Ushauri wa bure kwa Mariam Uswazi

Ushauri wa bure kwa Mariam Uswazi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,632
Ushauri wa bure kwa mwanadada mpambanaji na kwa kiasi fulani ana pesa za hapa na pale Mariam Uswazi.

Mariam kwa alipofikia akubali tu kumuajiri designer wa nguo maana comments za kumponda zimekuwa nyingi mno.

Mariamu yupo rough sana , hajui kupangilia nguo yani vululu vululu muda wote anaonekana mchafu .

Kuna mwingine anaweza akaja na kigezo cha kumtetea eti anatembea na brand ya kiswazi ndio maana yupo hivyo, hii si kweli hata kidogo.

Wapo ambao ni wa kiswazi , lakini wanatazamika. Mariamu anatia aibu sana.

Huu ujumbe bila shaka utamfikia , atafute mtu amlipe awe anamvalisha kinyume na hapo atakimbiwa na wateja wake.

Ukishaanza kuwa mchafu mchafu unajitengenezea mazingira mpaka watu kuhisi hata chakula chenyewe huenda kinaandaliwa katika mazingira machafu.

Pesa anayo, asionee ubahiri aajiri tu mtu ,huko mbeleni akishajua kuvaa ataendelea kujivisha mwenyewe.
 
Nilivoona ile pensi ya jeans, nilishangaa kidogo ni ya kizamani sana, jambo la pili tusimuhukumu sana labda sababu ya rangi yake ukifatilia wengi nadhani wanamuona local sababu ya weusi wake WABONGO bado tuna ushamba kidogo, lakini dada angu Mariam nakushauri TU mfatilie chioma pigo zake mnaendana kwa Kila kitu hasa rangi weusi ila chioma mbona hayuko kama mariamu bila shaka huyo demu, mariam yupo rough
 
Nilivoona ile pensi ya jeans, nilishangaa kidogo ni ya kizamani sana, jambo la pili tusimuhukumu sana labda sababu ya rangi yake ukifatilia wengi nadhani wanamuona local sababu ya weusi wake WABONGO bado tuna ushamba kidogo, lakini dada angu Mariam nakushauri TU mfatilie chioma pigo zake mnaendana kwa Kila kitu hasa rangi weusi ila chioma mbona hayuko kama mariamu bila shaka huyo demu, mariam yupo rough
Weusi sio shida, mbona weusi wapo wengi ila wapo smart na mpaka wengine wanapewa jina la black beauty.

Yeye tu mwenyewe hajipendi.

Sidhani maandalizi yake ya kuoga mpaka kutoka kama anatumia hata dakika 10.
 
Kuna watakao kuja hapa na kutaka picha, mwaka huu imekula kwenu.

Ukiona anazungumzwa mtu humjui mpaka picha basi ujue uzi haukuhusu
.
Huyu hapa
IMG_5914.jpeg
 
Ushauri wa bure kwa mwanadada mpambanaji na kwa kiasi fulani ana pesa za hapa na pale Mariam Uswazi.

Mariam kwa alipofikia akubali tu kumuajiri designer wa nguo maana comments za kumponda zimekuwa nyingi mno.

Mariamu yupo rough sana , hajui kupangilia nguo yani vululu vululu muda wote anaonekana mchafu .

Kuna mwingine anaweza akaja na kigezo cha kumtetea eti anatembea na brand ya kiswazi ndio maana yupo hivyo, hii si kweli hata kidogo.

Wapo ambao ni wa kiswazi , lakini wanatazamika. Mariamu anatia aibu sana.

Huu ujumbe bila shaka utamfikia , atafute mtu amlipe awe anamvalisha kinyume na hapo atakimbiwa na wateja wake.

Ukishaanza kuwa mchafu mchafu unajitengenezea mazingira mpaka watu kuhisi hata chakula chenyewe huenda kinaandaliwa katika mazingira machafu.

Pesa anayo, asionee ubahiri aajiri tu mtu ,huko mbeleni akishajua kuvaa ataendelea kujivisha mwenyewe.


