Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,502
- 16,716
Sikiliza!.
Dawa alizokupa Mzizi Mkavu tumia wakati shida imekukabili kwa sasa. Baada ya hapo jizuie na kunywa vitu baridi sana hata kama una kiu kiasi gani. Inawezekana tatizo lako si mafua hasa bali aina fulani ya pumu. Kwa kunywa vitu baridi sana hupelekea kusinyaa kwa mishipa ya kupitishia damu na hewa hivyo kukufanya ujihisi vibaya katika kupumua.
Vitu vyengine ambavyo upunguze matumizi yake ni vitu vikali kama vile machungwa na maembe ambayo hayajapevuka,pili pili n.k. Hivi unapokula vinapelekea kupata mate mazito na pindi umekunywa vitu baridi koo lako linakuwa halina uwezo wa kuyasukuma hivyo unajihisi kusongwa na hicho unachokiita ni mafua.
Dawa alizokupa Mzizi Mkavu tumia wakati shida imekukabili kwa sasa. Baada ya hapo jizuie na kunywa vitu baridi sana hata kama una kiu kiasi gani. Inawezekana tatizo lako si mafua hasa bali aina fulani ya pumu. Kwa kunywa vitu baridi sana hupelekea kusinyaa kwa mishipa ya kupitishia damu na hewa hivyo kukufanya ujihisi vibaya katika kupumua.
Vitu vyengine ambavyo upunguze matumizi yake ni vitu vikali kama vile machungwa na maembe ambayo hayajapevuka,pili pili n.k. Hivi unapokula vinapelekea kupata mate mazito na pindi umekunywa vitu baridi koo lako linakuwa halina uwezo wa kuyasukuma hivyo unajihisi kusongwa na hicho unachokiita ni mafua.