USHAURI: Simuelewi mume wangu

USHAURI: Simuelewi mume wangu

Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Umejaribu kuongea naye Kwa utulivu namna unavyokereka na Hali hiyo? Je siku ukimuanza akikupa game performance yake huwa inakuwaje ni chini ya kiwango, wastani au inakuwa ya viwango vya sgr?? Tuanzie hapo, halafu tutaendelea
 
Pole kwa changamoto unayopitia!! Swali langu ni kama ifuatavyo??
Siku akikubali kufanya mapenzi na wewe perfomance yake inakuaje ukilingnisha na hapo nyuma??
Kuandaa anajua ananiandaa vizuri sana mpaka kwenye maandalizi naweza mwaga hata mabao 3 Ila akishaingiza mkuyenge haichukui hata dk 5 kashamwaga na harudii round ya 2
 
Mkuu Glenn kataja hapo juu, kwa kuongezea:

1. Unatabia ya kukaa naked sana mkiwa ndani wawili tu. Yaani unakua na chupi tu? Jitahidi uwe unavaa muda wote nguo mfano Tshirt kubwa, unaacha mapaja tu, khanga flani, dera, etc ila usishindie kyupi tu, anakinai.

2. Anzisha kitu taratibu. Mfano unamfanyia massage, unamnyoa nywele za kwenye sirini, unamkata kucha, unamuosha miguu, etc ivyo vitu vidogo vinaamsha hamasa.

3. Usisubiri mwende kitandani ndio umuanze. Na usisubiri ifike saa 4 usiku kila siku ndio muanze. Kua creative, unamwambia ukamuogeshe, amekaa kwenye kochi unaenda kulala kwenye mapaja yake, etc.

4. Mwangalie usoni. Aisee tunapenda sana kuangaliwa usoni sio mchezo.

Ngoja niishie hapo. Mstari wa chini ni nje ya Mada.





Vijana tusioe, tusubiri hali itulie.
Asipokuelewa atakuwa na tatizo
 
Kuandaa anajua ananiandaa vizuri sana mpaka kwenye maandalizi naweza mwaga hata mabao 3 Ila akishaingiza mkuyenge haichukui hata dk 5 kashamwaga na harudii round ya 2
Na hapo before ilikuwaje?? Alikuwa hivi hivi au perfomance imeshuka??
 
Tafuta mda ambao mme wako ana raha, mwandalie chakula kizuri, wakati wa kula muulize taratiiiiibu! Mme wangu, nimekukosea nini? Wakati wa maagano ya ndoa tuliambiwa tendo la ndoa ni haki ya kila mmoja, "kulikoni"??
 
dunia simama nishuke.....hamna stress inasumbua ke kama akinyimwa dyudyu unaweza waza k imepakwa shombo,hii situation inaweza kukuwazisha sana mixer mahasira ya karibu,ghubu,unazeeka kabla ya siku zako,hata lotion haishiki mwilini 😅😅😅😅shoga pouule.......mpododo muhimu embu chunguza kuna namna haiko sawa
 
Hapo tatizo ni ww mwenyewe ulikuwa unaringa kutoa mzigo sasa mwamba kaaamua kukukaushia
 
Eeeh fanya hvo hivo dear....Alafu na simu iwekee password utaona anahangaika na simu.....akikuuliza password mwambie bila ya kusita hapo ataanza mwenyewe oooh unajua mke wangu sijui nn hapo ww ndo utaweza kumbana vzur na utamwambia hivi mme wangu hata kama unachepuka kua makini hata mim nina moyo na maradhi yapo ukimaliza usiongeze neno hata moja alafu endelea na shughuli zako majibu utayapata muda mfupi kutoka wakati huo
Yani hapa na password nshabadilisha sahivi najiweka bize akirudi Sina habari na mapenzi pia nafikiria hata na yeye ikitokea akitaka na Mimi nijidai nimechoka ili nimuweke kwenye mstari
 
Kwa upande wangu Mimi naona Hali ya kimaisha ipo sawa mpaka anapata na ela za kubetia kila siku na huwa simkoromei Wala hatuna malumbano ndani amani ipo Kama ni ela za matumizi anaacha kunipenda ananipenda sana tu tunacheka, tunapiga story yani hamna shida kabisa tatizo ni Hilo moja tu la kutokupewa haki yangu, na kinachoniumiza akili hivi hata Kama mwanaume ana michepuko jamani ndoasinimc mke wake hata kwa wiki tu japo Mara moja mpaka inafika wakati nawaza au kalogwa ili akose hisia na Mimi dah! Ukisikia ndoa ni ngumu ndo hii sasa
Huyo atakuwa na tatizo either kazini kwenye familia au hata mtaani hayo mambo yanachangia pia
 
Usikute tayari ana basha wake sasa maana kama hata uchi wako hautamani tena kwa visingizio.

Siku akikubali kukumeng’enya jaribu kumpekekea mkono kunako kwa mpalange, test mitambo uone atareact vipi.

Siku hizi dunia tumelvua nguo unaweza kudhani upo na mume ndani kumbe mwenzio naye ana mume.
Mh! Hapa sidhani kwanza hakuna kitu hapendi Kama kushikwa makalio
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
...Mna Miaka mingapi kwenye Ndoa... Tuanzie Hapo kwana...Kutafuta tatizo la Mumeo..!
 
Yani hapa na password nshabadilisha sahivi najiweka bize akirudi Sina habari na mapenzi pia nafikiria hata na yeye ikitokea akitaka na Mimi nijidai nimechoka ili nimuweke kwenye mstari
SawA love
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Itoshe kusema Ndoa zina wenyewe
 
Tafuta mda ambao mme wako ana raha, mwandalie chakula kizuri, wakati wa kula muulize taratiiiiibu! Mme wangu, nimekukosea nini? Wakati wa maagano ya ndoa tuliambiwa tendo la ndoa ni haki ya kila mmoja, "kulikoni"??
Sasa hapa inabidi nisubiri tarehe 23 Simba ishinde ndoniongee nae maana ni mpenzi wa Simba ikishinda atakuambia mke wangu leo niambie vitu vyote unavyotaka nikufanyie Ila ikitokea ikifungwa ndo basi tena, tena Simba ikifungwa ndokabisa hataki hata nimsogele na chakula pia anagoma kula hapa kazi ninayo inabidi nifunge kwa maombi Simba ishinde hyo tar 23 ili tulidiscus hili swala
 
Mimi sioni tatizo! Kama siku ukimuanza Mmeo anatoa huduma vizuri nadhani sioni haja ya yeye kukuanza.Wewe fanya sehemu yako then hilo la kutokukuanza mwachie yeye.
Vinginevyo hizo ni hisia tu kwamba huenda ana mwingine huko nje.
Niulize swali la mwisho! Wewe ni Mama wa Nyumbani au una shughuli au kazi yo yote unayofanya? Kama ni Mama wa nyumbani ndiyo maana.
 
Back
Top Bottom