- Thread starter
- #181
Kuchepuka tu naogopa kama nini.Kama unampenda sana na unamjali na unataka kumpa zawadi nzuri, oa mke wa pili ili kumpunguzia majukumu na yeye aishi kwa raha.
Kuchepuka tu naogopa kama nini.Kama unampenda sana na unamjali na unataka kumpa zawadi nzuri, oa mke wa pili ili kumpunguzia majukumu na yeye aishi kwa raha.
nani kaongelea kuchepuka?Kuchepuka tu naogopa kama nini.
Mkuu sina hakika 100% kama nimemkuta bikra. Ila nakumbuka cku ya kwanza kuingia kwake nilishawishika kwa kiasi kikubwa kwmb binti alkiwa bikra au kama kayumika ni zile za utoto utoto. [emoji4] LAKINI ubikra kwangu sio ishu kuubwa kivile. Mtu anaweza kuwa bikra na bado akaja kuwa shetani kwny ndoa.Uzidishie UPENDO wa Dhati Tu
Mthamini Kama Mkeo Kipenzi Tena Mwaminifu Kwako
Ulimkuta Bikra?
Wewe ni mwanaume Wa Kwanza Kutoa Bikra Yake?
Bikra Ipi?
NAPITA Tu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwema lakini mkuu chifu77Mkuu sina hakika 100% kama nimemkuta bikra. Ila nakumbuka cku ya kwanza kuingia kwake nilishawishika kwa kiasi kikubwa kwmb binti alkiwa bikra au kama kayumika ni zile za utoto utoto. [emoji4] LAKINI ubikra kwangu sio ishu kuubwa kivile. Mtu anaweza kuwa bikra na bado akaja kuwa shetani kwny ndoa.
Mdau mmoja alishauri kumnunulia range rova. Ndo nikajibu hayo makitu naonaga tu kwny muvi.Hapa ndipo ulipoharibu uzi,, ,, basi tena
Kama ww mwenyewe umeshindwa kufikiri unadhani ni nani atakusaidia unaomba msaada hata zawadi ya kumununulia mkeo ina maana muda wote huo mlioishi hujajua mkeo anapenda kitu.Huu sasa ni ukorofi. mada za aina hii zinajadilika sehemu yoyote ile; iwe kijiweni, bar, hotelini, kwenye basi. Hata JF pia. Siku nyingine kabla hujaanza kukandya, toa kwanza ushauri mzuri ili tujue uwezo wako wa kufikiri uko juu au chini kiasi gani.
Ndo mana anamuona mkewe malaika mtakatifu....Hahaaa...kuna siku atakuja tena kuomba ushauri wa zawadi gani amnunulie mtoto wake maana amekuwa wa kwanza.....Huwa najiuliza kila siku ikiwa mambo ya kawaida sana kama haya (yaani ukae na mkeo 2-3 yrs usijue kitu anachokipenda??) mtu anakilimbilia JF watawezaje ku manage issues kubwa kubwa za kifamilia? Kila kitu kidogo break ya kwanza JF ina maana uwezo wa akili zetu umeshuka sanaa??
Kumbe ulikuwa unajua cha kufanyaNimewahi kumnunulia. Ila nilipanga hii iwe bab kubwa. Tarehe 26 mwezi huu tunakamilisha miaka 8 ya ndoa yetu. Cku hiyo nitamtoa out na nitamshukuru kwa niaba yangu na ya watoto wetu 2 kwa UPENDO & JITIHADA zake.
Ili umchepusheKWANZA WEKA PICHA NA NAMBA YAKE YA SIMU HAPA MKUU.
Ni dalili zipi zinakufanya uamini hajachepukaSijui kwa nini baadhi ya wachangiaji hawaamini nikisema 'hajawahi kuchepuka'. Mkuu nasema kweli, kweli tupu. sina haja ya kudanganya.
Si kwa wakati ujao tu hata uliopita huwezi kuwa na uhakika wa 100% we sema unapenda tuMkuu nimetumia neno kutazama kwa maana ya kudadisi na kutathmini mienendo, upendo na bidii yake kwangu na kwa watoto. Pia nimeandika sina uhakika wa 100% wa wakati ujao. Ila kwa wakati uliopita na uliopo, anastahili kila kilicho chema kutoka kwangu.
Kwema mkuu. Wazima sie.Kwema lakini mkuu chifu77
Vizuri sana kama wazima nyieKwema mkuu. Wazima sie.
Mkuu yeye sio malaika. Lakini kama binadamu akitenda mema angekuwa anabadilika taratibu mpaka kuwa malaika, aisee huyu mwanamke angekuwa anakaribia kuwa malaika. Utani kidogo, si unajua tena.Ndo mana anamuona mkewe malaika mtakatifu....
Nimekuelewa mkuu [emoji122] [emoji122]Zawadi inagusa pale inapogusa moyo wa mpokeaji kwa kujibu hitaji lake. Jibu la swali lako utalipata kwa mkeo ukimwendea kwa upelelezi mzuri. Maisha ya ndoa lazima uwe jasusi kiaina ili muda wote uweze kuikonga roho ya mwenzi wako.
Rejea story mbalimbali ya vitu anavyovitamani kuanzia nguo hadi gari. Ni mfuko wako tu. Zingatia rangi yake.
Unatakiwa ujue size.rangi.mshono au kama gari ndo usiseme.
Talk to her !!!
Wengine tunajua mpaka size za bra au hips au viatu rangi mpaka size ya kidole cha pete, hereni , mafuta na perfume.
Kwa kifupi mjue mkeo sisi hatumjui !!!
Ni dalili zipi zinakufanya uamini hajachepuka
Wakuu, nimemchunguza weee, nikampeleleza weee, nimefuatilia matendo na maongezi yake. Hana kona kona, hakuna hata kadalili ka usaliti. Na mbinu zangu za utafiti na udadisi naziamini. Sasa kwa nini niwe na wasiwasi. kwa miaka hii 8 huyu hajawahi kunisaliti.Si kwa wakati ujao tu hata uliopita huwezi kuwa na uhakika wa 100% we sema unapenda tu
inaonekana hujawajua vizuri hawa viumbe,waulize wenzioHeshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
Unafanya kazi ganiWakuu, nimemchunguza weee, nikampeleleza weee, nimefuatilia matendo na maongezi yake. Hana kona kona, hakuna hata kadalili ka usaliti. Na mbinu zangu za utafiti na udadisi naziamini. Sasa kwa nini niwe na wasiwasi. kwa miaka hii 8 huyu hajawahi kunisaliti.