Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 622
kwa sasa ukiangalia zitto hawamuitaji chadema...wewe ukiwa mtanzania unamshauli zitto unafikili ni chama gani ya hivi ungependa kuona anajiunga.....na pili akienda huko..anaweza kuwa mwenyekiti,katibu mkuu,naibu katibu mkuu...au ni wapi panapomfaaa
1.cuf....
2.ccm....
3.nccr mageuzi...
4.adc......
5.tlp....
6.udp...
Chama Cha Kijamii