USHAURI: Simuelewi mume wangu

USHAURI: Simuelewi mume wangu

1. Hali yake kimaisha iko sawa au imeshuka....ukame huondoa nyege hasa uliyezoea kushika pesa ndefu.....naongea kwa uzoefu.

2. Biashara zimemnyookea?

3. Yuko busy na simu?

4. Anachelewa kurudi?

5. Unamkoromea? Au mnalumbanaga?
6. Yeye ni katibu wa mchungaji?
 
Iyo hali ni ya kawaida kwa mwanaume kukosa hisia kwa mke wake ila ni ya mda tu itaisha wenyewe kuwa mstahmilivu
 
Hatimae tumefikiwaaaa🤣🤣🤣
Haya malalamiko huwa ni ya wanaume.
 
Hamna kulogwa hapo....mikeka tu inamchanganya...addiction ya betting ni mbaya zaid ya kufuta sigara..unaweza kuta asilimia 70 ya ubongo kaiamishia kweny betting..hapo kwel kutakuwa na kunyanduana?mfano chukula jana man city alivyofanya mambo ya kalylinda kwa kuwachania wengi...lazma tu nguvu zikate
Serious,
Addictions ya Betting inakata nyege zote
MDA wote kichwa Kiko resi kinawazia timu za kumpasua muhindi
 
Mimi sio "mkuu"

Mimi ni BABU
Nafurahi ulivyoweza kuji brand kwa ubabu bandia😂😂

Babu mpenda nyuchi...sijui ni Mmarangu au Mmachame wanapenda down....sana🤣
 
Nunua feni au AC,mchawi hapo ni joto.

Hii tabia hata mimi huwa ninayo,huwa najikausha nione kama mke wangu huduma yangu huwa anaimiss,yaan huwa najipima,tena hii tabia nilianza kuifanya hata kabla ya kuoa,hapo nyuma nilkuwa nabahatika kuishi na wanawake kama wake zangu nilikuwaga na utaratibu huo nikiona anahitaji mwenyewe ndo nafurahi najua kumbe huwa natoa huduma nzuri

Pia huwa najituliza ili kibuyu kijae ili siku nikiwa free nimpelekee moto ambao sio wa kawaida yaan wa kuvunja rekodi,mara nyingi huwa na bahati ya kuwa na wanawake wanaopenda sana show unakuta ni kila siku anataka,sasa unakuta siku zingine napiga kimya ili nijaze kibuyu ila umesema jamaa wiki 2 anamaliza huyu ni kiboko,mimi wiki siwez maliza,sana sana ni siku tatu

Muda mwingine nilikuwa najituliza kutokuomba mchezo ili nipate nguvu za kupeleka moto huko nje kwa mchepuko.
 
Kama hakuwa hivyo alivyo sasa vuta kumbukumbu kuna kipindi Cha nyuma mumeo alikuwa akikuomba tendo la ndoa unampa sababu mbalimbali msifanye. Huwa wanaume hatupendi hali hiyo itokee mara kwa mara matokeo yake ile hali ya matamanio kwa mke Huwa inashuka mno!

Mara nyingi wanawake mnakuwa na excuses nyingi hasa mnapokuwa mmetoka kujifungua mapenzi yote mnahamishia kwa watoto mnamsahau kbs baba jambo ambalo hupelekea baba wakati mwingine kukaa kimya akiugulia ndani kwa ndani.

Sababu nyingine inaweza kuwa kipato ,kwenye utafutaji kama hali imezidi kuwa ngumu Huwa wanaume inatupa taabu sana kuwa na hisia za kila wakati za kimapenzi.

Usipende kukaa uchi kila wakati unapokuwa na mumeo, jitahidi kujisitiri hata kwa nguo zinazoweza kuhamasisha mahaba mbele ya mume wako kama vile kufunga kanga nyepesi ,kuvaa night dress na hakikisha unajiswafi ili kumvutia mumeo.

Kuna tabia ya ubinafsi inawasumbua sana baadhi ya wanawake. Unataka mfanyane kila unapokuwa na hamu wewe tu, mumeo akikuomba kama huna hamu unagoma kbs, hii huchangia hamu ya kufanya tendo la ndoa kushuka mno kwa mwanaume, matokeo yake baadhi ya me hujikuta wanaingia kwenye kasumba ya michepuko.

