 aliyemtuma na kumpa ile sumu ya panya, mtasema nini?.

Dalili zote zinaonyesha "kikulacho", Chadema, "kii nguoni mwako!". Ila pia kuna uwezekano mkubwa mkakuta "Umdhaniye ndiye... siye!".
Pasco.........

Mkuu Pasco...ukisoma vizuri hakuna sehemu niliyosema Zitto hafai au ni msaliti au naamini maneno ya Saanane.. Mimi nimeamua kushauri hivi baada ya kusoma majibu ya Zitto kwa Saanane na lilinishtua zaidi ni aliposema anasikia 'maneno yale yale kutoka kwa watu wale wale' kama wakati wa marehemu Wangwe......ni kama ana suggest wanataka 'kumuua now' maadui zake....sasa tuulizane does it worth it??

je akipata ajali ya kweli bila faulo na akafa,damage yake kwa Chadema itakuwaje? na upinzani kwa ujumla ndo maana nikasema ni busara atoke...awe free...na mipango yake..
 
Bado sijajua Zitto na wafuasi wake wanang'ang'ania nini huko CHADEMA wakati wanaamini Chadema ni chama cha kidini, kikabila na kikanda na pia wakijua kabisa kabisa Chadema haitampitisha Zitto kuja kugombea Urais
 
Mkuu Pasco...
ukisoma vizuri hakuna sehemu niliyosema Zitto hafai
au ni msaliti au naamini maneno ya Saanane..
Mimi nimeamua kushauri hivi baada ya kusoma majibu ya Zitto kwa Saanane
na lilinishtua zaidi ni aliposema anasikia 'maneno yale yale kutoka kwa watu wale wale'
kama wakati wa marehemu Wangwe......ni kama ana suggest wanataka 'kumuua now'
maadui zake....sasa tuulizane does it worth it??

je akipata ajali ya kweli bila faulo na akafa,damage yake kwa Chadema itakuwaje?
na upinzani kwa ujumla

ndo maana nikasema ni busara atoke...awe free...na mipango yake..
Mkuu The Boss, Wapiganaji shupavu, huwa hawakimbii vita, wanapigana mpaka risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu linamwagika!, hata kama at the end of the day, jeshi lao halitashinda vita, ila watakumbukwa daima kama mashujaa waliofia nchi yao!.

ZZK ni mpiganaji shupavu na atapambana mpka mwisho!. Mimi naamini ya Wangwe ni ajali tuu kama ilivyo ya Mama Mbatia na mi mi pia nilipata ajali eneo hilo hilo ni notorious kwa ajali, tunaoelewa tunaelewa, ikitokea ni ajali, then ni ajali, ila kama ni mkono wa mtu, "hata panya hatapona"!.
Pasco.
 
Chadema wakimpitisha mfalme wa mabaal kuwa mgombea urais 2015 ndo utakuwa mwisho wangu kujihusisha na mambo ya siasa
 
Mkuu The Boss, Wapiganaji shupavu, huwa hawakimbii vita, wanapigana mpaka risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu linamwagika!, hata kama at the end of the day, jeshi lao halitashinda vita, ila watakumbukwa daima kama mashujaa waliofia nchi yao!.

ZZK ni mpiganaji shupavu na atapambana mpka mwisho!. Mimi naamini ya Wangwe ni ajali tuu kama ilivyo ya Mama Mbatia na mi mi pia nilipata ajali eneo hilo hilo ni notorious kwa ajali, tunaoelewa tunaelewa, ikitokea ni ajali, then ni ajali, ila kama ni mkono wa mtu, "hata panya hatapona"!.
Pasco.
Endelea kumtia moyo Kijana shupavu ZITTO KABWE lakini huku unamwangamiza taratibu.

Askari wake wanazidi kutubu kila kukicha soon utashangaa amebaki mwenyewe na ''misukule'' wamekimbilia kuja CCM.

Shupavu alikuwa Sadam, Osama nk. wako wapi sasa?

Sio lazima unyee kambi kwanza ndio ukimbie....
 
