Ushauri wa bure: Madereva wa private cars tembeeni usiku kama unafanya Safari ndefu

nimenusurika kufa baada ya kupigwa sportlight kwa mstukizo na truck kubwa.
Nimepoteza marafiki wa moyoni wanne kwa mkupua wakiwa wanaaza kuinusa mwanza kwa sababu dreva alisinzia.

Kama sio mzoefu bora tupambane mchana tu.
Usiku haufai kama unajijua unatabia ya kusinzia! Lazma ujue sleeping pattern yako vyema. Mfano mie usingizi wangu ni saa 6-7 hapo lazma nilale nisipolala hapo jua silali mpaka kunakucha. Ila nikinywa energy drink kabla ya huo muda silali kabisa.

Cha muhimu pumzika vya kutosha mchana kisha hakikisha unapoanza safari uko well hydrated ili macho yaone vizuri pia unaweza kutumia energy drink ilio diluted na maji ili ku activate mwili pia caffeine huondosha usingizi!
 
Kweli kabisa, Usiku ni balaa. Huyu jamaa hii mada sijui anatafuta kuungwa mkono?
Kama upo willing kusumbuliwa njia nzima unatembea mchana tu! Zile kero za kupigwa mkono kila baada ya nusu saa hapana! Mara naomba leseni yako, unampa askari anaondoka nayo mnaanza kutongozana wee mambo ya kijinga sana hayo!

Mie siogopi kutembea usiku kama gari naiamini! Taa ziko poa na brakes ziko poa!
 
I bet kama hukupanda ally's star bus,, busi ni Dar blue (sijasema wanatembea 127kms)
Kuhusu speed aisee Kwenye haya Mabus niliyopanda hamna nilikaa mbele karibu na Dereva nimeona jamaa anapiga Hadi speed 127 km/h.....kama ujuavyo bus likiwa speed hiyo ni balaa yaani Ngoma inatembea balaa Hadi Mwanza nyegezi tumeingia saa 4:48 usiku
 
Imekuwa desturi na mazoea kwa madereva wengi wanaoendesha magari yao binafsi kufanya safari zao ndefu muda wa mchana ingawa ni jambo jema ila kwa mtazamo wangu mimi naona ni shida na usumbufu mwingi njiani.

Naongea hivyo kwasababu ndani ya mwezi Machi nilifanya safari ndefu ya kwenda Mwanza na gari yangu. Nakumbuka nilianza safari usiku saa 7 kutoka Dar ili kuepusha usumbufu kwenye kipande cha Dar-Moro (kwa wazoefu wa kipande hiki watakubaliana na mimi). Muda wa mchana nilipata shida na usumbufu na traffic pamoja mabus na fujo zao mpaka naingia Mwanza usiku saa 3.

Mpaka nimeamua kuandika ushauri huu ni kwa madereva wenzangu ni ushuhuda niliouona kwa macho yangu wiki hii.

Jumamosi iliyopita nimefanya safari tena nyingine ya kwenda Mwanza kwa kupanda bus hakika vituko vya madereva wa bus ni noma, hawa jamaa wanatumia barabara watakavyo,wanaovertake watakavyo tena sehemu yeyote ile ilimradi amekupita, yaani zile speed za miaka ile zimerudi tena na traffic hawana la kusema kwasababu jamaa alipigwa tochi mara 5 na bado hakupigwa cheti mpaka tunafika Mwanza.

Dereva wa bus alikuwa anaovertake mpaka malori matano hasa pale akiona mbele yake inakuja gari ndogo yaani utake usitake utasimama tu mpaka amalize kuovertake kumbe jamaa wanatudharau sana mpaka wanatuita wamama wa nyumbani (msemo huu alikuwa anautumia dereva wa bus akiwa anafanya fujo zake).

Nimeshuhudia kwenye vibao vya speed 50 magari madogo wanakatwa na traffic huku bus letu linapita tu tena na mwendo mdundo bila shida tena likiwa speed 102 hata ile alarm ya speed hakuna.

Nawashauri madereva wenzangu tembeeni usiku kuepusha majanga mchana haya mambo ya mchana tuwaachiwe wenye njia yao madereva wa mabus kwasabb kama kuna watu wanaenyoj barabaran ni watu wa mabus tu...Wale wenzangu na mm tusione tabu kuendesha usiku
Mi nasikitika speed za mabasi ni kubwa mno na hakuna hatua wanachukuliwa. Siku watu wakifa kwa makumi ndiyo watakurupuka na ukaguzi wa mabasi
 
Imekuwa desturi na mazoea kwa madereva wengi wanaoendesha magari yao binafsi kufanya safari zao ndefu muda wa mchana ingawa ni jambo jema ila kwa mtazamo wangu mimi naona ni shida na usumbufu mwingi njiani.

