USHAURI: Simuelewi mume wangu

USHAURI: Simuelewi mume wangu

Wewe, Yani mtu uwe na nyeee....afu upande kitandani usali ulale? Mnazijua lakini?

Mi ningemshauri siku akiwa na hamu na mume aanze kumchombeza kabla hajarudi, asisubiri arudi.....Yani mara amtumie vimeseji vya kuamsha hamu, mtu ajue akifika home kazi moja.
Kingine ajichunguze afya ya Bibi, Yuko ok? Hana smell? Hana infections?
Mengine unajiongeza, kwanini ung'ang'anie dyudyu ya mtu asiyekutaka?
Unamu-ignore huku ukitafuta njia mbadala za kupunguza nyege.

Zama hizi ni za kulilia dyudyu jamani?
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Muanzishie dozi ya Konyag na Barleys unachanganya. Atakuwa anakuvamia mwenyewe
 
Nipambane wapi hapa nimejiweka kimtego mtego Ila mwenzangu hata hategeki ndo kwanza yuko bze anacheza na mtoto natamani hata nikachukue maji ya baridi nimmwagie pengine akili itamkaa sawa inakera kwakweli hapa nawazaa kwanzia kesho nianze kulala na jinsi maana naona najitesa tu na baridi mwenzangu hana habari
Inawezekana huna mvuto Tena, Inawezekana madam wewe Ni mnene Sana, wanaume sisi wanawake ambao wanene hawana shape mzuri ndo shida hasa nyingi wanawake mnabadilika mkishazaa,
Na Inawezekana ukawa unatumbo kubwa madam, Punguza tumbo kwanza madam.
 
Mengine unajiongeza, kwanini ung'ang'anie dyudyu ya mtu asiyekutaka?
Unamu-ignore huku ukitafuta njia mbadala za kupunguza nyege.

Zama hizi ni za kulilia dyudyu jamani?
Dudu lazima mlilie hamna option. Ama matoy ya kichina yanawadanganya. Eboo
 
Kuna kesi kama hii nshakutana nayo,rafiki yangu nae mmewe baada ya mwaka kwenye ndoa mmewe akawa hana time nae,hata apite mtupu jamaa wala hastuki na akimuomba haki yake jamaa anasema amechoka ana stress za kazi,dada akaamua kumkaushia ila akaanza kumfatilia kisiri ndo kuja kugundua kumbe mmewe nae ana mume na alikua hivyo kabla hawajaoana,na ameshakua very addicted huko!
Sisemi na wako ni hivyo ila kabla hujaforce vitu ambavyo havipo tuliza akili ujue source ilipo na ndo hapo utapata suluhisho!kama hataki usimforce potezea alafu mchunguze taratibu unaweza kuja kugundua chanzo ambacho wala hujawahi kukiwaza na ukashangaa sana!
Hapa nikae kimya tu
 
Kwa upande wangu Mimi naona Hali ya kimaisha ipo sawa mpaka anapata na ela za kubetia kila siku na huwa simkoromei Wala hatuna malumbano ndani amani ipo Kama ni ela za matumizi anaacha kunipenda ananipenda sana tu tunacheka, tunapiga story yani hamna shida kabisa tatizo ni Hilo moja tu la kutokupewa haki yangu, na kinachoniumiza akili hivi hata Kama mwanaume ana michepuko jamani ndoasinimc mke wake hata kwa wiki tu japo Mara moja mpaka inafika wakati nawaza au kalogwa ili akose hisia na Mimi dah! Ukisikia ndoa ni ngumu ndo hii sasa
Kama anabet basi nguvu zinaishia kwenye kubeti mana akiliwa hata hamu ya mbususu anakua hana muda wote atakua anawaza mkeka usije chanika.
 
Habari za majukumu?

Nambeni wenye ujuzi na mambo ya ndoa mnisaidie hapa maana nimewaza mpaka akili imechoka na majibu nimekosa.

Mume wangu amekuwa ni mtu ambaye kufanya tendo la ndoa ni mpaka mimi nimuanze ndiyo tunafanya. Ila na mimi siku nikijikausha tunaweza tukamaliza hata wiki 2 tusifanye wakati mwingine tunaweza maliza hata mwezi mama nisipomuanza.

Kinachonikera zaidi ni kwamba hata wakati mwingine nikimuanza mimi, anaweza kuniambia mke wangu leo nimechoka naomba tulale tutafanya siku nyingine. Hiki kitu kiukweli kinaniumiza sana akili, raha ya mapenzi kila mtu aoneshe ana hamu na mwenzake siyo kila siku mimi ndiyo nianze kuomba mapenzi.

Hapa nawaza ni kwamba atakuwa na matatizo ya nguvu za kiume au inawezekana ana michepuko anafanya huko akirudi nyumbani amechoka hana hamu na mimi, au inakuwaje au pengine kalogwa asiwe na hisia na mimi, ila bado nmekosa majibu!

NB: Nimejaribu hadi kubadilisha mazingira ya nyumba, nimepanga upya nyumba ni safi inavutia na akirudi anakuta nimeshaoga nimejipamba najitahidi kuvaa na vinguo vya kumtega lakini bwana huyu hata haoni, wakati mwingine mpaka navua nguo zote usiku namuomba anikumbatie kwa makusudi ili apate nyege lakini wapi, naye alivyo anaishia kunikumbatia bila kufanya chochote.

Nikisema nimuanzishie mimi mahaba anaishia kunambia mke wangu kuna joto usinishike tulale kwanza, yani napata hasira huwa natamani hata nipige ukunga.

