Man from cuba
JF-Expert Member
- May 2, 2021
- 557
- 1,365
Weeee kipindi cha kikwete ht tabaka la chini lilinufaika km huna hela za kusoma course zingine ulikuwa unajitupa swaaaaaaaa kupaw kwny ualimu ukimaliza tu ajira hii hapa ukikosa ualim swaaaaaah kwenye upolisi jamaa alivyokuja akaharibu kila kitu ualimu ikawa km anasa upolisi km uko peponi vijana wakilalamika polepole anawajibu sio wazalendo nataman Samia aige uongozi wa kikwete watu wale Raha duniani