Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,509
Huyu ni masalia kajiunga 18 Dec. walewale wakile kikundi masalia hadi kieleweke hakuna kulala tunahitaji ukombozi na sio usaliti. Kwani uongo aende kwa magamba. Hatumwitaji!!!
Hatukatai zitto kuwa shujaa ila asije akakigawa chama kwa suala moja tu la kutaka kugombea u rais..nice day.