Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

Kwa kutuliza tu jaribu dawa inaitwa AERIUS sina hakika na spelling zake ila ukienda pharmacy watakupa ila inatuliza tu kama alivokwambia mkuu hapo juu, jaribu kuepuka hivo vinavokuletea alergy, je kuna pumu katika familia? hiyo inaweza kuwa sababu pia, jiepushe sana na vumbi, vitu vya sufi sufi, manyoya na vitu vinavofanana na hivo.
 
safi sana. ngoja namie nikafanye shoping ya ubuyu. hivi juice ya ubuyu inaandaliwaje?? unaichemsha au unauloweka kwenye maji mpaka ujitoe vipeke maana nimezoea kuandaa juice kwa blenda. ubachela huu balaa

Mkuu Hazole, nami huwa na tatizo sugu kama lako, yani nina allergy karibu ya kila kitu lakin toka nimeanza kutumia juice ya ubuyu na wakat mwingine limao naona nina nafuu sana. Ubuyu na limao zina vitamin c kwa wingi sana na imeniepusha kutumia dawa mara kwa mara.
 
Kwa kutuliza tu jaribu dawa inaitwa AERIUS sina hakika na spelling zake ila ukienda pharmacy watakupa ila inatuliza tu kama alivokwambia mkuu hapo juu, jaribu kuepuka hivo vinavokuletea alergy, je kuna pumu katika familia? hiyo inaweza kuwa sababu pia, jiepushe sana na vumbi, vitu vya sufi sufi, manyoya na vitu vinavofanana na hivo.
umesomeka kamanda. ntaviepuka na nitaanza zoezi kila asubuhi. dah pombe ilikuwa inaniyeyusha yani inatipotezea time la kukaa geto.nikitoka job ni bia 3 ndo nakaa sawa.
M4C hadi kwenye maisha.
ahsante
 
Nenda kwa Pharmacy mostly zile kubwa kama za maeneo ya kariakoo iko dawa moja inaitwa Celestamine ni ya vidonge ni nzuri sana,ila kama alivyozungumzia mkomatembo inatuliza nakukufanya ujisikie very comfortable.
 
Maandalizi ya juice ya Ubuyu ni kuchemsha maji hadi boiling point. Weka ubuyu. Mchanganyiko ukipoa yoa mbegu kwa kutumia kitambaa kisafi na kukamua. Neno la kutoa unga kubakiza mbegu silijui kwa Kiswahili lakini nafikiri umenisoma.
safi sana. ngoja namie nikafanye shoping ya ubuyu. hivi juice ya ubuyu inaandaliwaje?? unaichemsha au unauloweka kwenye maji mpaka ujitoe vipeke maana nimezoea kuandaa juice kwa blenda. ubachela huu balaa
 
ahsante mzizi.
habati ndiyo nini? hata nilikuwa sijui kama o live oil inatumika kama chakula mimi huwa napakaa miguuzi tu.
na je nitumie tiba zote 2 ziende pa1 au nianze na limao na maji then ikishindikana nije hiyo ya habat?
Unataka upone haraka nini?Nimekwambia uchague moja kati ya hizo Dawa hapo juu nilipokuwekea wewe unataka kutumia zote kwanini? Habat Sawda hii hapa chini inapatikana Sokoni Kariakoo maduka ya wapemba nenda mtaa wa pemba kwenye maduka wanaouza Dawa za kiarabu utaikuta. Kwa Kiingereza inaitwa Nigella Sativa Seed HAZOLE

black-seed-nigella-sativa.JPG
 
Last edited by a moderator:
Akiweka ubuyu wakat maji ya moto atakuwa anaua virutubisho, ni vyema asubiri yapoe kisha ndio auloweke
 
ni rahsi sana nilishawahi kuwa hyo kitu lakn now niko poa.acha kutumia mafuta au pafumu we tumia mafuta ya mgando na ogea sabuni ambazo hazna harufu yeyote na kunywa maji meng utanipa majibu.
 
ahsante mzizi.
habati ndiyo nini? hata nilikuwa sijui kama o live oil inatumika kama chakula mimi huwa napakaa miguuzi tu.
na je nitumie tiba zote 2 ziende pa1 au nianze na limao na maji then ikishindikana nije hiyo ya habat?

MZIZI MKAVU and Hazole : Habati soda ni nini? je hapa dsm inapatikana wapi? Tafadhali saaaaana msaada wa sehem ya kuipata. nina tatizo hilo
 
MZIZI MKAVU and Hazole : Habati soda ni nini? je hapa dsm inapatikana wapi? Tafadhali saaaaana msaada wa sehem ya kuipata. nina tatizo hilo
Habati Soda hiyo hapo chini picha yake inapatikana Sokoni Kariakoo maduka ya wapemba nenda mtaa wa pemba kwenye maduka wanaouza Dawa za kiarabu kaulize utaikuta. Kwa Kiingereza inaitwa Nigella Sativa Seed Mgariga

black-seed-nigella-sativa.JPG
 
Last edited by a moderator:
dawa ipo na utapona kabisa but sio kwa haraka kama unavyofikiria wewe kwani ugonjwa umekaa nao mda mrefu mno usitegemee kupona kwa mwezi 1 tu if your serios find me on this no 0683672508
 
Allergy...Njia nzuri ni kuepusha visababishi kwa mfano inawezekana ni aina ya sabuni, marashi, mafuta ya kupaka lakini unavyotumia au manyoya wa wanyama,vumbi na miezi ya baridi vikasababisha mafua. baadhi pia ya vyakula, vinywaji na matunda husababisha.

Kama hali ikiwa si nzuri sana unaweza ukatumia dawa mfano Cetrizine kidonge kimoja kwa siku, na kwa kuwa inleta usingizi ni vyema ukaitumia usk na itakusaidia kwa siku inayofuata.

Fika Hospitali kwa uchunguzi na ushauri zaidi kwa ajili ya maendeleo yako kiafya na ni muhimu kuziingatia/ Epuka kuwa karibu au kutumia vitu ambavyo unajua TAYARI vinakuletea tatizo lako.
 
Kama una mafua chukua limau, kata katikati kisha fionza ule mchuzi wake. Baada ya hapo nawa mikono vizuri then tumia kidole kuchomvia mchuzi wa limau na kupeleka puani na kuvuta huo mchuzi kidogo kidogo na kuunywa, hapo utapona mda si mrefu. Ulete mrejesho
 
Kama unamafua chuku limau kata katikati kisha fionza ure mchuzi wake.baada ya hapo nawa mikono vizuri then tumia kidore kuchomvia mchuzi wa rimau na kupereka puani na kuvuta huo mchuzi kidogo kidogo na kuunywa, hapo utapona mda c mlefu. nataka majibu

jaribu wewe kwanza afu uje utupe majibu............
 
imethibitishwa na tbs,kwa sababu kuna kemikali ambazo huenda zikaleta madhara bila mtumiaji kujua
 
Mie Najua ya kuachumbali mchuzi wake unachanganya na ndimu unaunywa unatibu hadi kifua
 
Back
Top Bottom