Lakini wanawake msisahau. Kuwatomber ninyi tunahitaji nguvu kwa maana ya lishe bora. Vyakula vyepesi vinatusababisha kuwa dhaifu matokeo yake tukiwapandia vinenani mwenu hatuwakazi kisawasawa / ipasavyo. Hakikisha mumeo anakula anatosheka ili akikukamata anakutikita anatikisa nyegge zako zote sio kukugusagusa tu kuishia kukutia shombo

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetoa sababu za msingi Sana,
Wanawake wanajisahau mno
 
Hii issue naona imekaa kama kibongo movie.

Yaani Mwanammke anashindwa kujua mwanamme ana shida gani?

1. Kuwanza kwamba ana shida ya nguvu za kiume ,sasa ili si unalijua kabisa ,mstukize kutaka mchezo halafu angalia jogoo atawika kwa muda gani,kama withini short time means yupo ok ila ikichukua muda sana means hapo hana nguvu.

2. Mchepuko -yaani mpaka ameamua kuwa na mchepuko means wewe hautimizi majukumu yako ipasavyo hadi anafikiria kuwa na mchepuko ,wengi wenye mchepuko anatwanga kote kote nje na ndani ,mchepuko hauzuii kutoa dozi ndani.

 
Mama shida Iko kwako

Maandalizi ya chakula siyo mazuri unapaswa kumwandalia chakula akishiba ugwadu unakuja wenyewe
 
Nashukuru nimependa ushauri wako nahisi hii njia ndoitatatua hili tatizo coz ni mtu mwenye wivu sana na mm najua nikijikausha lazma ajiulize huyu mtu vipi au ndokashapata mtu uko anamridhisha
Eeeh fanya hvo hivo dear....Alafu na simu iwekee password utaona anahangaika na simu.....akikuuliza password mwambie bila ya kusita hapo ataanza mwenyewe oooh unajua mke wangu sijui nn hapo ww ndo utaweza kumbana vzur na utamwambia hivi mme wangu hata kama unachepuka kua makini hata mim nina moyo na maradhi yapo ukimaliza usiongeze neno hata moja alafu endelea na shughuli zako majibu utayapata muda mfupi kutoka wakati huo
 
Hali yake ya kiuchumi ipo vizuri, pia kazini yupo sawa hakuna shda, pia sijawahi kumkosea Wala yeye hajawahi kunambia Kama Kuna tabia inamkera, pia matumizi ya simu ni kawaida na nikimuambia mme wangu unamchepuko ananiambia ww una wivu sana chukua cm yang kaa nayo hata wiki nzima na huwa nalala na simu yake chini ya mto text ikiingia Mimi ndo wa kwanza kusoma ndonimpe Ila sijawai ona text ikitumwa ya mchepuko na nyumbani huwa hachelew Mara moja moja sana ndo anarud saa 5 ananiaga anaenda kuangalia mpira pia hajawahi kulala nje na pia siyo mtu wa kusafiri kila siku analala ndan na amani ipo ndani kila kitu kipo sawa anahudumia familia vizuri shida ni hiyo moja tu sipewi haki yangu

Usikute tayari ana basha wake sasa maana kama hata uchi wako hautamani tena kwa visingizio.

Siku akikubali kukumeng’enya jaribu kumpekekea mkono kunako kwa mpalange, test mitambo uone atareact vipi.

Siku hizi dunia tumelvua nguo unaweza kudhani upo na mume ndani kumbe mwenzio naye ana mume.
 
Kuna kesi kama hii nshakutana nayo,rafiki yangu nae mmewe baada ya mwaka kwenye ndoa mmewe akawa hana time nae,hata apite mtupu jamaa wala hastuki na akimuomba haki yake jamaa anasema amechoka ana stress za kazi,dada akaamua kumkaushia ila akaanza kumfatilia kisiri ndo kuja kugundua kumbe mmewe nae ana mume na alikua hivyo kabla hawajaoana,na ameshakua very addicted huko!
Sisemi na wako ni hivyo ila kabla hujaforce vitu ambavyo havipo tuliza akili ujue source ilipo na ndo hapo utapata suluhisho!kama hataki usimforce potezea alafu mchunguze taratibu unaweza kuja kugundua chanzo ambacho wala hujawahi kukiwaza na ukashangaa sana!
Nliwaza hivi ila nikaona taonekana mchawi
 
Back
Top Bottom