Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,453
- 283,788
Hii ni nchi ya kidemokrasia,Pamoja na kazi nyingine,Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa huhusika na kusajili vyama vipya.Namshauri Zitto badala ya kuhangaika mahakamani na chadema,aanzishe chama chake au ajiunge na chama kingine cha siasa.Naamini katika ufuasi alio nao,ataungwa mkono na watu wengi na wananchi wa kigoma kaskazini,watamrudishia ubunge wake.
Thubuuutu !