Naongea hivyo kwasababu ndani ya mwezi Machi nilifanya safari ndefu ya kwenda Mwanza na gari yangu. Nakumbuka nilianza safari usiku saa 7 kutoka Dar ili kuepusha usumbufu kwenye kipande cha Dar-Moro (kwa wazoefu wa kipande hiki watakubaliana na mimi). Muda wa mchana nilipata shida na usumbufu na traffic pamoja mabus na fujo zao mpaka naingia Mwanza usiku saa 3.

Mpaka nimeamua kuandika ushauri huu ni kwa madereva wenzangu ni ushuhuda niliouona kwa macho yangu wiki hii.

Jumamosi iliyopita nimefanya safari tena nyingine ya kwenda Mwanza kwa kupanda bus hakika vituko vya madereva wa bus ni noma, hawa jamaa wanatumia barabara watakavyo,wanaovertake watakavyo tena sehemu yeyote ile ilimradi amekupita, yaani zile speed za miaka ile zimerudi tena na traffic hawana la kusema kwasababu jamaa alipigwa tochi mara 5 na bado hakupigwa cheti mpaka tunafika Mwanza.

Dereva wa bus alikuwa anaovertake mpaka malori matano hasa pale akiona mbele yake inakuja gari ndogo yaani utake usitake utasimama tu mpaka amalize kuovertake kumbe jamaa wanatudharau sana mpaka wanatuita wamama wa nyumbani (msemo huu alikuwa anautumia dereva wa bus akiwa anafanya fujo zake).

Nimeshuhudia kwenye vibao vya speed 50 magari madogo wanakatwa na traffic huku bus letu linapita tu tena na mwendo mdundo bila shida tena likiwa speed 102 hata ile alarm ya speed hakuna.

Nawashauri madereva wenzangu tembeeni usiku kuepusha majanga mchana haya mambo ya mchana tuwaachiwe wenye njia yao madereva wa mabus kwasabb kama kuna watu wanaenyoj barabaran ni watu wa mabus tu...Wale wenzangu na mm tusione tabu kuendesha usiku
Hiyo ni kweli . Juzi tarehe 27/4 ...Nilifuatana na gari moja linaitwa Malaika mimi naendesha Alphard niko speed 110 jamaa alinipita na moto wa hatari na hakupunguzi kwenye 50 yeye kinachomfanya apunguze mwendo ni hizo speed humps
Ukijaribu kumuiga unasimamishwa wewe mwenye private car yeye anachanja mbuga
Na imetokea hivyo mara nyingi
Labda Trafic na LATRA watueleze
Kuna siri gani?
 
Hiyo ni kweli . Juzi tarehe 27/4 ...Nilifuatana na gari moja linaitwa Malaika mimi naendesha Alphard niko speed 110 jamaa alinipita na moto wa hatari na hakupunguzi kwenye 50 yeye kinachomfanya apunguze mwendo ni hizo speed humps
Ukijaribu kumuiga unasimamishwa wewe mwenye private car yeye anachanja mbuga
Na imetokea hivyo mara nyingi
Labda Trafic na LATRA watueleze
Kuna siri gani?
Hao madereva wa Mabus ni Kama msafara wa raisi hawapigwi Cheti wala kusumbuliwa na traffic....
Sikuhizi ni mwendo mdundo Tu kama kawaida
 
Usiku inatakiwa uwe mzoefu sana na usiwe na papara! Nimeendesha usiku Mara nyingi, kuna changamoto kubwa sana sana!

Nimeshaendesha usiku mzima yaani zaidi ya 13hrs, kuna uchovu unaupata muda Fulani ambapo usipokua makini unapoteza.

My recent driving ilikua Sumbawanga to Morogoro, ilikua safari ndefu na nilipata changamoto za hapa na pale lakini nilisinzia Mara kadhaa na kujikuta nalazimika kusimama na kujinyoosha kidogo.

Kama huna macho mazuri, kuna Wapuuzi wanaendeshea full lights na kuna wengine wamefunga zile crystal lights ambazo ni hatari kwa kweli.

Pia kuna magari mabovu na ajali za hapa na pale, hii safari ya mwisho nilijikuta ghafla ni Lori limebeba container la 40ft limeanguka dakika hio saa kumi asubuhi maeneo ya Iyovi tena kwenye kona!
Lilifunga barabara kabisa na muda ule likawa linakuja tanker la mafuta likaligonga lile tanker.

