Ushauri wangu kwa Mzee Kikwete katika siasa za Tanzania ya Rais Samia

Weeee kipindi cha kikwete ht tabaka la chini lilinufaika km huna hela za kusoma course zingine ulikuwa unajitupa swaaaaaaaa kupaw kwny ualimu ukimaliza tu ajira hii hapa ukikosa ualim swaaaaaah kwenye upolisi jamaa alivyokuja akaharibu kila kitu ualimu ikawa km anasa upolisi km uko peponi vijana wakilalamika polepole anawajibu sio wazalendo nataman Samia aige uongozi wa kikwete watu wale Raha duniani
 
Weeee kipindi cha kikwete ht tabaka la chini lilinufaika km huna hela za kusoma course zingine ulikuwa unajitupa swaaaaaaaa kupaw kwny ualimu ukimaliza tu ajira hii hapa ukikosa ualim swaaaaaah kwenye upolisi jamaa alivyokuja akaharibu kila kitu ualimu ikawa km anasa upolisi km uko peponi vijana wakilalamika polepole anawajibu sio wazalendo nataman Samia aige uongozi wa kikwete watu wale Raha duniani
Akili kubwa sana.
 
Nawe kama hazimo! Bodaboda walianza enzi za Mkapa na siyo ubunifu wa serikali, ni maamuzi ya watu binafsi walipoiga Uganda. Kwa mtindo huu utasema na ushoga ni mafanikio ya Kikwete.
Weka uthibitisho kama walianza kipindi cha Mkapa.
 
Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.

Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.

Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.

Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.

Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.

Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
This was one of the best we normally get from JF.
Je hakuna haja ya kutoa ushauri kama huu kwa Samia na ujanja wake mbuzi? Short, point-point, understandable!
 
Tukumbuke namna huyu mzee alivyotuingiza ktk matatizo makubwa na hasara ktk;
Upigaji wa Escraw ambapo alikuwa mhusika ktk upigaji ule
Mikataba mibovu na ya kifisadi ya Gas ya Mtwara hadi kutoa fedha za kuhonga fedha kwa wabunge wa ccm!
Kikwete sio mtu wa kumuamini hata kdg zaidi deal zake!
 
Rais Mstaafu Kikwete anamsifia rais Samia kwa utendaji mzuri kama alivyofanya kwa marehemu Magufuli bila kujali machungu ya wa-TZ.

Ni tabia ya kulazimisha kutuonesha uhusiano wake na marais walioko madarakani. Wakati Magufuli akiingia madarakani, kulikuwa na marais wastaafu watatu; Mwinyi, Mkapa na yeye Kikwete. Katika hao wote ni kikwete ndo alitembelea Ikulu mara nyingi kuliko wengine. Sasa tena ni tabia hiyo, siyo kwa kutembelea ikulu, bali kusifia na kujiunga na rais ktk safari.

Asichokifahamu Kikwete ni mtazamo wa Watanzania juu ya utawala wake na tabia yake ya mitaani. Kwa ujumla Utawala wa Kikwete haukuwa mzuri au tuseme ulikuwa wa hovyo.

Ni utawala ambao kwa kipindi cha miaka 10, hakuna chochote anachoweza kuwaonesha Watanzania kwamba ndo yalikuwa matumizi ya bajeti ya takribani trilioni 130, isipokuwa makampuni ya kifamilia kwenye mafuta viwanda juisi na magari ya kusafirisha mizigo.

Ushauri wangu kwako Kiwete. Kaa kimya, hata kama una furaha ya Samia kuwa madarakani, wewe siyo tofauti na wastaafu wengine. Hata kama siyo tabia ya makuzi yako kupenda kuonekana, jilazimishe kwa faida ya rais Samia. Hukuwa na sababu ya kusifia utawala wa Samia baada ya uteuzi mpya wa mawaziri, ambao walishiriki utawala wa hovyo ktk awamu yako.

Kama kuna sababu nyingine ya kumsifia Samia, mpigie simu, keep low profile wengi hatukuoni kama ishara ya mafanikio, tangu mijini hadi vijijini. Tanzania ina wasomi wanaoona na ufahamu kuliko hata wewe mwenyewe.
Rais Samia anafanya kazi yake na wewe mketa mada fanya kazi zako, ulitaka Rais Samia akufanyie nini zaidi ya anayoyafanya kwa kuongoza nchi ya watu millioni 60 wenye mahitaji mbali mbali ?