Hivyo naombeni wataalamu wa mambo ya ndoa mnishauri tatizo ni nini au mimi nakosea wapi ili nijirekebishe ndoa yangu iwe na amani maana imefika hatua nimeshajikatia tamaa.
Hope wamejaha pm yako kukuomba Kuja kukukojoza
 
Mkuu Glenn kataja hapo juu, kwa kuongezea:

1. Unatabia ya kukaa naked sana mkiwa ndani wawili tu. Yaani unakua na chupi tu? Jitahidi uwe unavaa muda wote nguo mfano Tshirt kubwa, unaacha mapaja tu, khanga flani, dera, etc ila usishindie kyupi tu, anakinai.

2. Anzisha kitu taratibu. Mfano unamfanyia massage, unamnyoa nywele za kwenye sirini, unamkata kucha, unamuosha miguu, etc ivyo vitu vidogo vinaamsha hamasa.

3. Usisubiri mwende kitandani ndio umuanze. Na usisubiri ifike saa 4 usiku kila siku ndio muanze. Kua creative, unamwambia ukamuogeshe, amekaa kwenye kochi unaenda kulala kwenye mapaja yake, etc.

4. Mwangalie usoni. Aisee tunapenda sana kuangaliwa usoni sio mchezo.

Ngoja niishie hapo. Mstari wa chini ni nje ya Mada.





Vijana tusioe, tusubiri hali itulie.
Kumbee wakt mwingine una kuwa na akili
 
Na kweli msioe subirini Hali itulie, nahisi no. 1 hapo Kama ni kweli basi inaweza ikawa ni sababu coz nimemzoea sana na mimi huwa sipendi kuvaa nguo Mara nyingi huwa napenda kuvaa kanga moko na tukibaki peke yetu kanga nikiona inanikera huwa nayo natupa uko nabaki hivyo hvyo cna kitu hata chupi hivyo inawezekana labda kakinai kweli, na swala la kumkalia kwenye mapaja huwa namkalia nikiwa hivyo tunapiga story Ila hata hashtuki sijui sasa anakwama wapi huyu mwanaume jamani
Dada una chura? Au mume wako alikuoa kwasababu alihisi wewe ni wife material/aina ya mwanamke ambaye angeweza kumpata, na sio kwamba alikuona mzuri miss chuga
 
Hakuna mwanaume wa hivyo ....huyo mwanamke ajiangalie tu mienendo yake dhidi ya Mumewe.... Mi niliondoka kabisaaaa na kumuachia Mji mke.... Nkaenda kupanga. Hakuna kitu kinashusha hamu kama dharau, maneno machafu ,dhihaka na wakati mtu unamsaidia Kila kitu na anaanza kukulinganisha na wanaume wengine. Anaweza jua hafanyi lakini aangalie mienendo yake yeye kwanza. Ana Ndimi nzuri Kwa Mumewe!?? Matendo.... !!??.Hakuna mwanaume atakuwa na nyuchi ndani na asiichakate ila ukimletea hizo mambo hata mwaka mtamaliza. Nimerudi lakini silali nae tena Kwa ajili ya watoto lakini amepata Somo kabaridika sana.
Wewe ni beta male
 
Mkuu Glenn kataja hapo juu, kwa kuongezea:

1. Unatabia ya kukaa naked sana mkiwa ndani wawili tu. Yaani unakua na chupi tu? Jitahidi uwe unavaa muda wote nguo mfano Tshirt kubwa, unaacha mapaja tu, khanga flani, dera, etc ila usishindie kyupi tu, anakinai.

2. Anzisha kitu taratibu. Mfano unamfanyia massage, unamnyoa nywele za kwenye sirini, unamkata kucha, unamuosha miguu, etc ivyo vitu vidogo vinaamsha hamasa.

3. Usisubiri mwende kitandani ndio umuanze. Na usisubiri ifike saa 4 usiku kila siku ndio muanze. Kua creative, unamwambia ukamuogeshe, amekaa kwenye kochi unaenda kulala kwenye mapaja yake, etc.

4. Mwangalie usoni. Aisee tunapenda sana kuangaliwa usoni sio mchezo.

Ngoja niishie hapo. Mstari wa chini ni nje ya Mada.





Vijana tusioe, tusubiri hali itulie.
Wangekuwa wanafanya haya nisingekufa mimi
 
Hakuna mwanaume wa hivyo ....huyo mwanamke ajiangalie tu mienendo yake dhidi ya Mumewe.... Mi niliondoka kabisaaaa na kumuachia Mji mke.... Nkaenda kupanga. Hakuna kitu kinashusha hamu kama dharau, maneno machafu ,dhihaka na wakati mtu unamsaidia Kila kitu na anaanza kukulinganisha na wanaume wengine. Anaweza jua hafanyi lakini aangalie mienendo yake yeye kwanza. Ana Ndimi nzuri Kwa Mumewe!?? Matendo.... !!??.Hakuna mwanaume atakuwa na nyuchi ndani na asiichakate ila ukimletea hizo mambo hata mwaka mtamaliza. Nimerudi lakini silali nae tena Kwa ajili ya watoto lakini amepata Somo kabaridika sana.
Duh kuna watu wana maisha magumu jamani. Huyo mwenzetu huko kwao aliua? Au ni yatima? Au ni mlemavu?
 
Kama una uhakika umefanya jitihada zote imeshindikana na wewe kaa kimya usijishughulishe na hilo tendo.
Hata ikipita mwaka kaa kimya na hakikisha mambo mengine hapo home yanaenda vizuri kama kawaida.
Usiache kupendeza na usijinunishe.
Act kama hakuna tatizo.
Kuna wakati una ushauri mtamu sana, hongera mamy😂
 
Kuna wakati una ushauri mtamu sana, hongera mamy😂
Nyongeza:
Asiudhulumu mwili wake, atakayejisogeza kutaka kumpa joto asisite kujiachia, ampe yoteeee na vyotee...halali na haramu.
 
Back
Top Bottom