Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,359
- 108,500
@nkowowo Dawa ya Mafua:Meza tembe za kitunguu Saumu baada ya chakula pamoja na juisi ya kitunguu Saumu iliyochanganywa na juisi ya limau pamoja na kuvuta moshi wa kitunguu Saumu. tumia hiyo dawa kwa muda wa siku 3 au siku 7 kisha unipe feedback.
Mtu anayedumu na mafua kwa siku 7 bila shaka kinga ya mwili dhidi ya magonjwa ina mushkeli