Chadema wakimpitisha mfalme wa mabaal kuwa mgombea urais 2015 ndo utakuwa mwisho wangu kujihusisha na mambo ya siasa

Teh teh teh teh, nimecheka sana mkuu.. Unajua ZZK ni kama binadamu wengine tu.. Kwani yeye ndiye wa' kwanza kuwa na matunguli.. Umesahau yale yaliyotokea(ga) bungeni???
 
So hutaki atoke na kuanzisha chama chake?
at the same time unaona anasaliti chadema?


Hahahaaa hili mimi ndio huwa linanishangaza all the time humu linapokuja suala la zitto kuitwa majina mabaya yote lakini ukitoa ushauri wowote utakaofanya zitto asiwemo ndani ya chadema jamaa wanakua wakali kama pilipili,ndio mana hafukuzwi,kina kafulila chanzo cha kusulibiwa chadema ilikua ni sababu ya zitto,lakini zitto mpaka leo anadunda chamani,kiufupi chadema inamhitaji zaidi zitto
 
Bado sijajua Zitto na wafuasi wake wanang'ang'ania nini huko CHADEMA wakati wanaamini Chadema ni chama cha kidini, kikabila na kikanda na pia wakijua kabisa kabisa Chadema haitampitisha Zitto kuja kugombea Urais
hahahaaaaaaaaaaa akil yako imekuwa kama hard disk inajaza hadi *****,unanjaa au ukabila ndo akil yako..kama hujui uandike nn kalale...
 
Chadema wakimpitisha mfalme wa mabaal kuwa mgombea urais 2015 ndo utakuwa mwisho wangu kujihusisha na mambo ya siasa

Ina maana wewe mpaka leo una kadi moja tu!!!!!!!wenzako huko wana kadi mbili mbili kwa kuwa wanajua chadema sio mama wala baba yao bali ni kama koti tu likibana unalivua!
 
Bado sijajua Zitto na wafuasi wake wanang'ang'ania nini huko CHADEMA wakati wanaamini Chadema ni chama cha kidini, kikabila na kikanda na pia wakijua kabisa kabisa Chadema haitampitisha Zitto kuja kugombea Urais

Naadhani wana enjoy wanavyo wakera wachaga kwa makusudi
 
Mkuu Pasco...ukisoma vizuri hakuna sehemu niliyosema Zitto hafai au ni msaliti au naamini maneno ya Saanane.. Mimi nimeamua kushauri hivi baada ya kusoma majibu ya Zitto kwa Saanane na lilinishtua zaidi ni aliposema anasikia 'maneno yale yale kutoka kwa watu wale wale' kama wakati wa marehemu Wangwe......ni kama ana suggest wanataka 'kumuua now' maadui zake....sasa tuulizane does it worth it??

je akipata ajali ya kweli bila faulo na akafa,damage yake kwa Chadema itakuwaje? na upinzani kwa ujumla ndo maana nikasema ni busara atoke...awe free...na mipango yake..

Zitto anajua anachokisema kwani kwenye ile michezo michafu aliyokua nachezewa wangwe na mwenyekiti ni zitto na genge hili hili linalomuandame yeye sasa walitumika,zitto mpaka leo ukizungumza nae anajuta kwa yale waliyokua wanamfanyia wangwe kwa maelekezo toka juu
 
Hii ni nchi ya kidemokrasia,Pamoja na kazi nyingine,Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa huhusika na kusajili vyama vipya.Namshauri Zitto badala ya kuhangaika mahakamani na chadema,aanzishe chama chake au ajiunge na chama kingine cha siasa.Naamini katika ufuasi alio nao,ataungwa mkono na watu wengi na wananchi wa kigoma kaskazini,watamrudishia ubunge wake.
 
Mkuu Zitto nje ya Chadema hana nguvu kama unavyofikiri.

Kujenga chama si kazi ya kitoto,
 
ujanja wa dagaa mchele ni baharini mjomba , ukimtoa tu hata sisimizi watammaliza ! Cdm raha sana ! Ndiyo maana kuna wanaokimbilia kwa pilato .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom