Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Namkunjuga wife kisawa sawa kabla ya safari, baada ya hapo huwa kuna ka usingizi kananipia kakikata tu hako naliamsha dude nikiwa mwepesi hapo hata 24hrs naweza nisilale.. na hapo ndio huwa nawin trip za usiku.. unakuta tunapiga game mitaa ya jioni flani hivi, nikishtuka tu nakiwasha😂😂😂😂Usiku haufai kama unajijua unatabia ya kusinzia! Lazma ujue sleeping pattern yako vyema. Mfano mie usingizi wangu ni saa 6-7 hapo lazma nilale nisipolala hapo jua silali mpaka kunakucha. Ila nikinywa energy drink kabla ya huo muda silali kabisa.
Cha muhimu pumzika vya kutosha mchana kisha hakikisha unapoanza safari uko well hydrated ili macho yaone vizuri pia unaweza kutumia energy drink ilio diluted na maji ili ku activate mwili pia caffeine huondosha usingizi!