Kama nikiwa na hela za kuhonga matrafiki namwaga moto mchana tu! Wakikupiga cheti hewala tuHapo itabidi utafute sehemu ulale kitu ambacho ungekifanya nyumbani kwako tu.
Safiri usiku kama una dharura kubwa, kinyume na hapo toka zako alfajiri ukaze.
Usiku haufai kama unajijua unatabia ya kusinzia! Lazma ujue sleeping pattern yako vyema. Mfano mie usingizi wangu ni saa 6-7 hapo lazma nilale nisipolala hapo jua silali mpaka kunakucha. Ila nikinywa energy drink kabla ya huo muda silali kabisa.nimenusurika kufa baada ya kupigwa sportlight kwa mstukizo na truck kubwa.
Nimepoteza marafiki wa moyoni wanne kwa mkupua wakiwa wanaaza kuinusa mwanza kwa sababu dreva alisinzia.
Kama sio mzoefu bora tupambane mchana tu.
Hahahah mnyama akikatiza humuoni au 😂😂😂Safari ya usiku hapana binafsi. Kama macho si mazuri, mara umepata dharura au mnyama anakatiza barabarani.
Kama upo willing kusumbuliwa njia nzima unatembea mchana tu! Zile kero za kupigwa mkono kila baada ya nusu saa hapana! Mara naomba leseni yako, unampa askari anaondoka nayo mnaanza kutongozana wee mambo ya kijinga sana hayo!Kweli kabisa, Usiku ni balaa. Huyu jamaa hii mada sijui anatafuta kuungwa mkono?
Kuhusu speed aisee Kwenye haya Mabus niliyopanda hamna nilikaa mbele karibu na Dereva nimeona jamaa anapiga Hadi speed 127 km/h.....kama ujuavyo bus likiwa speed hiyo ni balaa yaani Ngoma inatembea balaa Hadi Mwanza nyegezi tumeingia saa 4:48 usiku
Mi nasikitika speed za mabasi ni kubwa mno na hakuna hatua wanachukuliwa. Siku watu wakifa kwa makumi ndiyo watakurupuka na ukaguzi wa mabasiImekuwa desturi na mazoea kwa madereva wengi wanaoendesha magari yao binafsi kufanya safari zao ndefu muda wa mchana ingawa ni jambo jema ila kwa mtazamo wangu mimi naona ni shida na usumbufu mwingi njiani.
Naongea hivyo kwasababu ndani ya mwezi Machi nilifanya safari ndefu ya kwenda Mwanza na gari yangu. Nakumbuka nilianza safari usiku saa 7 kutoka Dar ili kuepusha usumbufu kwenye kipande cha Dar-Moro (kwa wazoefu wa kipande hiki watakubaliana na mimi). Muda wa mchana nilipata shida na usumbufu na traffic pamoja mabus na fujo zao mpaka naingia Mwanza usiku saa 3.
Mpaka nimeamua kuandika ushauri huu ni kwa madereva wenzangu ni ushuhuda niliouona kwa macho yangu wiki hii.
Jumamosi iliyopita nimefanya safari tena nyingine ya kwenda Mwanza kwa kupanda bus hakika vituko vya madereva wa bus ni noma, hawa jamaa wanatumia barabara watakavyo,wanaovertake watakavyo tena sehemu yeyote ile ilimradi amekupita, yaani zile speed za miaka ile zimerudi tena na traffic hawana la kusema kwasababu jamaa alipigwa tochi mara 5 na bado hakupigwa cheti mpaka tunafika Mwanza.
Dereva wa bus alikuwa anaovertake mpaka malori matano hasa pale akiona mbele yake inakuja gari ndogo yaani utake usitake utasimama tu mpaka amalize kuovertake kumbe jamaa wanatudharau sana mpaka wanatuita wamama wa nyumbani (msemo huu alikuwa anautumia dereva wa bus akiwa anafanya fujo zake).
Nimeshuhudia kwenye vibao vya speed 50 magari madogo wanakatwa na traffic huku bus letu linapita tu tena na mwendo mdundo bila shida tena likiwa speed 102 hata ile alarm ya speed hakuna.
Nawashauri madereva wenzangu tembeeni usiku kuepusha majanga mchana haya mambo ya mchana tuwaachiwe wenye njia yao madereva wa mabus kwasabb kama kuna watu wanaenyoj barabaran ni watu wa mabus tu...Wale wenzangu na mm tusione tabu kuendesha usiku
Wee jamaa ni noma aisee kama ulijuaI bet kama hukupanda ally's star bus,, busi ni Dar blue(sijasema wanatembea 127kms)
Hiyo ni kweli . Juzi tarehe 27/4 ...Nilifuatana na gari moja linaitwa Malaika mimi naendesha Alphard niko speed 110 jamaa alinipita na moto wa hatari na hakupunguzi kwenye 50 yeye kinachomfanya apunguze mwendo ni hizo speed humpsImekuwa desturi na mazoea kwa madereva wengi wanaoendesha magari yao binafsi kufanya safari zao ndefu muda wa mchana ingawa ni jambo jema ila kwa mtazamo wangu mimi naona ni shida na usumbufu mwingi njiani.
Naongea hivyo kwasababu ndani ya mwezi Machi nilifanya safari ndefu ya kwenda Mwanza na gari yangu. Nakumbuka nilianza safari usiku saa 7 kutoka Dar ili kuepusha usumbufu kwenye kipande cha Dar-Moro (kwa wazoefu wa kipande hiki watakubaliana na mimi). Muda wa mchana nilipata shida na usumbufu na traffic pamoja mabus na fujo zao mpaka naingia Mwanza usiku saa 3.
