Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,692
- 172,638
Kama nikiwa na hela za kuhonga matrafiki namwaga moto mchana tu! Wakikupiga cheti hewala tuHapo itabidi utafute sehemu ulale kitu ambacho ungekifanya nyumbani kwako tu.
Safiri usiku kama una dharura kubwa, kinyume na hapo toka zako alfajiri ukaze.