View: https://m.youtube.com/shorts/IJAPIgPFCGA
 
Kuna watakao kuja hapa na kutaka picha, mwaka huu imekula kwenu.

Ukiona anazungumzwa mtu humjui mpaka picha basi ujue uzi haukuhusu
.
Hatutaki hata na hizo picha
Sikia, wewe kama mtoto wa kiislamu, tafuta msikiti wanafundisha Judo na Karate ujiweke katika kujishughulisha na pia kujifunza kujihami, acha hizi shobo za wasanii.
Na kama unataka advance, kuna kambi za kujifunza kuipangua na kuipanga AK4......
 
Hatutaki hata na hizo picha
Sikia, wewe kama mtoto wa kiislamu, tafuta msikiti wanafundisha Judo na Karate ujiweke katika kujishughulisha na pia kujifunza kujihami, acha hizi shobo za wasanii.
Na kama unataka advance, kuna kambi za kujifunza kuipangua na kuipanga AK4......
Nani amekwambia huyu ni msanii?
 
Ushauri wa bure kwa mwanadada mpambanaji na kwa kiasi fulani ana pesa za hapa na pale Mariam Uswazi.

Mariam kwa alipofikia akubali tu kumuajiri designer wa nguo maana comments za kumponda zimekuwa nyingi mno.

Mariamu yupo rough sana , hajui kupangilia nguo yani vululu vululu muda wote anaonekana mchafu .

Kuna mwingine anaweza akaja na kigezo cha kumtetea eti anatembea na brand ya kiswazi ndio maana yupo hivyo, hii si kweli hata kidogo.

Wapo ambao ni wa kiswazi , lakini wanatazamika. Mariamu anatia aibu sana.

Huu ujumbe bila shaka utamfikia , atafute mtu amlipe awe anamvalisha kinyume na hapo atakimbiwa na wateja wake.

Ukishaanza kuwa mchafu mchafu unajitengenezea mazingira mpaka watu kuhisi hata chakula chenyewe huenda kinaandaliwa katika mazingira machafu.

Pesa anayo, asionee ubahiri aajiri tu mtu ,huko mbeleni akishajua kuvaa ataendelea kujivisha mwenyewe.

Wanawake mnajuana wenyewe. Sisi wanaume hatujui hayo. Hayatuhusu. Muwe mnaambiana huko huko jikoni au salon
 
Weusi sio shida, mbona weusi wapo wengi ila wapo smart na mpaka wengine wanapewa jina la black beauty.

Yeye tu mwenyewe hajipendi.

Sidhani maandalizi yake ya kuoga mpaka kutoka kama anatumia hata dakika 10.
KABISA ndo mana nimeshauri amkopi chioma, nasikia ana pesa za kutosha ila sijui kwa nini azitumi effectively au anasomesha?🤣
 
Ushauri wa bure kwa mwanadada mpambanaji na kwa kiasi fulani ana pesa za hapa na pale Mariam Uswazi.

Mariam kwa alipofikia akubali tu kumuajiri designer wa nguo maana comments za kumponda zimekuwa nyingi mno.

Mariamu yupo rough sana , hajui kupangilia nguo yani vululu vululu muda wote anaonekana mchafu .

Kuna mwingine anaweza akaja na kigezo cha kumtetea eti anatembea na brand ya kiswazi ndio maana yupo hivyo, hii si kweli hata kidogo.

Wapo ambao ni wa kiswazi , lakini wanatazamika. Mariamu anatia aibu sana.

Huu ujumbe bila shaka utamfikia , atafute mtu amlipe awe anamvalisha kinyume na hapo atakimbiwa na wateja wake.

Ukishaanza kuwa mchafu mchafu unajitengenezea mazingira mpaka watu kuhisi hata chakula chenyewe huenda kinaandaliwa katika mazingira machafu.

Pesa anayo, asionee ubahiri aajiri tu mtu ,huko mbeleni akishajua kuvaa ataendelea kujivisha mwenyewe.
Kwa hiyo huyo dem wako sisi wote tunamfahamu?

Wapi picha?
 
Back
Top Bottom