THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,748
- 15,084
Zitto siku zote amekua anamwona dr slaa ni tishio kwake,na amekua anatafuta kila namna ya kumdhoofisha kisiasa ili aonekana hafai na yeye kupata nafasi ya kugombea urais wa nchi hii,sasa sisi tunamuuliza kama yeye alikua anajiona anafaa ilikua au alikua na haja gani ya kuwatuma watu waje kuwakashifu viongozi wajuu wa chama??yeye zitto anaposema ya kwamba chama hiki kina jasho lake,chama hiki kina muda wake,chama hiki kina damu yake,,sisi tunamhoji sasa kwa yote hayo yanahalalisha yeye kuja kukigawa chama??
Zitto anadhani kwa kuondoka yeye basi chadema inweza yumba,hakuna kitu kama hiko,,
yeye ni mafiki,na aondoke zake tuh
dawa ya mtu jeuri kama huyu ni kiburi tuh,hakuna kumeza meza maneno hapo,zitto ni mnafiki na mzandiki sana
Zitto anadhani kwa kuondoka yeye basi chadema inweza yumba,hakuna kitu kama hiko,,
yeye ni mafiki,na aondoke zake tuh
dawa ya mtu jeuri kama huyu ni kiburi tuh,hakuna kumeza meza maneno hapo,zitto ni mnafiki na mzandiki sana