Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,026
- 132,772
Mkuu Sangarara, sijasema akiondoka chama kitafutwa bali kitakufa!. Nawaomba tusibishabe sana kuhusu hili kwa sababu sasa Zitto ndio ameondoshwa, tusiandikie mate ilihali wino upo!, akishaondoka, subiria mapigo ya "karma" yatakavyoishukia Chadema!. Kufa kwenyewe sio lazima kule kufa na kuzikwa kaburini, but Chadema will never be the same again!. Chadema with Zitto was the better party than Chadema without Zitto!. Wako wengi wanaamini Chadema ni Taasisi na sio watu!, mimi nawahakikishia Chadema ni watu na sio Taasisi!. Bila watu, hakuna Chadema!. Na sio Chadema tuu, hata CUF nayo ni watu tuu!. Chama pekee ambacho ni taasisi so far ni CCM pekee!.Pasco makosa mengine ni sababu ya kutokuhakiki ulichoandika au ni nini? unawezaje ukasema Bila Zitto hakuna Chadema? Kwamba Akiondoka chama kinafutwa?
Japo kimeoza na kinanuka rushwa na ufisadi, thai is the only one we have as of now, hivyo 2015 ni CCM tena and that will be the begining of an end of Chadema!, huko sii kufa?!.
Pasco.