Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,508
- 94,625
Mengine unajiongeza, kwanini ung'ang'anie dyudyu ya mtu asiyekutaka?Wewe, Yani mtu uwe na nyeee....afu upande kitandani usali ulale? Mnazijua lakini?
Mi ningemshauri siku akiwa na hamu na mume aanze kumchombeza kabla hajarudi, asisubiri arudi.....Yani mara amtumie vimeseji vya kuamsha hamu, mtu ajue akifika home kazi moja.
Kingine ajichunguze afya ya Bibi, Yuko ok? Hana smell? Hana infections?
Unamu-ignore huku ukitafuta njia mbadala za kupunguza nyege.
Zama hizi ni za kulilia dyudyu jamani?