Jiulize wewe unaifanyia nini serikali yako?
 
Rais Samia anafanya kazi yake na wewe mketa mada fanya kazi zako, ulitaka Rais Samia akufanyie nini zaidi ya anayoyafanya kwa kuongoza nchi ya watu millioni 60 wenye mahitaji mbali mbali ?

Jiulize wewe unaifanyia nini serikali yako?
Mbona ninaposoma hakuna mambo ya Samia? Anayeshauriwa ni Kikwete mstaafu. Wewe unaona mengine au ndo ule ujinga-jinga wa ushabiki wa kike-kike na kidini-dini?
 
JK kaufurahia sana utawala wa Sa100 huenda kweli ndio mshika rimoti.
Siku hizi haishi kwenda Ulaya na Marekani tofauti na wakati wa Jiwe ambapo angemtaka afanye tour kwa gharama zake...Mama huyu mpolee anamlipia kila kitu kwa kodi zetu kudadek
Team msoga ndio inaharibu utawala awamu ya 6...kubebabeba watu wake matoto balaa!
 
JK kaufurahia sana utawala wa Sa100 huenda kweli ndio mshika rimoti.
Siku hizi haishi kwenda Ulaya na Marekani tofauti na wakati wa Jiwe ambapo angemtaka afanye tour kwa gharama zake...Mama huyu mpolee anamlipia kila kitu kwa kodi zetu kudadek
Team msoga ndio inaharibu utawala awamu ya 6...kubebabeba watu wake matoto balaa!
Kwani katiba inasemaje kuhusu ilo? Kwa mstafu wa cheo cha JK.
Asante
 
Jk amejenga terminal hiyo mpya meko amekuta jengo linajengwa jk kajenga barabara za kutosha meko hakujenga barabara ...songwe airport, namanga to tengeru ni yeye,mradi mkubwa wa 500bn wa maji ni jk.

Meko amejenga kwa chato airport, kununua madege yasiyoingiza hata mia na kufisadi kwa kujenga miradi mikubwa akiwa yeye ndio mtoa pesa na tenda,ccm oyeee
Idiots!
 
JK kaufurahia sana utawala wa Sa100 huenda kweli ndio mshika rimoti.
Siku hizi haishi kwenda Ulaya na Marekani tofauti na wakati wa Jiwe ambapo angemtaka afanye tour kwa gharama zake...Mama huyu mpolee anamlipia kila kitu kwa kodi zetu kudadek
Team msoga ndio inaharibu utawala awamu ya 6...kubebabeba watu wake matoto balaa!
Juzi nilikuwa, natembelea vijiji vya chalinze, katika harakati zangu za kuwa m Tanzania mwenye kumiriki ardhi hekta nyingi,
Kaya za chalinze, na vijiji vya kalibu na msoga, ni maskini hatari! Watu ni mafukara balaaa! Sasa MTU ambae amewahi kuwa Rais wa TZ, unajisikiaje kuzungukwa na watu maskini kiasi hicho, hata huduma ya maji ya visima hakuna? Ungeweza kuomba msaada ujengewe chuo kikuu na makanisa, au uombe uarabuni wakujengee kiwanda, Ila eneo halina chuo kikuu, wala hospital nzuri, lakini kuna msikiti!, jengo kama ikulu!
Wa Islam wa, Dodoma, wakati ghadafi yupo hai, wao badala ya kuomba wajengewe chuo kikuu cha ki Islam, cha IT, kilimo, au biashara, wao, wakataka msikiti!.
Ilipojengwa Udom, Islam wakataka baadhi ya majengo yawe msikiti!!!
 
Jk amejenga terminal hiyo mpya meko amekuta jengo linajengwa jk kajenga barabara za kutosha meko hakujenga barabara ...songwe airport, namanga to tengeru ni yeye,mradi mkubwa wa 500bn wa maji ni jk.

Meko amejenga kwa chato airport, kununua madege yasiyoingiza hata mia na kufisadi kwa kujenga miradi mikubwa akiwa yeye ndio mtoa pesa na tenda,ccm oyeee
Kwa miaka 10 siyo?
 
Back
Top Bottom