Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Status
Not open for further replies.
yey ndio Jk?Sahihi si zilibuma.Ni kwamba ulikuwa ukiota au?Mamabo yaliyopelekea yalikuw amengi, kuanzia issue ya Nundu, wizara ya afya na suala la ulimboka,masha na umeme, na mengine mengi tuu sasa sijui lipi unadhani ni deal.

zungusha hiyo robo,naona hauna jipya
 
Wewe si umeachika atakuja kukuoa ww akupe viti maalumu,,Zitto ana iq kubwa kuliko huyo.

Teh teh, pengine hunijui vyema.mimi situmii pweza wala sihitaji tumia ila mziki wake wanajua dada zenu.IQ ipi sasa anakuwa **** kihivyo, wakati Lisu anweza handle vitu hata akiwa under immense pressure.
 
Bado unamini fikra mfu za zitto.naye si angeoa mkewe apewe vitu maalum kigoma.kashindwa shawishi mwanamke wa kuoa atwawezaje shawishi watu kuwa anafaa kuwa rasi.lazima we frustrated.

Namkumbuka mzee mmoja aliwahi niambia mwanamume akishindwa mshawishi mwanamke aingie ndani mwenyewe na kutaka paishi hata kama hakuna kitanda , mwanamume asiyweza mfanya mwanamke amwone kuwa anastahili kuwa baba watoto wake hawezi ongea kitu ya maana.

Wanawake na hata wanyama wa kike huwa hawapendi zaa na wanaume wanaowaona hawafai.Hiyo ndiyo test mojawapo.Atalazimisha sana kila kitu.

haoi ili mradi kaoa.ana malengo yake kama binadamu yeyote anayeishi maisha yake kwa kujiamini na sio kwa kushikiwa.nyie ni mapupeti na kuna mtu kasema hapa tunaweza kuwa tunapambana na ccm ambao wanajaribu kuleta mgawanyiko ndani ya cdm bila kujua naanza kumwamini.tunataka cdm yenye sura ya kitaifa na sio upande mmoja wa nchi.
 
Nasikia umechukua nafasi ya ben hapa JF,komaa Le Big show kusafirisha mke na watoto x mass Moshi sio mchezo.

SASA MINGOI JUKWAA LA MMU HUYO HALIONI??

MUELEKZE NDUGU YAKO HUYO,KAMA ANAHITAJI BWANA SI AENDE KULE AKAOMBE NA ATAWAPATA TUH??

KINACHOMFANYA AJE KUPARAMIA WAUME ZA WATU NINI??

ANAHITAJI OFFER YA X-MASS AU??

MSAIDIE,,MIMI SIHITAJI KABISA,TENA MWANAMKE KAMA HUYO NI STRESS TUH
BINADAM UNAITWA VIPI CHEPE??

:nono::nono:
 
unaniita mimi ndugu yako??mimi sio ndugu yako kbs,usinizoee zoee,sina undugu na ccm mimi

pia sihitaji hata kuoa mtoto wa kike kama wewe mwenye mapenz na ufisadi umeskia??tusijuane juane,tumekutana kimjini mjin humu,,,,
na hakuna bwana wa bure hapa,,kama unatafuta bwana jukwaa zingne zimo humu ndani,waambie au waulize mods wakusaidie,,zipo sehemu humu humu jamii forum unaruhusiwa kupost na kuomba kutafuta mabwana,na utawapata wengi tuh,jamii forum itakusaidia kwa hilo pia
ila kwangu mimi full stop,,sihitaji dem,nishaoa,,ok??

nashukuru kwa kunielewa

Upo kwa kazi ya kumchafuu zitto,waulize wenzako kama walifanikiwe wewe,Bora hii nguvu uipeleke kupambana na ccm,Zitto haumuwezi wewe wala aliyekutuma.
 
Teh teh, pengine hunijui vyema.mimi situmii pweza wala sihitaji tumia ila mziki wake wanajua dada zenu.IQ ipi sasa anakuwa **** kihivyo, wakati Lisu anweza handle vitu hata akiwa under immense pressure.

kumbe mbege nayo kama konyagi yaani ushaanza kulewa mapema hivi,acha umoshi hapa.
 
Naona mumekimbia,haya waamsheni wenzenu waje kuwasaidia nyambavu kabisa nyie chadema kaskazini.
 
Huyu ni mtt mpotevu atarudi tu kwenye line na atasamehewa
 
Nijisikia raha kuona vijana wa Chadema wanapambana wenyenyewe wanatengeneza mazingira ya kuizika Chadema.
 
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde hama chake ambacho yeye atakuwa mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko.

Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015 lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..hii now iko waazi mno.

Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...basi ni bora ajipange now.

Mimi naona this way it is better kwa kila mtuZitto na CHADEMA pia.

Possible, but itamuwia vigumu sana kwa sababu sidhani atapata kampani ya watu wengine maarufu kwenye siasa. atakuwa na washabiki wengi ambao hata sio active kwenye siasa.
 
Dah!Kawaida ya wana cdm wengi huongozwa na hasira za mkizi.Na mvuvi( ben saa nane) amewachota wengiii..!!Zitto sio mchumia tumbo kama slaa,anasimamia anachokisema(sichukui posho),anatumia nguvu ya hoja na si hoja ya nguvu kama viongozi wengine.Fikiri hapo.
 
Namshauri Zitto aende kutubu zambi zake na pia aachane na ushirikina ambao hauta msadia kitu chochote katika maisha yake sana sana unampotezea muda na kumweka mbali na Mungu. Hata kama wamemwambia ataua watu hadi panya wote hawatasalia underlines sio kweli. Mungu ana nafasi kubwa sana katika maisha ya binadamu kuliko ushirikina. ILA NAMWOMBA MH. MBOWE, DR SLAA, PROF SAFARI, MH. LISSU NA MNYIKA WAMSHUGHULIKIE ZITTO NA WAFANYE HARAKA IWEZEKANAVYO AONDOLEWE KWENYE CHAMA AU ASIWE ANASHIRIKISHWA KWENYE MAMBO YOYOTE YA CHAMA MAANA WATU WAMEANZA KUINGIWA NA HOFU KWA KUAMBIWA&KUSIKIA KWAMBA ATAUA HADI PANYA UNDERLINES. MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2013
 
mtaimba hata zisizoimbika mwaka huuuuuu maana naona mmekazana kutunga umbea kuhusu Zitto......Zitto komaa nao huko huko hadi kielewekeeeee.
 
Hatukatai zitto kuwa shujaa ila asije akakigawa chama kwa suala moja tu la kutaka kugombea u rais..nice day.
 
Duh wahitimu wa janja janja primary school nao wameanza kupapasa keyboard na kutoa maoni yao....hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kitu kilichoandikwa ndani...pia ameandika nukuu ya mambo mengine ambayo hajui maana yake e.g PANYA UNDERLINES.....
Mwisho nakushauri mtoa mada kuwa kukaa kimya ni sehemu ya busara...usiwe mwepesi wa kusema bali wa kutenda!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom