monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,621
Noma sana!
We unasema tu tatizo nishajikatia tamaa inakera sana usiombe yakukute Bora basi hata awe na matatizo ya kiafya nitavumilia ila unakuta anachepuka uko inaumiza sana kutokujali hisia za mke wako hata Kama anachepuka alitakiwa anifikirie na Mimi hata kwa wiki Mara moja tu
Hapa ndio kwenye majibuNdoa iko matatani, pengine anayo matatizo ya kisaikolojia.
Round mbili tu daaah af hapo ndo kajitahidi🤔🤔?? Aisee polee kwa unayopitia homegalPerformance imeshuka kwakweli hakuwa hivi mwanzo alikuwa anajitahidi tunaenda hata round 2 Ila sahivi round moja basi
Kwani kwao alishindwa kufanya hizo kaziWanaume kuna mda tunakinai sio dhambi wala ni mindset tuu ila kunamda tunamiss, pia kunamawazo na kunakuchoka pia na maradhi pia yapo huenda yakawa wazi au mpaka kupima mfano maradhi kama ya moyo pia kupungukiwa ham ya tendo kupitia vichocheo vyake and etc kwaiyo kabla ya kuwaza negative jitahid kua positive maana ndo shetan na maana ya ndoa inapimwa kwaiyo upo kwenye majaribio.
Mi ningekua mme wako ningekutaftia kazi itayokukeep buzy namajukum tofauti tofauti maana invyonekana upo free sana ndo maana una ashki kubwa ya tendo.
Huyu mwamba sijui anafeli wapi. Bi dada analala utupu jamaa anaishia kukumbatia tu lakini hachakati mbususu 🤣🤣🤣Bi dada anataka de libolo, anataka haki yake ya kugegedwa
Kwa hiyo mzabzab wewe unamashaurije huyu mrembo?Bi dada anataka de libolo, anataka haki yake ya kugegedwa
Njoo pm mama tuzungumzeHabari za majukumu?
Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.
Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.
Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.
Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!
NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.
Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.
Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Haina madhara vijana ndo zetu hizo.kujiboost unapiga mpaka mtuhumiwa anasema UNANIKOMOAA.Hiyo Viagra haina madhara nisije nikamuua bby bure nikajuta
Kuandaa anajua ananiandaa vizuri sana mpaka kwenye maandalizi naweza mwaga hata mabao 3 Ila akishaingiza mkuyenge haichukui hata dk 5 kashamwaga na harudii round ya 2
Ha ha ha .....dunia simama nishuke.....hamna stress inasumbua ke kama akinyimwa dyudyu unaweza waza k imepakwa shombo,hii situation inaweza kukuwazisha sana mixer mahasira ya karibu,ghubu,unazeeka kabla ya siku zako,hata lotion haishiki mwilinishoga pouule.......mpododo muhimu embu chunguza kuna namna haiko sawa

miss chuga kuna jambo naomba nikuulize, huyo mwanetu mashine inasimama au hasimamishi kabisa?Hiyo Viagra haina madhara nisije nikamuua bby bure nikajuta
Nipambane wapi hapa nimejiweka kimtego mtego Ila mwenzangu hata hategeki ndo kwanza yuko bze anacheza na mtoto natamani hata nikachukue maji ya baridi nimmwagie pengine akili itamkaa sawa inakera kwakweli hapa nawazaa kwanzia kesho nianze kulala na jinsi maana naona najitesa tu na baridi mwenzangu hana habari
























































😁😁😁 nina cousin wangu kwenye ndoa hajanyanduliwa miezi mpaka 6 au mwaka , yaani mpaka sometimes anambaka mume wake.Habari za majukumu?
Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.
Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.
Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.
Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!
NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.
Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.
Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Anayajua makosa yake.... Ukiwa mkosaji na ukarudu kwenu na wakakuopokea wewe na familia yako wote mnauwa wa hovyo. Narudia ANAJUA MAKOSA YAKE.Duh kuna watu wana maisha magumu jamani. Huyo mwenzetu huko kwao aliua? Au ni yatima? Au ni mlemavu?
Mashine inasimama vizuri tu haina shida alafu ulivyoongelea mashine mpaka mwili umesisimka na nyege ndo kwanza zimeongezeka Mungu wangu niepushe na hiki kikombemiss chuga kuna jambo naomba nikuulize, huyo mwanetu mashine inasimama au hasimamishi kabisa?