Mpaka nimeamua kuandika ushauri huu ni kwa madereva wenzangu ni ushuhuda niliouona kwa macho yangu wiki hii.
Jumamosi iliyopita nimefanya safari tena nyingine ya kwenda Mwanza kwa kupanda bus hakika vituko vya madereva wa bus ni noma, hawa jamaa wanatumia barabara watakavyo,wanaovertake watakavyo tena sehemu yeyote ile ilimradi amekupita, yaani zile speed za miaka ile zimerudi tena na traffic hawana la kusema kwasababu jamaa alipigwa tochi mara 5 na bado hakupigwa cheti mpaka tunafika Mwanza.
Dereva wa bus alikuwa anaovertake mpaka malori matano hasa pale akiona mbele yake inakuja gari ndogo yaani utake usitake utasimama tu mpaka amalize kuovertake kumbe jamaa wanatudharau sana mpaka wanatuita wamama wa nyumbani (msemo huu alikuwa anautumia dereva wa bus akiwa anafanya fujo zake).
Nimeshuhudia kwenye vibao vya speed 50 magari madogo wanakatwa na traffic huku bus letu linapita tu tena na mwendo mdundo bila shida tena likiwa speed 102 hata ile alarm ya speed hakuna.
Nawashauri madereva wenzangu tembeeni usiku kuepusha majanga mchana haya mambo ya mchana tuwaachiwe wenye njia yao madereva wa mabus kwasabb kama kuna watu wanaenyoj barabaran ni watu wa mabus tu...Wale wenzangu na mm tusione tabu kuendesha usiku
Hao madereva wa Mabus ni Kama msafara wa raisi hawapigwi Cheti wala kusumbuliwa na traffic....Hiyo ni kweli . Juzi tarehe 27/4 ...Nilifuatana na gari moja linaitwa Malaika mimi naendesha Alphard niko speed 110 jamaa alinipita na moto wa hatari na hakupunguzi kwenye 50 yeye kinachomfanya apunguze mwendo ni hizo speed humps
Ukijaribu kumuiga unasimamishwa wewe mwenye private car yeye anachanja mbuga
Na imetokea hivyo mara nyingi
Labda Trafic na LATRA watueleze
Kuna siri gani?
Saa zingine unatumia kauongo kidogo pale unapoombwa leseni. Unaweza kusema leseni umeisahau (sheria inakuruhusu kuipeleka kituo cha polisi ndani ya masaa 72), na wala hauendi mbali. Yaani safari yako ni ndani ya wilaya au mkoa husika uliposimamishwa na trafiki.Kama upo willing kusumbuliwa njia nzima unatembea mchana tu! Zile kero za kupigwa mkono kila baada ya nusu saa hapana! Mara naomba leseni yako, unampa askari anaondoka nayo mnaanza kutongozana wee mambo ya kijinga sana hayo!
Mie siogopi kutembea usiku kama gari naiamini! Taa ziko poa na brakes ziko poa!
Unafikiri ndio itaku save hio mbinu na wao wanajua ni uongo tu! Wanajuwa wazi unadanganya na hapo ndipo atapoanza kukusumbulia!Saa zingine unatumia kauongo kidogo pale unapoombwa leseni. Unaweza kusema leseni umeisahau (sheria inakuruhusu kuipeleka kituo cha polisi ndani ya masaa 72), na wala hauendi mbali. Yaani safari yako ni ndani ya wilaya au mkoa husika uliposimamishwa na trafiki.
Ila kama kuna mfumo wa kupiga faini kwa kutumia namba ya gari, hapo inakuwa imekula kwako mazima.
Wanadai wao wamenunua tochi! Sasa najiuliza kwa utaratibu huu kwanini tusijengewe high speed track pembezoni ili watu wawe wananunua speed tickets!Hiyo ni kweli . Juzi tarehe 27/4 ...Nilifuatana na gari moja linaitwa Malaika mimi naendesha Alphard niko speed 110 jamaa alinipita na moto wa hatari na hakupunguzi kwenye 50 yeye kinachomfanya apunguze mwendo ni hizo speed humps
Ukijaribu kumuiga unasimamishwa wewe mwenye private car yeye anachanja mbuga
Na imetokea hivyo mara nyingi
Labda Trafic na LATRA watueleze
Kuna siri gani?
Nimeshawajulia.Kama nikiwa na hela za kuhonga matrafiki namwaga moto mchana tu! Wakikupiga cheti hewala tu
Aisee inakuwaje mnasumbuliwa kiasi hicho?Kama upo willing kusumbuliwa njia nzima unatembea mchana tu! Zile kero za kupigwa mkono kila baada ya nusu saa hapana! Mara naomba leseni yako, unampa askari anaondoka nayo mnaanza kutongozana wee mambo ya kijinga sana hayo!
Mie siogopi kutembea usiku kama gari naiamini! Taa ziko poa na brakes ziko poa!
Si ndio nchi yangu niliopo ambako trafiki kuajiriwa kwake ni kama kapata mchomokoAisee inakuwaje mnasumbuliwa kiasi hicho?
Arusha lazma u graduate bila joho mzee baba😅😅😅Nimeshawajulia.
Tafuta 5 za kutosha uwe nazo.
Hao wa highway hawana neno, 5 wanapokea, wengine wanakaza mpaka 10.
Mara ya mwisho nasafiri nilikuwa na 5 nyingi. Kwenye 50 najiachia wakinipiga mkono nawapa 5 wakikomaa nawapa 10.
Arusha ndo wanashupaza wakupige cheti.
Kwani kelele ya upepo unasemajeUnafungua madirisha tu! Ile kelele ya upepo huwezi lala