World Logistics Company
Member
- Jun 1, 2021
- 99
- 104
Moja ya changamoto kubwa wanayokutana nayo wateja wetu ni kuagiza bidhaa kwa njia ya mtandao halafu kukutana na kodi/ushuru mkubwa wa kutoa mzigo pale Bandarini, Uwanja wa Ndege au mipakani.
Bei za viwandani (supplier) zinazowekwa mitandaoni huwa ni rahisi na zinavutia kuagiza. Mfano bei za magari, samani na teknolojia za kisasa zikiwemo simu, vishikwambi, kompyuta, washing machines na gadgets mbalimbali.
Tunashauri, kabla ya kuagiza bidhaa yoyote ile ni vyema kufahamu gharama halisi zitakazotozwa pindi mzigo utakapowasili nchini. Hii itasaidia kujua kama bajeti inaruhusu kuagiza mzigo husika kwa wakati huo au la. Ni busara kutumia ushauri au maelekezo kutoka kwa wakala wa forodha na wazoefu wa masuala haya (kama sisi) kwa msaada anuai.
Kwa takwimu zetu, tumeona wajasiriamali na wafanyabiashara wengi hasa wale ambao sio wazoefu wakipata hasara kutokana na kutomudu gharama za kuondosha mizigo yao bandarini au kulazimika kutumia pesa ambayo hawakuitarajia.
Swali fikirishi: Kwanini mizigo mingi hukwama bandarini? Kwanini baadhi ya watu au makampuni hutekeleza mizigo yao hadi kuishia kupigwa mnada?
Bei za viwandani (supplier) zinazowekwa mitandaoni huwa ni rahisi na zinavutia kuagiza. Mfano bei za magari, samani na teknolojia za kisasa zikiwemo simu, vishikwambi, kompyuta, washing machines na gadgets mbalimbali.
Tunashauri, kabla ya kuagiza bidhaa yoyote ile ni vyema kufahamu gharama halisi zitakazotozwa pindi mzigo utakapowasili nchini. Hii itasaidia kujua kama bajeti inaruhusu kuagiza mzigo husika kwa wakati huo au la. Ni busara kutumia ushauri au maelekezo kutoka kwa wakala wa forodha na wazoefu wa masuala haya (kama sisi) kwa msaada anuai.
Kwa takwimu zetu, tumeona wajasiriamali na wafanyabiashara wengi hasa wale ambao sio wazoefu wakipata hasara kutokana na kutomudu gharama za kuondosha mizigo yao bandarini au kulazimika kutumia pesa ambayo hawakuitarajia.
Swali fikirishi: Kwanini mizigo mingi hukwama bandarini? Kwanini baadhi ya watu au makampuni hutekeleza mizigo yao hadi kuishia kupigwa mnada?