USHAURI: Simuelewi mume wangu

USHAURI: Simuelewi mume wangu

We unasema tu tatizo nishajikatia tamaa inakera sana usiombe yakukute Bora basi hata awe na matatizo ya kiafya nitavumilia ila unakuta anachepuka uko inaumiza sana kutokujali hisia za mke wako hata Kama anachepuka alitakiwa anifikirie na Mimi hata kwa wiki Mara moja tu

Ingia P

Kuna kaujumbe nimekuwekea
 
Performance imeshuka kwakweli hakuwa hivi mwanzo alikuwa anajitahidi tunaenda hata round 2 Ila sahivi round moja basi
Round mbili tu daaah af hapo ndo kajitahidi🤔🤔?? Aisee polee kwa unayopitia homegal
 
Wanaume kuna mda tunakinai sio dhambi wala ni mindset tuu ila kunamda tunamiss, pia kunamawazo na kunakuchoka pia na maradhi pia yapo huenda yakawa wazi au mpaka kupima mfano maradhi kama ya moyo pia kupungukiwa ham ya tendo kupitia vichocheo vyake and etc kwaiyo kabla ya kuwaza negative jitahid kua positive maana ndo shetan na maana ya ndoa inapimwa kwaiyo upo kwenye majaribio.

Mi ningekua mme wako ningekutaftia kazi itayokukeep buzy namajukum tofauti tofauti maana invyonekana upo free sana ndo maana una ashki kubwa ya tendo.
 
Wanaume kuna mda tunakinai sio dhambi wala ni mindset tuu ila kunamda tunamiss, pia kunamawazo na kunakuchoka pia na maradhi pia yapo huenda yakawa wazi au mpaka kupima mfano maradhi kama ya moyo pia kupungukiwa ham ya tendo kupitia vichocheo vyake and etc kwaiyo kabla ya kuwaza negative jitahid kua positive maana ndo shetan na maana ya ndoa inapimwa kwaiyo upo kwenye majaribio.

Mi ningekua mme wako ningekutaftia kazi itayokukeep buzy namajukum tofauti tofauti maana invyonekana upo free sana ndo maana una ashki kubwa ya tendo.
Kwani kwao alishindwa kufanya hizo kazi
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Njoo pm mama tuzungumze
 
Kuandaa anajua ananiandaa vizuri sana mpaka kwenye maandalizi naweza mwaga hata mabao 3 Ila akishaingiza mkuyenge haichukui hata dk 5 kashamwaga na harudii round ya 2

Kama ni ivo anamatatizo ya nguvu za kiume ata mimi kunakipindi nshawahi kua ivo ila nilipoanza kufanya tizi nakuzingatia mlo nkawa namuwashia moto hadi anaogopa nisiende kazini anahisi sitosheki ntamchit ila usisubutu kumwambia kua anaupungufu wanguv za kiume we mwambie ajitahid tuu iyo kauli hua hatuipendi kuambiwa na tunaowapenda.
 
dunia simama nishuke.....hamna stress inasumbua ke kama akinyimwa dyudyu unaweza waza k imepakwa shombo,hii situation inaweza kukuwazisha sana mixer mahasira ya karibu,ghubu,unazeeka kabla ya siku zako,hata lotion haishiki mwilini shoga pouule.......mpododo muhimu embu chunguza kuna namna haiko sawa
Ha ha ha .....
Hadi lotion haishiki mwilini?
 
Kama siyo stress za kazi anazofanya,itakuwa ni stress za hapo nyumbani,vinginevyo labda ulikwa mwembamba sasa umetutumka mpaka umepoteza muelekeo,maana wanawake wengine wanafikiria unene ni uzuri,kumbe inafikia mahali mpaka wanatisha...
 
Nipambane wapi hapa nimejiweka kimtego mtego Ila mwenzangu hata hategeki ndo kwanza yuko bze anacheza na mtoto natamani hata nikachukue maji ya baridi nimmwagie pengine akili itamkaa sawa inakera kwakweli hapa nawazaa kwanzia kesho nianze kulala na jinsi maana naona najitesa tu na baridi mwenzangu hana habari
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
😁😁😁 nina cousin wangu kwenye ndoa hajanyanduliwa miezi mpaka 6 au mwaka , yaani mpaka sometimes anambaka mume wake.

Sema kuna wanawake kwenye ndoa wanaliwa daily lkn bado hawarudhiki yaani.

Dah mapenzi kizungumkuti na kizunguzungu.

Pole sana
 
M nadhani amegombana na mchepuko wake anayempenda sana,that why Hana hamu na ww.
 
Duh kuna watu wana maisha magumu jamani. Huyo mwenzetu huko kwao aliua? Au ni yatima? Au ni mlemavu?
Anayajua makosa yake.... Ukiwa mkosaji na ukarudu kwenu na wakakuopokea wewe na familia yako wote mnauwa wa hovyo. Narudia ANAJUA MAKOSA YAKE.
 
Back
Top Bottom