Ni ajali mbaya ambayo ilitufanya tukae hapo kuanzia saa kumi asubuhi hadi saa nne asubuhi ndio tukaondoka.

Hivyo, kama una papara za kukimbia na kupenda ligi, usiku sio mahali salama! Kwa mtazamo wangu.
 
Kama upo willing kusumbuliwa njia nzima unatembea mchana tu! Zile kero za kupigwa mkono kila baada ya nusu saa hapana! Mara naomba leseni yako, unampa askari anaondoka nayo mnaanza kutongozana wee mambo ya kijinga sana hayo!

Mie siogopi kutembea usiku kama gari naiamini! Taa ziko poa na brakes ziko poa!
Saa zingine unatumia kauongo kidogo pale unapoombwa leseni. Unaweza kusema leseni umeisahau (sheria inakuruhusu kuipeleka kituo cha polisi ndani ya masaa 72), na wala hauendi mbali. Yaani safari yako ni ndani ya wilaya au mkoa husika uliposimamishwa na trafiki.

Ila kama kuna mfumo wa kupiga faini kwa kutumia namba ya gari, hapo inakuwa imekula kwako mazima.
 
Saa zingine unatumia kauongo kidogo pale unapoombwa leseni. Unaweza kusema leseni umeisahau (sheria inakuruhusu kuipeleka kituo cha polisi ndani ya masaa 72), na wala hauendi mbali. Yaani safari yako ni ndani ya wilaya au mkoa husika uliposimamishwa na trafiki.

Ila kama kuna mfumo wa kupiga faini kwa kutumia namba ya gari, hapo inakuwa imekula kwako mazima.
Unafikiri ndio itaku save hio mbinu na wao wanajua ni uongo tu! Wanajuwa wazi unadanganya na hapo ndipo atapoanza kukusumbulia!
 
Hiyo ni kweli . Juzi tarehe 27/4 ...Nilifuatana na gari moja linaitwa Malaika mimi naendesha Alphard niko speed 110 jamaa alinipita na moto wa hatari na hakupunguzi kwenye 50 yeye kinachomfanya apunguze mwendo ni hizo speed humps
Ukijaribu kumuiga unasimamishwa wewe mwenye private car yeye anachanja mbuga
Na imetokea hivyo mara nyingi
Labda Trafic na LATRA watueleze
Kuna siri gani?
Wanadai wao wamenunua tochi! Sasa najiuliza kwa utaratibu huu kwanini tusijengewe high speed track pembezoni ili watu wawe wananunua speed tickets!

Badala ya kuanza kuchangishana shilingi 50 kwenye simu nilitegemea jambo kama hili liongelewe bungeni! Mie niko willing kulipa hata elfu 10 ilimradi tu nisikerwe na maaskari nikiwa safarini! Yani kwa hizi kero za rushwa na hongo kwa maaskari na kubambikiana overspeed notice ni bora kungekuwa na checkpoint maalum kuanzia Ubungo kwa Upande wa Morogoro road au Mwenge kwa upande wa bagamoyo road! Kutengwe bara bara maalum la highspeed way!
 
Kama nikiwa na hela za kuhonga matrafiki namwaga moto mchana tu! Wakikupiga cheti hewala tu
Nimeshawajulia.

Tafuta 5 za kutosha uwe nazo.

Hao wa highway hawana neno, 5 wanapokea, wengine wanakaza mpaka 10.

Mara ya mwisho nasafiri nilikuwa na 5 nyingi. Kwenye 50 najiachia wakinipiga mkono nawapa 5 wakikomaa nawapa 10.

Arusha ndo wanashupaza wakupige cheti.
 
Kama upo willing kusumbuliwa njia nzima unatembea mchana tu! Zile kero za kupigwa mkono kila baada ya nusu saa hapana! Mara naomba leseni yako, unampa askari anaondoka nayo mnaanza kutongozana wee mambo ya kijinga sana hayo!

Mie siogopi kutembea usiku kama gari naiamini! Taa ziko poa na brakes ziko poa!
Aisee inakuwaje mnasumbuliwa kiasi hicho?
 
Nimeshawajulia.

Tafuta 5 za kutosha uwe nazo.

Hao wa highway hawana neno, 5 wanapokea, wengine wanakaza mpaka 10.

Mara ya mwisho nasafiri nilikuwa na 5 nyingi. Kwenye 50 najiachia wakinipiga mkono nawapa 5 wakikomaa nawapa 10.

Arusha ndo wanashupaza wakupige cheti.
Arusha lazma u graduate bila joho mzee baba😅😅😅
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom